GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,621
- 4,267
MHESHIMIWA RAIS, nadhani ifike kipindi uanze kutumia hotuba za kuandika.
Muda huu ukiwa Tarime nimeskia ukimwambia mbunge wa upinzani Esther Matiko kuwa, kwa kuwa huwa wanakataa kupitisha bajeti bungeni, basi hapaswi kumuomba rais utekelezaji wa maendeleo jimboni kwake. Hii ni aibu!
Pamoja na castle zangu kichwani, nikajiuliza je, mbunge wa upinzani akikataa kupitisha sheria bungeni na ikapitishwa na wabunge wa chama tawala, huyo wa upinzani hapaswi kuitekeleza?
Kwenye hii ziara ya rais kanda ya ziwa, nimeskia kauli za utata kwa Mheshimiwa rais. Mheshimiwa rais naomba uandikiwe hotuba na uizingatie.
Katika majimbo mengi aliyopita ni kwa John Heche amehoji matumizi ya mfuko wa jimbo! Nina imani ataendelea kufanya hivyo kwa majimbo yanayofuata! Ni swali zuri!
Mungu ibariki Tanzania!
Muda huu ukiwa Tarime nimeskia ukimwambia mbunge wa upinzani Esther Matiko kuwa, kwa kuwa huwa wanakataa kupitisha bajeti bungeni, basi hapaswi kumuomba rais utekelezaji wa maendeleo jimboni kwake. Hii ni aibu!
Pamoja na castle zangu kichwani, nikajiuliza je, mbunge wa upinzani akikataa kupitisha sheria bungeni na ikapitishwa na wabunge wa chama tawala, huyo wa upinzani hapaswi kuitekeleza?
Kwenye hii ziara ya rais kanda ya ziwa, nimeskia kauli za utata kwa Mheshimiwa rais. Mheshimiwa rais naomba uandikiwe hotuba na uizingatie.
Katika majimbo mengi aliyopita ni kwa John Heche amehoji matumizi ya mfuko wa jimbo! Nina imani ataendelea kufanya hivyo kwa majimbo yanayofuata! Ni swali zuri!
Mungu ibariki Tanzania!