Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,432
Ufikekwenda wapi mkuu?? hali ni mbaya kitaaJe tutafika?
Ufikekwenda wapi mkuu?? hali ni mbaya kitaaJe tutafika?
Awamu ya tano imekwama kwenye tope zitoTatizo la watu Wengi Hupenda Kusikia Kile wanachotaka Kusikia.
Itikadi za Kichochezi na Ubinafsi zimetujaa Watanzania Wengi sana.
[HASHTAG]#Tutafika[/HASHTAG] Weka nia Mapambano ni mbele kwa mbele.
No sweat no sweatNimemsikia JPM akisema kwamba malipo ya deni la taifa ni Tsh bilioni 950
MAONI
Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,
Kinachobaki ni bilioni 250 au 300
Mishahara ni bilioni 500,
Inabaki bilioni negative(pungufu) bilioni 200
Je tutafika?
We unajua nn kuhsu kuhustle zaidi ya kuwa mpambe hapo lummbatupambane haswa.
Kwahiyo unashaurije!Hiyo Tril haifiki...hizo ni fix tu...reje mikopo ya kukurupuka yenye riba ya aibu....!!! Hakuna hayo mapato....ngoma imeshuka wamaishia 750b kwa mwezi!!! Hakuna kitu! Meli unazoziona ni mzigo wa transit local imports zimesimama....haku kituu!! Porojo! BoT wanaficha data siku hizi.....mazao ya export kuleta dolla hakuna ime drop 45% na zitazidi kudondoka!!!