chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,711
- 31,324
Nimemsikia JPM akisema kwamba malipo ya deni la taifa ni Tsh bilioni 950
MAONI
Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,
Kinachobaki ni bilioni 250 au 300
Mishahara ni bilioni 500,
Inabaki bilioni negative(pungufu) bilioni 200
Je tutafika?
MAONI
Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,
Kinachobaki ni bilioni 250 au 300
Mishahara ni bilioni 500,
Inabaki bilioni negative(pungufu) bilioni 200
Je tutafika?