Rais Magufuli: Tunalipa deni la taifa bilioni 950

Rais Magufuli: Tunalipa deni la taifa bilioni 950

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,711
Reaction score
31,324
Nimemsikia JPM akisema kwamba malipo ya deni la taifa ni Tsh bilioni 950

MAONI

Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,

Kinachobaki ni bilioni 250 au 300

Mishahara ni bilioni 500,

Inabaki bilioni negative(pungufu) bilioni 200

Je tutafika?
 
Hiyo Tril haifiki...hizo ni fix tu...reje mikopo ya kukurupuka yenye riba ya aibu....!!! Hakuna hayo mapato....ngoma imeshuka wamaishia 750b kwa mwezi!!! Hakuna kitu! Meli unazoziona ni mzigo wa transit local imports zimesimama....haku kituu!! Porojo! BoT wanaficha data siku hizi.....mazao ya export kuleta dolla hakuna ime drop 45% na zitazidi kudondoka!!!
 
Jamaa muongo sana unajenga barabar unasahau kulipa watumishi wanaokurahisishia utendaji wako? daaa huyu jamaa hatar sana

Kajaa mipisho tu mara sijui unatekeleza ilani ya ccm mara uchama haupo hapa jamani dishi limeyumba ukweli nawaambia.
 
Hiyo Tril haifiki...hizo ni fix tu...reje mikopo ya kukurupuka yenye riba ya aibu....!!! Hakuna hayo mapato....ngoma imeshuka wamaishia 750b kwa mwezi!!! Hakuna kitu! Meli unazoziona ni mzigo wa transit local imports zimesimama....haku kituu!! Porojo! BoT wanaficha data siku hizi.....mazao ya export kuleta dolla hakuna ime drop 45% na zitazidi kudondoka!!!
Hatari sana
 
Hiyo Tril haifiki...hizo ni fix tu...reje mikopo ya kukurupuka yenye riba ya aibu....!!! Hakuna hayo mapato....ngoma imeshuka wamaishia 750b kwa mwezi!!! Hakuna kitu! Meli unazoziona ni mzigo wa transit local imports zimesimama....haku kituu!! Porojo! BoT wanaficha data siku hizi.....mazao ya export kuleta dolla hakuna ime drop 45% na zitazidi kudondoka!!!


That's right. Anaongopa kila anachoongea.
 
Yaani anakamua ng'ombe bila kumlisha sijui akili za wapi hizi ccm msaidieni ndugu yenu kwa ushauri mambo yanaharibika anadharau watumish anaona bora barabara kuliko maisha ya mtumishi.
 
Je hio inahusisha samaki wake wale? deni la majuzi la konoike bilioni 133, je pia na wale waliozuia ndege kanada jamaa matatizo yote anasababisha yeye ukiangalia
 
hizi fiksi zinamwisho wake yetu macho sisi sio watoto wadogo kutulaghai kama tupo kwenye kampeni
ukweli ni kwamba hatujafikia hatua ya kulipa billion 900 kwa mwezi
 
Kama sema uongo basi leteni data maana yeye ndio kashasema. Acheni unafiki
 
Nimemsikia JPM akisema kwamba malipo ya deni la taifa ni Tsh bilioni 950

MAONI

Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,

Kinachobaki ni bilioni 700 au trilioni moja,

Mishahara ni bilioni 500,

Inabaki bilioni 200-300

Je tutafika?
Za mbayuwayu ongeza nazako. JK buana
 
Nimemsikia JPM akisema kwamba malipo ya deni la taifa ni Tsh bilioni 950

MAONI

Tunajua kwamba makusanyo kwa sasa ni trilioni 1.2,

Kinachobaki ni bilioni 700 au trilioni moja,

Mishahara ni bilioni 500,

Inabaki bilioni 200-300

Je tutafika?
Kuna faini za mskosa ya barabarani mkuu, hicho kimekuwa ni chanxo kikuu cha pili cha kodi, kwa hiyo pesa ipo!

Vv
 
Sio kweli?
Ina maana TRA inakusanya 2+Trilioni kwa mwezi??
Kwa mzunguko upi wa biashara??
 
Back
Top Bottom