Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,141
- 20,787
Hawa watu watatu ndiyo wamesababisha tumeshindwa kutimiza adhma yetu sisi kama chama kuchukua kata zote.
Ikiwa tumeweza kufanya ya kufanya tukashinda kata 40 wao wameshindwaje kufuata maelekezo? Ifike mahala tuwe serious, tunaposema tunataka nchi nzima iwe CCM ni lazima watu wote waelewe hivyo.
Kwahiyo hawa watatu ni lazima washughulikiwe kwa kwenda kinyume na mipango yetu, inaonekana wamenunulia na CDM..
Kidumu chama cha mapinduzi.
CCM oyeeeeeee!!!
Hapa kazi tu, Siasa hamna mpaka 2025.
Mzalendo-Mgibeon
Ikiwa tumeweza kufanya ya kufanya tukashinda kata 40 wao wameshindwaje kufuata maelekezo? Ifike mahala tuwe serious, tunaposema tunataka nchi nzima iwe CCM ni lazima watu wote waelewe hivyo.
Kwahiyo hawa watatu ni lazima washughulikiwe kwa kwenda kinyume na mipango yetu, inaonekana wamenunulia na CDM..
Kidumu chama cha mapinduzi.
CCM oyeeeeeee!!!
Hapa kazi tu, Siasa hamna mpaka 2025.
Mzalendo-Mgibeon