MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
- Thread starter
- #61
Basi usimamizi ufanywe na polisi, na kama ni lazima kutumia jeshi (JKT) basi agizo hilo litolewe na amiri jeshi mkuu sio mkuu wa mkoa, na utekelezaji uanze baada ya kupitia utaratibu wa kutunga sheriaTunacho taka barabara idekiwe, hivyo vitu vingine utajua wewe