johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Rais Magufuli amesema si vema wala haki viongozi wa kisiasa kuwakamata na kuwaweka mahabusu madaktari.
Rais Magufuli amesema hatoi kinga ya moja kwa moja ila anawatahadharisha viongozi wa kisiasa kuwa siyo jambo la hekima na busara kuwaweka rumande madaktari
Source ITV habari
My take; Ikumbukwe kuwa RC Happi wa Iringa alimweka lupango daktari hali iliyopelekea Waziri Jaffo kuomba radhi kwa jumuiya ya Madaktari!
Rais Magufuli amesema hatoi kinga ya moja kwa moja ila anawatahadharisha viongozi wa kisiasa kuwa siyo jambo la hekima na busara kuwaweka rumande madaktari
Source ITV habari
My take; Ikumbukwe kuwa RC Happi wa Iringa alimweka lupango daktari hali iliyopelekea Waziri Jaffo kuomba radhi kwa jumuiya ya Madaktari!