Rais Magufuli si rafiki wa vyombo vya habari

Ukiulizwa swali unajibu.Na sio kumwambia mwuliza swali ajibu yeye. Rais hajui hao ni wawakilishi tu.Hata huku mtaani tulitaka kuuliza swali hilo hilo.
 
Awe rafiki wa vyombo vya habari ili iwe nini? Waandishi wenyewe wa Tanzania wapo wapo tu wengi wao wanaandika kwa sababu wanategemea kupewa peremende za kulambalamba na sio taaluma ambayo wanatakiwa kufanya. Kuandika kichambuzi kwa maslahi ya walipa kodi wa nchi hii. Wacha awakaushe hivyo hivyo ndio wakome. Unafikiri ametumia muda gani kufanya aliyofanya then unakuja kumuuliza ametumia vigezo gani kuchagua .... . are you serious? Au unauliza amefanya savings ya kiasi gani ... absolutely pathetic and outside their minds. JPM sio kama yule aliyekuwa anafuga mafisadi Magogoni yupo pale kuangalia maslahi ya walipa kodi wa nchi hii. Mind-set ya wanahabari inabidi ibadilike huyu siye waliyemzoea. Hapa kazi tu!
 
Waandishi sio watu wa kuwazoea,,,hii nchi almanusura iangamie kisa uandishi mbovu,,ni hao hao wanaompaaka kikwete usiku na mchana mpaka kustaafu kwake,ni haohao wanaoandika habari za kichochezi kua hazina zmekauka,,ukweli ni kwamba ukiwaZoea sana watakukosea heshima hata kama ww ni raisi,,hebu angalia utawala wa kikwete na mkapa,kikwete anapakwa kama vle ni raia tu wa kawaida,,,,kiti cha urais Tanzania kimekosa heshima kwa miaka Mingi,,,laxma irejeshwe,,,vigezo vya kuteua mawaziri vya nn,mmbo ya Siri ya nchi mnataka mjue,,mwisho mtakuja kudai hadi mjomba wake Anaitwa nan,,na hkuna kipengele ktk KatibA kinachosema achague waziri wa aina gan

Pokea like 10000000
 
waandishi wote wameuliza maswali mazuri kasoro yule wa uhai sijui anaeulizia mambo ya wafanyabiashara kwenye issue ya mawaziri....

Ila majibu ya mh raisi hayakua ya kuridhisha, kama hakuwa kwenye mood ya kujibu maswali ni bora kusema ntatafuta muda mwingine kwa ajiri ya maswali kuliko kujibu kama alivyofanya!!!

all in all amejibu kwa ukali, majivuno na dharau...


Swali kuhusu wafanyabiashara lilikuwa pembeni ya mada, lakini mimi naona ni sawa tuu kuuliza maswali kuhusu kitu chochote kinachogusia uongozi wa JPM, haswa kama JPM mwenyewe ndo alitoa amri ya wafanyabiashara kulipa kodi. Kuna ubaya gani kuulizia maendeleo ya hilo zoezi? Ukizingatia serekali haijatoa update yoyote kuhusu hilo swala?


Ila ni kweli jamaa ana ubabe flani hivi ambao unaweza kufaa kwenye kutekeleza shughuli za serekali lakini unapitiliza haswa ukizingatia kuwa moja wapo ya wajibu wake ni kuwataarifu wananchi kuhusu maamuzi anayoyafanya kupitia vyombo vya habari.
 
Walizoea majibu ya kisiasa ya mkwere

Magufuri hana majibu ya kisiasa yeye ana majibu ya kisayansi tu ahahah waendane na kasi yake

Kwanza uelewe Rais ni mwanasiasa tu lakini pia hebu niambie pale jibu lipi Mheshimiwa Rais alitoa lilikuwa la Kisayansi?Alichopaswa pale ni kujibu swali kama lilivyoulizwa.Kila swali lilikuwa na nia nzuri tu.....elewa kuna Waziri alijiuzulu kwa kashfa ya Ufisadi na Rushwa pia kuna Mawaziri baadi ya idara walizosimamia zilikuwa na matatizo lukuki tulihitaji kujua vigezo vilivyotumika.
 
Kwani dharau kaanza leo?! Ndivyo alivyo, kumbukeni kauli zake za nyuma. Cha msingi mmshauri abadilike.
 
Mimi nadhani na anayeuliza swali alipime kwanza hajalitoa. Maswali yanayoulizwa wakati mwingine hata sisi wasikilizaji tunashangaa!! Pia sio lazima kila mahali uulize swali hata Kama umeruhusiwa. We angalia kilichokupeleka, Pima upepo, jikung'ute baada ya kumaliza endelea na safari yako.

Mhe. Rais Leo alikuwa kikazi zaidi (#HapaKaziTu)

Queen Esther


Ester elewa kuwa waandishi wa habari-na-hoja-mchanganyiko wengi ni zaidi ya wapelelezi. Wape heshima yao mkuu.
 
Smh,ulichokisema hapa ndio kinaleta maana ile ile ,kama Obama anaweza kuulizwa mambo ya nchi yake nchini Tanzania tena na waandishi wa Ulaya na akawajibu kwa ufasaha na bila jazba ,imeshindikana vipi kwa Magufuli kuwajibu waandishi waliokua wanasubiri kufikisha ujumbe kwa wananchi juu ya baraza lililochukua muda kuliunda tukiamini kabisa litakua special, hakukua na sababu ya kupoteza muda kwa hao mawaziri aliowateua hakuna kitu chochote special hapo ,ccm ni ile ile

Kumbe unaleta uchama basi hutoweza kunielewa

Tunaongelea kuhusu waandishi wa habari so kwa point yako una maanisha wandishi wote pale ni wafuasi wa vyama vya upinzani ndomana kajibu vile

Anyway magufuli si mtu wa kuremba na kutoa majibu ya kisiasa yuko straight

Nadhani ulimsikia alivomjibu yule mwandish alieuluza kuhusu TRA
 
Kwa hali ilivyokuwa inaonekana kuwa Rais Magufuli hakutambua umuhimu wa yale maswali na yeye kuyajibu ipasavyo au aliamua kuwaburuza tu..
Akumbuke kuwa watu walioalikwa walikuwa Wahariri na Waandishi wa Habari Waandamizi.Kuuliza maswali 'rahisi' si hoja, hoja ni kuwa kipaza sauti cha Mkuu wa Nchi katika kuhabarisha umma. Katika habari hakuna swali lisilo na mantiki na wanahabari wanajikita katika nukuu ('quotes') na hapa walihitaji nukuu za Mkuu wa Nchi wala si za mwingine yeyote. Kwa hili hakuwatendea haki..
 
Kumbe unaleta uchama basi hutoweza kunielewa

Tunaongelea kuhusu waandishi wa habari so kwa point yako una maanisha wandishi wote pale ni wafuasi wa vyama vya upinzani ndomana kajibu vile

Anyway magufuli si mtu wa kuremba na kutoa majibu ya kisiasa yuko straight

Nadhani ulimsikia alivomjibu yule mwandish alieuluza kuhusu TRA
Hawa hawamjui Presdaa. Fuatilia majibu yake bungeni akiwa waziri. Anajibu kisomi akiamin wote ni waelewa
 
sorry waandishi wa habari wengi, hawana akili, vilaza na zero brain; waandishi wachache wa caliber ya jenerali Ulimwengu tunawakosa kabisa

kwa sababu waandishi wa habari,polisi waalimu wanaenda watu ambao ni failure; hawajiamini

ni tatizo kubwa

narudia ni janga la kitaifa

hatuna waandishi wa habari.period
 
Mtu unauliza eti ulitumia vigezo gani kuteua, mi naona kamsaidia hata kumpa hilo jibu. Mi ningemwambia HILO SIO SWALI
 
Unajua wanasaikolojia wanasema ukitaka kuwa mtu mzuri na kuwa na mahusiano mazuri na watu laxima ujue wewe una power gani. Nguvu yako dhidi ya watu unaowaongoza ni kiasi gani! Yaani lazima ujitambue. Mfano baba nyumbani lazima ujue nguvu uliyonayo dhidi ya mke au watoto na hivyo kuwa makini na unayofanya na namna unavyowatreat ili usije ukajikuta unawaumiza wadogo au subordinates wako bila kujua. Rais wa nvhi ni mtu mkubwa sana kilinganidha ns mwandishi wa habari. Hivyo rais anapaswa ajue hii nguvu kubwa aliyonayo na hivyo awe mnyenyekevu. Mtu mnyenyekevu huwa anawachukulia serious hata wale wajinga na hujitahidi kuepuka kutumia power yake vibaya! Magufuli bado anahitaji kufundwa sana!
 
Namkumbiks Prof wangu aliyesimamia kszi yangu slikuwa ansjibu hata swsli nililodhani labda ni la kijinga. Kakini yeye alichukulia serious kila ninachosema whether kina maana au la. Ysani huyu Prof anajaribu ku make sense out of even a foolish question. Ndivyo kiongozi anavyopaswa kubehave. Magufuli anapaswa ajue waandishi wanaulizs yale maswali ambayo watu wa kawaida huko mitaani wangependa kujus mfano hilo la tra ni very relevant kwa sababu lilikuwa hot ishu kwenye media. Vigezo vya uteuzi nalo ni very relevant kwa sababu wapo watu waliodhindwa au kujiuzulu wamerudishwa. Mwigulu na madudu ya tra. Muhongo na escrow ambayo bado ni kixungumkuti!

Ishu hapa ni kwamba maswali yalikuwa msgumu kwa Magufuli kuhandle. Hskuna swsli la kijinga ktk mambo ya media! Hilohilo unaloona la kijinga linaweza kuwa habari kubwa! Msaidieni mh rais jamani. Anaonekana bado hana confidence!
 
Leo nimemuona akijibu maswali ya waandishi baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri. Pamoja na kwamba aliitisha maswali ni wazi kwamba alikuwa akiwajibu kavu wale waliouliza pamoja na waulizaji kujitahidi kuuliza maswali ya msingi.

Mtu anauliza umetumia vigezo gani kuwateua hao kuwa mawaziri. Jibu lake ni kuwa kwani nilitumia vigezo gani kumteua Majaliwa kuwa waziri mkuu? Sisi tunajuaje? Toa ufafanuzi mkuu.

Kwa mwendo huu waandishi watasusia mambo ya msingi sana na kumwachia Msigwa kutoa habari zote za Magufuli..
Suseni biashara idorore..siku hizi bila kuweka habari ya.JPM huuzi habari
 
Leo nimemuona akijibu maswali ya waandishi baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri. Pamoja na kwamba aliitisha maswali ni wazi kwamba alikuwa akiwajibu kavu wale waliouliza pamoja na waulizaji kujitahidi kuuliza maswali ya msingi.

Mtu anauliza umetumia vigezo gani kuwateua hao kuwa mawaziri. Jibu lake ni kuwa kwani nilitumia vigezo gani kumteua Majaliwa kuwa waziri mkuu? Sisi tunajuaje? Toa ufafanuzi mkuu.

Kwa mwendo huu waandishi watasusia mambo ya msingi sana na kumwachia Msigwa kutoa habari zote za Magufuli..
Waandishi wa habari tz sehemu kubwa hawana weledi. Huandika vitu bila utafiti. Na tatzi media haouse nyingi hazina vitengo vya utafiti au hawafundishwi utafiti. Pia waandishi wetu wa habari ni wepesi kwa rushwa na wengi wao siyo constructuve ktk kuuliza maswali. Mh Dr Rais kawajibu vizuri mno nimefurahi sana,
 
Back
Top Bottom