Rais Magufuli: Nitahamia Dodoma mwaka huu, 2018

Rais Magufuli: Nitahamia Dodoma mwaka huu, 2018

Huyo mzee dodoma ataenda haraka tuu.Hivi wewe mama yako mzazi yupo icu dar unamwacha uende Dodoma?kweli kuongoza hii nchi ni kujitoa muhanga kupambana na matakataka.Huyu ndiye raisi wa ahadi na utashangaa ataenda Dodoma na ndoto ya mwalimu nyerere itatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hao wengine wameshatangulia, hapana shaka nae atafuata, huenda kuna baadhi ya mipango haijakamilika kama ilivyotarajiwa, dunia ni ya Mungu sio ya chama hii.
 
Kama hao wengine wameshatangulia, hapana shaka nae atafuata, huenda kuna baadhi ya mipango haijakamilika kama ilivyotarajiwa, dunia ni ya Mungu sio ya chama hii.

Kutwa wapo Dsm huko Dodoma hawakai kabsa ni matumizi mabaya ya pesa za umma
 
Serikali ya CCM chini ya rais Pombe Magufuli ilitamba Sana na kupiga kelele kwamba kabla mwaka haujaisha rais atakua keshahamia makao makuu ya nchi mjini Dodoma kuungana na Makamu wake na waziri mkuu

Cha ajabu mwaka umebakiza dakika kadhaa uishe zile kelele na mbwembwe za rais kuhamia Dodoma kabla mwaka 2018 haujaisha sijui zimepotelea wapi

Wafia Chama na wajuvi wengine wa hii safari ya Dodoma mnijuze mmefikia wapi.
Rejea kauli yake ya kwanza kabisa akisema yeye atahamia Dodoma mwanzoni mwa 2019. Hata hivyo unataka ahamie 2018 umepanga kuhamia Magogoni?
 
Jamaa mpaka saa moja hii bado yupo Dar

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
hata akihamia haina msaada kwa mwananchi wa kawaida ,labda wagogo kidogo wanavyopenda kuomba itawasaidia kiasi.
 
Huyo mzee dodoma ataenda haraka tuu.Hivi wewe mama yako mzazi yupo icu dar unamwacha uende Dodoma?kweli kuongoza hii nchi ni kujitoa muhanga kupambana na matakataka.Huyu ndiye raisi wa ahadi na utashangaa ataenda Dodoma na ndoto ya mwalimu nyerere itatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani yeye daktari.
 
Back
Top Bottom