Rais Magufuli: Nilivyoingia sukari Ilikuwa Sh. 5,000/- sasa hivi imeshuka na itaendelea kushuka

Zipo siredi kibao na posts humuhumu jF za vilio vya watu kuwa sukari imepanda bei mpaka shilingi 5000 hata 6000 zipo hapa. Ila watu kwa chuki zao binafsi wanajitoa akili. Tatizo nilionalo hapa ni jinsi hii hoja ilivyo wakilishwa kweli kuna wakati sukari ilifikia hiyo bei kwa mujibu wa michango yenu hapa jF nyie ambao leo mwajitoa akili.

Kweli sukari sasa ni shilingi 2800 wala halipingiki, sasa hii kauli ya alipoingia ina maanisha mwanzo wa utawala wake. Na sote twajua nini kilitokea hapo mwanzo wa utawala wake na kusababisha bei kupanda. Sasa ni wapi kamtaja Kikwete katika hili la sukari mimi napata taabu kidogo, ila kwa wenye hila na nia ya kumfitisha Rais JPM na Mzee Kikwete tayari wameshatia maneno yao ya fitina. Sisi kama taifa tukishindwa kudhibiti chokochoko hizi za fitina za rejareja za aina hii basi tusubiri anguko tu.

Lakini hili la albadir ni suala la kiimani. Na kusemea imani za watu ina kuwa ngumu. Lakini tunaweza kujifunza jambo kuwa chuki iko zaidi upande upi, kwa nini? walipata nini wakati ule? Wanakosa nini wakati huu? Kinacho sababisha chuki za kiwango hiki ni nini? Nk nk nk.

Mchina wajF.
Na washawasha!
 
Zipo siredi kibao na posts humuhumu jF za vilio vya watu kuwa sukari imepanda bei mpaka shilingi 5000 hata 6000 zipo hapa. Ila watu jwa chuki zao binafsi wanajitoa akili. Tatizo nilionalo hapa ni jinsi hii hoja ilivyo wakilishwa kweli kuna wskati sukari ilifikia hiyo bei kwa mujibu wa michango yenu hapa jF nyie ambao leo mwsjitoa akili.

Kweli sukari sasa ni shilingi 2800 wala halipingiki, sasa hii kauli ya alipoingia ina maanisha mwanzo wa utawala wake. Na sote twajua nini kilitokea hapo mwanzo wa utawala wake na kusababisha bei kupanda. Sasa ni wapi kamtaja Kikwete katika hili la sukari mimi napata taabu kidogo, ila kwa wenye hila na nia ya kumfitisha Rais JPM na Mzee Kikwete tayari wameshatia maneno yao ya fitina. Sisi kama taifa tukishindwa kudhibiti chokochoko hizi za fitina za rejareja za aina hii basi tusubiri anguko tu.

Lakini hili la albadir ni suala la kiimani. Na kusemea imani za watu ina kuwa ngumu. Lakini tunaweza kujifunza jambo kuwa chuki iko zaidi upande upi, kwa nini? walipata nini wakati ule? Wanakosa nini wakati huu? Kinacho sababisha chuki za kukiwango hiki ni nini? Nk nk nk.

Mchina wajF.
Na washawasha.
mchina hujawahi kuandika comment ndefu namna hii.nini kimekupata? pole
 
Huoni aibu kumtetea huyu mtu pori


Huoni aibu kwa watu kujisahaulisha leo kuwa hawajui kwamba kupanda kwa bei ya sukari ilikuwa moja ya agenda na sera kuu ya upinzani hapa nchini wakiitumia kama silaha yao ya kumnanga Mh Rais na serikali yake mwanzoni mwa utawala huu?

Mchina wajF.
Na washawasha!
 
Anasema Alivyoingia Sukari Ilikuwa 5000 Sasa Hivi Imeshuka na Itaendelea Kushuka Kuweka Kumbukumbu Sawa Sukari Ilikuwa 1600 na Sasa ni 2800

Nilipoingia madaraka sukari ilikuwa inauzwa hadi Tsh 5,000 kwa kilo, lakini sasa imeshuka na itaendelea kushuka zaidi- JPM

Kupata Vichekesho Vingine Kama Hivi Tuma Neno SUKARI Kwenda Namba 15678 !!

CHADEMA Ilishawai Kufukuza Madiwani 5 Na Uchaguzi Wa Marudio Wakashinda Kata Zote UNAKUMBUKA? Siasa Zetu Machalii tunazijua Wenyewe.

Rangi Ya Kijani Mkoani Arusha Imebaki Kwenye Kwenye Miti Na Mbogamboga Tu, Karibu Arusha!!

mr mkiki.
Did he take his meds before the speech???
 
unapenda kufuatiliwa eeeh! take care. ameongea kwamba wakati anaingia ofisini kg ya sukari ilikuwa Tsh.5000 sijui wewe unaelewaje hapo.

Mwanzo wa utawala wake ndicho nilicho elewa na ndicho nilicho kishuhudia kuhusu sukari. Labda ni kuulize faida ya upotoshaji huu ni nini? Au ni seme hivi lengo la upotoshaji huu ni nini?

Mchina wajF.
Na washawasha!
 
Hakuna aliyesahau namna walivyopiga marufuku uingizaji sukari na kuwatokea puani , leo tunadanganywa ili iweje ?

Hivi mlitegemea bei ya sukari iliyo lipiwa ushuru halali iwe sawa na bei ya sukari isiyo lipiwa ushuru kihalali(iliyo ingizwa kiholela)? Au ndio zile akili za hata isipolipiwa ushuru kwangu si tatizo maadam bei ni 1600. Kivuko kikifia katika ya bahari mapoyoyo yanailamu serikali. Mara tu kwisha sahau moja ya habari muhimu cluods fm enzi hizo ilikuwa kuzimika kivuko cha mv alilina.

Mchina wajF.
Na washawasha!
 
Hivi mlitegemea bei ya sukari iliyo lipiwa ushuru halali iwe sawa na bei ya sukari isiyo lipiwa ushuru kihalali(iliyo ingizwa kiholela)? Au ndio zile akili za hata isipolipiwa ushuru kwangu si tatizo maadam bei ni 1600. Kivuko kikifia katika ya bahari mapoyoyo yanailamu serikali. Mara tu kwisha sahau moja ya habari muhimu cluods fm enzi hizo ilikuwa kuzimika kivuko cha mv alilina.

Mchina wajF.
Na washawasha!
Hivi umeelewa ulichoandika ?
 
Hivi Zito alifikiria nini lakini.!?

Ila Zito angekuwa na msimamo kama Mbowe, Sugu, Lema , Lisu na Mdee kwa kwa kwe CCM ingekua na wakati mgumu sana.
Huyu jamaa anajua kucheza na siasa sana lakini anasiasa za kubadilika badilika.
Mara asifie mara aponde n.k. Hata hivyo huyu jamaa ni Kichwa sana
 
Back
Top Bottom