Rais Magufuli: Niliivunja Bodi ya TRA baada ya kuidhinisha mabilioni ya pesa kwenda benki binafsi

Naona nikuongezee kuhusu kipande hicho cha maelezo. Unajua kwa nini makandarasi wanaweka bei zao juu wanapokuwa wanachukuwa kazi za serikali? Huwa wanajitahidi kujilinda na ucheleweshaji huo. Ndiyo maana nikahisi unazungumzia pesa ya familia yako. Pesa ya serikali huwezi kuiweka kwenye kinga za kizembe na zenye mianya ya upotevu kiasi hicho.

Labda hutaki kuelewa na unabisha tu.

Hizo kinga (hedging) zinatumiwa na makampuni na mashirika yote duniani. Si jambo jipya.

Kuliko ukalie 26 au 37 billion cash kwenye current account ni bora uweke kwenye fixed deposit account. Hata rate ya 1% itakuarudishia pesa nzuri 0.26 au 0.37 billion ambayo utafanyia mambo mengine.

Upotevu ni hisia zako lakini mpaka sasa ni wakurugenzi wangapi wamekamatwa wameiba riba? Hao waliofukuzwa wameiba?

Ujenzi wa madarasa kwa mfano utachukua zaidi ya miezi mitatu mpaka uanze kufanya malipo na malipo ni mpaka uhakiki utekelezaji wa kazi na bado kuna 20% retention fee. Kwa nini uweke hiyo pesa current account?

Ucheleweshaji unaoongelea ni serikalini, serikali za kuu na serikali za mitaa na hii inasababishwa na ucheleweshaji wa fedha kutoka hazina. Usichanganye mambo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mlizoea Zamani MTU anakamatwa na ,,;Sembe , eti mahakamani wanasema ushahidi haujakamilika,,

Fedha ya serikali kwake ni Bank kuu,, huo ni wizi wa kutaka faida ya haraka ili wagawane faida,, HAKUNA DILI SASA HIVI wote ni kusoma NAMBA tu.
Wizi upo mpaka leo, zipo wapi pesa za Kagera, unajifanya umesahau 10m za wabunge.
 
Labda hutaki kuelewa na unabisha tu.

Hizo kinga (hedging) zinatumiwa na makampuni na mashirika yote duniani. Si jambo jipya.

Kuliko ukalie 26 au 37 billion cash kwenye current account ni bora uweke kwenye fixed deposit account. Hata rate ya 1% itakuarudishia pesa nzuri 0.26 au 0.37 billion ambayo utafanyia mambo mengine.

Upotevu ni hisia zako lakini mpaka sasa ni wakurugenzi wangapi wamekamatwa wameiba riba? Hao waliofukuzwa wameiba?

Ujenzi wa madarasa kwa mfano utachukua zaidi ya miezi mitatu mpaka uanze kufanya malipo na malipo ni mpaka uhakiki utekelezaji wa kazi na bado kuna 20% retention fee. Kwa nini uweke hiyo pesa current account?

Ucheleweshaji unaoongelea ni serikalini, serikali za kuu na serikali za mitaa na hii inasababishwa na ucheleweshaji wa fedha kutoka hazina. Usichanganye mambo.
Ndugu yangu kinga ninayoisema siyo hiyo unayozungumzia. Ktk accounting system ya TZ umewahi kuisikia taasisi ikitumia fixed deposits kama kinga ya pesa zake? Au sasa unaomba itumike?

Mtindo huo ni mbovu na umetumiwa kwa miaka mingi, tangu miaka ya 80 tunajua viongozi wanatumia pesa za serikali kufanya biashara na mabenki na riba wanaibeba wao.

Kila mwaka bajeti ya serikali inasomwa. ktk mapato ya serikali umewahi sikia riba ya pesa zake ktk benki ikitajwa? wewe bado unaona ni ubishi? Serikali haitumii pesa zake kwa mtindo huo wa kushikisha mabenki. Never!
 
Inashangaza sana Mkuu.

Aisee watu ni wagumu kuelewa au labda ni ubishi tu.

Huwezi kukaa na 26 billion cash kwenye current account. Hauwezi! Ndiyo maana bodi yenye gavana na kamishna imepitisha hili.
 
Uvundo hapa ni upi Mkuu? Kufungua fixed deposit kwenye bank binafsi ni sheria ipi ya Serikali inayokataza hili? Ilitungwa lini na wapi!? Watu wasionewe kufukuzwa na sheria za kukurupuka ambazo zinatungwa kichwani ili kukomoa watu.
Watu wengine bwana, ww sheria ipi unaijua???? Pesa umepewa ya kutumia unaweka bank ya kazi gani, halafu wao ndio wa kwanza kulalamika serikali haitumi pesa za miradi kwa wananchi, hao ndio hawawalipi wakandarasi halafu serikali inalaumiwa. Embu fikiria hao waliokuwa wanaidai TRA kwa tenders au shughuli yoyote waliyofanya halafu unaambiwa usubirie mpaka hela ziive huko zilikokuwa.
 
Wewe fanya tu lolote, wakipata akili za kibinadamu watakuelewa tu!. Mungu anakulinda just songa mbele
 
Mabenki yatafilisika kwa jinsi yalivyoanza...huwezi kuanzisha benki na kuendesha kwa mtaji wa serikali....yaani benki unategemea account holder mmoja?Its very risk....sidhani kama serikali ina fedha nyingi kiasi hicho mpaka kuweka fedha kwenye fixed account...vinginevyo inachelewesha maendeleo.haya mabenki yatafute mitaji kwa njia mbali mbali nje ya fedha za serikali....
 
Ndugu yangu kinga ninayoisema siyo hiyo unayozungumzia. Ktk accounting system ya TZ umewahi kuisikia taasisi ikitumia fixed deposits kama kinga ya pesa zake? Au sasa unaomba itumike?

Mtindo huo ni mbovu na umetumiwa kwa miaka mingi, tangu miaka ya 80 tunajua viongozi wanatumia pesa za serikali kufanya biashara na mabenki na riba wanaibeba wao.

Kila mwaka bajeti ya serikali inasomwa. ktk mapato ya serikali umewahi sikia riba ya pesa zake ktk benki ikitajwa? wewe bado unaona ni ubishi? Serikali haitumii pesa zake kwa mtindo huo wa kushikisha mabenki. Never!
Hiyo riba wanaibebaje wakati inawekwa na Benki kwenye akaunti hiyohiyo ya Serikali au taasisi husika. Kuitoa hiyo hela ni lazima unyoshe maelezo na CA anakagua. Naomba kuelimishwa hapa
 
Tatizo hujui kitu, tunaongelea maisha ya watu wewe unaongelea mzaha. Ndipo hapo Mh Rais anaona kuna watu mnafurahi jinsi anavyofanya, kumbe mnachuki zenu binafsi. Hakuna serikali duniani inaweka hela kwenye bank kuu hakuna, na haitakuja kuwepo. Fedha zote tunazotumia ni mali inayosamiwa na benk kuu, ndio maana hauwezi wewe kwenda benki kuu ukafungue account, haiwezekani kabisa. Hizi bank binafsi ndio zinakaaa na hela ya serikali, zikiozungusha kwa wananchi, ebu elewa vizuru msishabikie tu, bila kuwa na sababu ya msingi. Ndio maana hazina inauza bond zake, jamani wachumi mliobobea kubali kufa huku mkiitetea fani yenu jamani, acheni usomi kama wakina furani. Umeniuzi sana halafu inajiita haujulikani, unaweza ukawa mini ndio maana unafurahia watu wanavyoteseka.
we ndio hujui kitu pesa zote za serikali zinakaa BOT Benk kuu....Nchi zote duniani ndio zinafanya hivyo.....Benki zina pesa zao wenyewe zinazotokana na kuuza share.....Kazi ya benki ni kuhifadhi pesa za wananchi na kufanya nao biashara kupitia mikopo .....Sio kazi ya benki za biashara kutunza pesa za serikali.....Serikali benki yake ni BOT tu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwa mwenendo huu kitakachotekea ni hiki:

Bank zitaenda kukopa BOT zikisha kopa nazo zitatafuta wa kuwakopesha kwasababu serikali itakuwa haikopi tena .
Lazima bank zitutafute watu wa kawaida ili tukakope pesa zao. Zama za kuwapigia bank magoti zimeisha.

Magufuli kaza buti baba. Hata nyie mnaolalamika mtafaidika na mfumo huu
Serikali haiwezi acha kukopa maana makusanyo hayajitoshelezi. Shida ni kwamba hizi pesa watu wanazoweka kwny fixed deposit unakuta serikali imokepa kwa ajili ya miradi ya maendeleo nk nk halafu badala ya watu kufanyia wanachotakiwa kufanya wanaziweka bank, sasa jiulize riba anachukuaga nani???? Umeshasikiaga idara ya serijali imesema imepata faida kiasi gani kutoka kwenye fixed deposits??? Hizo watu wanazipigaga juu kwa juu
 
Ndugu yangu kinga ninayoisema siyo hiyo unayozungumzia. Ktk accounting system ya TZ umewahi kuisikia taasisi ikitumia fixed deposits kama kinga ya pesa zake? Au sasa unaomba itumike?

Mashirika mengi ya serikali yanaweka pesa kwenye fixed deposits account. Hakuna sheria inayokataza hilo. Ni JPM hataki hilo lakini hakuna sheria inayokataza hilo.

Kama umewahi kufanya kazi za kifedha utaelewa ni bora kuweka fedha kwenye fixed account kuliko current account kama utaitumia muda wa mbele.

Mtindo huo ni mbovu na umetumiwa kwa miaka mingi, tangu miaka ya 80 tunajua viongozi wanatumia pesa za serikali kufanya biashara na mabenki na riba wanaibeba wao.

Miaka ya 80 ndiyo kwanza benki hata 5 zilikuwa hazifiki. Mfumo wa ujamaa na chama kimoja.

Ila sikatai labda wapo wakurugenzi wanaofanya hivyo, uwizi upo sehemu zote. Lakini kwenye ripoti ya CAG na hata hawa wanaofukuzwa hatujaona wakipandishwa mahakamani kwa wizi huo. Au unamjua mkurugenzi aliyekamatwa akiiba riba ya shirika?

Na anacholalamika JPM si hicho ni kwamba hiyo fedha ingeenda kutumika, kwa nini ikae kwenye fixed deposit?


Kila mwaka bajeti ya serikali inasomwa. ktk mapato ya serikali umewahi sikia riba ya pesa zake ktk benki ikitajwa? wewe bado unaona ni ubishi? Serikali haitumii pesa zake kwa mtindo huo wa kushikisha mabenki. Never!

Umesoma michango yangu lakini.

Huwezi kusikia riba kwenye mapato ya Serikali kwa sababu hayo ni mapato ya shirika la serikali. Serikali mapato yake ni kodi, misaada, tozo za serikali za mitaa na gawio kutoka haya mashirika na si riba ya fedha kwenye amana za haya mashirika.

Haya mashirika yanajiendesha kutumia fedha kutoka vyanzo tofauti (kimoja wapo ni riba kutoka fixed deposit account) na kuhudumia wananchi. Faida inayopatikana Serikali inapata gawio lake.

Sasa kusema riba ni mapato ya serikali na kusubiri kusomwa kwenye bajeti unakosea.

Haya mashirika yanasimamiwa na bodi na TR na kukaguliwa na CAG. Ndiyo maana hilo jambo si jipya na halina wizi wa wazi hivyo. Kama bodi ingeiba TR na CAG wangeona. Na kama wizi umefanyika mbona hawapelekwi mahakamani na kufungwa?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
we ndio hujui kitu pesa zote za serikali zinakaa BOT Benk kuu....Nchi zote duniani ndio zinafanya hivyo.....Benki zina pesa zao wenyewe zinazotokana na kuuza share.....Kazi ya benki ni kuhifadhi pesa za wananchi na kufanya nao biashara kupitia mikopo .....Sio kazi ya benki za biashara kutunza pesa za serikali.....Serikali benki yake ni BOT tu
Unongea nini, hivi unajua hela zinatengenezawa? Na tena pale BOT hawaprint hela!! Ukijua hivyo nijibu ili nikushushie nondo.
 
Hiyo riba wanaibebaje wakati inawekwa na Benki kwenye akaunti hiyohiyo ya Serikali au taasisi husika. Kuitoa hiyo hela ni lazima unyoshe maelezo na CA anakagua. Naomba kuelimishwa hapa
Naona huu ni mchezo mgeni kwako huyo CA huwa anakagua benki? We vipi bhana! bajeti ya serikali ya trilioni 29 umewahi kusikia ikiingizia serikali faida yoyote kama riba? Majibu mengine unaweza kuyapata mwenyewe tu kwa kujiuliza.
 
Labda hutaki kuelewa na unabisha tu.

Hizo kinga (hedging) zinatumiwa na makampuni na mashirika yote duniani. Si jambo jipya.

Kuliko ukalie 26 au 37 billion cash kwenye current account ni bora uweke kwenye fixed deposit account. Hata rate ya 1% itakuarudishia pesa nzuri 0.26 au 0.37 billion ambayo utafanyia mambo mengine.

Upotevu ni hisia zako lakini mpaka sasa ni wakurugenzi wangapi wamekamatwa wameiba riba? Hao waliofukuzwa wameiba?

Ujenzi wa madarasa kwa mfano utachukua zaidi ya miezi mitatu mpaka uanze kufanya malipo na malipo ni mpaka uhakiki utekelezaji wa kazi na bado kuna 20% retention fee. Kwa nini uweke hiyo pesa current account?

Ucheleweshaji unaoongelea ni serikalini, serikali za kuu na serikali za mitaa na hii inasababishwa na ucheleweshaji wa fedha kutoka hazina. Usichanganye mambo.
Unakaaje na hela ulizopewa ulioe madeni na matumizi mengine, embu kaangalieni TRA wanadaiwa bei kiasi gani na wazabuni wao, au hao TEA angalieni niiradi mingapi inasubiria wapelekewe hela wao wameweka deposits????
 
Kazi kweli kweli bado tuna safari ndefu sana ya watu kujifanya wanajua yale ambayo hawana ufahamu nayo hata chembe.

Watu wengine bwana, ww sheria ipi unaijua???? Pesa umepewa ya kutumia unaweka bank ya kazi gani, halafu wao ndio wa kwanza kulalamika serikali haitumi pesa za miradi kwa wananchi, hao ndio hawawalipi wakandarasi halafu serikali inalaumiwa. Embu fikiria hao waliokuwa wanaidai TRA kwa tenders au shughuli yoyote waliyofanya halafu unaambiwa usubirie mpaka hela ziive huko zilikokuwa.
 
Nimeangalia hiyo clip nimewahurumia hawa waliofukuzwa kazi. Poleni sana watu watawasema ila hamna kosa hapo.

Pesa ni za TRA kwa sababu ya matumizi ya TRA mkuu hataki zikae kwenye fixed deposit accounts? Hii ni mbaya.

Hata hizi za TEA nayo ni mbaya na si ajabu bodi au mkurugenzi huko atafukuzwa.

Kwa mfano una billion 37 za taasisi yako na unataka kujenga madarasa 100. Mchakato wa kupata mjenzi si ajabu ukachukua mwezi na zaidi. Sasa hiyo billion 37 kuliko kukaa savings account si heri ikae kwenye fixed deposit account?

Umepata mtu wa kujenga hayo madarasa, hulipi pesa yote cash. Unalipa labda 40%-60% na nyingine unalipa akimaliza. Sasa mpaka amalize ni muda kwa mfano miezi mitatu au minne. Kwa nini usieke hiyo pesa kwenye fixed deposits account ikupe interest kuliko kuacha savings account ambapo ni hasara kwa taasisi yako.

Watu wamshauri maana huwezi kutumia hiyo pesa ndani ya muda mfupi tu.

na je baada ya kuweka hiyo riba inaenda wapi
 
Back
Top Bottom