Rais Magufuli ni Mzalendo aliyetukuka, amepita kwenye vikwazo kuzidi marais waliomtangulia

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF,

Bila kuingilia mambo ya kurudia ayasemayo Rais Mstaafu A. H. Mwinyi ni kweli kwamba mheshiwa Rais amepita kwenye kipindi kigumu sana ambacho mpaka yeye anathubutu kusema Urais ni mgumu sana. Kwanza kitendo cha kupambana na wezi wa kimataifa kupitia madini ambao wanatumia mianya ya uelewa ndogo wa watu wetu kurubuni na kuchota dhahabu na madini mengine ya thamani ambayo mikataba ya kilaghai imefanywa na wanaojifanya ni weledi wa sheria kumbe ndio wanaofanikisha kuibiwa kwetu.

Kitendo cha kushawishi Marais wa East Africa kumwona lulu na kufanya mazungumzo naye mara kwa mara ni zairi kuwa anakubalika sana. Zamani kenya na Rwanda zilitudhalau sana kuona tunakufa njaa wakati nchi ina mali kibao, pia imefikia kuwa sisi hatuna alama ya nchi kama vile madini yetu yanapopatikana nchi za jirani na nchi za nje wakati sisi hatuna faida nayo.

Katika chama chake kitendo cha kuchagua team ya kuchunguza wapi zilipo mali za CCM na kuwaweka wazi watafunaji na kuwataka wazirudishe sio kitendo cha mchezo kwani hawa nchwa wanaweza kukudhuru, hata hivyo tunawasikia kupitia viashiria fulani wakijaribu kuvuruga chama. Haya mambo uwezi kuyahoji kwenye vyama vya upinzani kwani utaambiwa msaliti na mdhandiki.

Kuwafanya waqfanyakazi wapende nchi yao kwanza badala ya kila mwaka kudai kuoongezwa mshahara wakati hakuna kilichozalishwa zaidi. Kipato cha mtanzania kinategemea shughuli mbali mbali za uzalishajim yeye Rais anajidhatiti kuboresha shughuli za kiuchumi ili pesa ikipatikana afanye maboresho. Ukipandisha mshahara wakati wafuta yanaendelea kupanda bei, kila kitu kitapanda tu. Mfano kama akiimarisha Gas nchini na ikatumika ipasavyo, uagizaji wa mafuta ya petroli, na mafuta ya taa utapungua hivyo pesa kubaki nchini.

Rais wetu kila kukicha wazungu wanamtungia takwimu feki kioonyesha uchumi wetu unadorola hata wakati mwingine wananyima msaada au mkopo wakisema tanzania hakuna democrasia. Democrasia ya kupiga kelele tu aileti maendeleo kwani kwenye vyama kwenyewe hakuna democrasia.

Kupambana na Rushwa na ujambazi, ilifikia hatua mtu uwezi kunywa kwenye baa ambayo imefunikwa kwani kagari kako ka mkopo kanaweza kuchukuliw wakati wowote, sasa majambazi hawajulikani wameenda wapi. Vijana matapeli ndio waliokuwa wanasifiwa na ndio wanaipangia serikali nani awe mkuu wa wiraya. kuna kakijana fulani ambako kapo karibu na aliyekuwa rais miaka fulani eti ndiko kanapanga waqkuu waq mikoa na wilaya kufuatana na ushwahiba uliopo. Rushwa ya ngono kupata kazi ilikuwa kiwango cha juu. kupata udereva serikalini ilikuwa na kwa memo sio weledi hadi vijana walikuwa wanaangusha magari ovyo serikali inapata hasara.

Marais na mawaziri ili la kuua njia zote za reli waliliona na kuliachia tuu, hadi barabara zetu tumepotezaq kudi nyingi kwa uharibifu unaofanywa na maroli yenye tairi moja moja ambayo nchi nyingine zilishapigwa marufuku. Mizigo mizito ilipitishwa kwenye barabara zenye viwango duni kutokana na mapatano ya mkandarasim angalau sasa hivi mzigo mzito uwezi kuupitsha kirahisi kama zamani, Mzalendo huyu aliwahi kuzuia mzigo mkubwa kupishwa kwenye barabara zetu akatokea marumbana kati ya waziri na waziri, pia madreva waliwahi kugoma kupinga kupunguzwa uzito.
 
Wana JF,

Bila kuingilia mambo ya kurudia ayasemayo Rais Mstaafu A. H. Mwinyi ni kweli kwamba mheshiwa Rais amepita kwenye kipindi kigumu sana ambacho mpaka yeye anathubutu kusema Urais ni mgumu sana. Kwanza kitendo cha kupambana na wezi wa kimataifa kupitia madini ambao wanatumia mianya ya uelewa ndogo wa watu wetu kurubuni na kuchota dhahabu na madini mengine ya thamani ambayo mikataba ya kilaghai imefanywa na wanaojifanya ni weledi wa sheria kumbe ndio wanaofanikisha kuibiwa kwetu.

Kitendo cha kushawishi Marais wa East Africa kumwona lulu na kufanya mazungumzo naye mara kwa mara ni zairi kuwa anakubalika sana. Zamani kenya na Rwanda zilitudhalau sana kuona tunakufa njaa wakati nchi ina mali kibao, pia imefikia kuwa sisi hatuna alama ya nchi kama vile madini yetu yanapopatikana nchi za jirani na nchi za nje wakati sisi hatuna faida nayo.

Katika chama chake kitendo cha kuchagua team ya kuchunguza wapi zilipo mali za CCM na kuwaweka wazi watafunaji na kuwataka wazirudishe sio kitendo cha mchezo kwani hawa nchwa wanaweza kukudhuru, hata hivyo tunawasikia kupitia viashiria fulani wakijaribu kuvuruga chama. Haya mambo uwezi kuyahoji kwenye vyama vya upinzani kwani utaambiwa msaliti na mdhandiki.

Kuwafanya waqfanyakazi wapende nchi yao kwanza badala ya kila mwaka kudai kuoongezwa mshahara wakati hakuna kilichozalishwa zaidi. Kipato cha mtanzania kinategemea shughuli mbali mbali za uzalishajim yeye Rais anajidhatiti kuboresha shughuli za kiuchumi ili pesa ikipatikana afanye maboresho. Ukipandisha mshahara wakati wafuta yanaendelea kupanda bei, kila kitu kitapanda tu. Mfano kama akiimarisha Gas nchini na ikatumika ipasavyo, uagizaji wa mafuta ya petroli, na mafuta ya taa utapungua hivyo pesa kubaki nchini.

Rais wetu kila kukicha wazungu wanamtungia takwimu feki kioonyesha uchumi wetu unadorola hata wakati mwingine wananyima msaada au mkopo wakisema tanzania hakuna democrasia. Democrasia ya kupiga kelele tu aileti maendeleo kwani kwenye vyama kwenyewe hakuna democrasia.

Kupambana na Rushwa na ujambazi, ilifikia hatua mtu uwezi kunywa kwenye baa ambayo imefunikwa kwani kagari kako ka mkopo kanaweza kuchukuliw wakati wowote, sasa majambazi hawajulikani wameenda wapi. Vijana matapeli ndio waliokuwa wanasifiwa na ndio wanaipangia serikali nani awe mkuu wa wiraya. kuna kakijana fulani ambako kapo karibu na aliyekuwa rais miaka fulani eti ndiko kanapanga waqkuu waq mikoa na wilaya kufuatana na ushwahiba uliopo. Rushwa ya ngono kupata kazi ilikuwa kiwango cha juu. kupata udereva serikalini ilikuwa na kwa memo sio weledi hadi vijana walikuwa wanaangusha magari ovyo serikali inapata hasara.

Marais na mawaziri ili la kuua njia zote za reli waliliona na kuliachia tuu, hadi barabara zetu tumepotezaq kudi nyingi kwa uharibifu unaofanywa na maroli yenye tairi moja moja ambayo nchi nyingine zilishapigwa marufuku. Mizigo mizito ilipitishwa kwenye barabara zenye viwango duni kutokana na mapatano ya mkandarasim angalau sasa hivi mzigo mzito uwezi kuupitsha kirahisi kama zamani, Mzalendo huyu aliwahi kuzuia mzigo mkubwa kupishwa kwenye barabara zetu akatokea marumbana kati ya waziri na waziri, pia madreva waliwahi kugoma kupinga kupunguzwa uzito.
kwa kutumia mapolisi hata Bi Chau angeweza kuwa rais!
 
Kwa siasa za sasa:-

1. Mzalendo aliyetukuka hawezi kuwa rais wa Tanzania.
2. Mtu akipata urais wa Tanzania hawezi kuwa mzalendo aliyetukuka.

Nitafafanua.

Uzalendo uliotukuka unataka mtu awe na maadili fulani. Maadili kama kukataa kusema uongo, kujiheshimu, kukataa rushwa nk.

Ukiwa na maadili haya, huwezi kufika hata kwenye ngazi ya ubunge, achilia mbali urais.

Kwa sababu.

1. Kampeni za ubunge zinahitaji uongo mwingi, kuwadanganya wananchi
2.Kampeni hizi zinahitaji hela nyingi za ufisadi na rushwa
3. Kampeni hizi zinahitaji siasa za majitaka nyingi ambazo mtu anayejiheshimu hawezi kufanya.

Kwa hivyo, wanaoweza kupanda ngazi katika siasa zetu, ni watu wasio na maadili, walio na maadili hawawezi kufanikiwa katika mfumo huu.

Hata kwenye vyama vya upinzani, hali si tofauti sana.

Kwa mfumo huu, watu wanaopanda ngazi kufikia uongozi wa kitaifa karibu wote wana "skeletons in the closet". Hakuna mwenye "uzalendo uliotukuka".
 
Uko sahihi boss.
Kwa siasa za sasa:-

1. Mzalendo aliyetukuka hawezi kuwa rais wa Tanzania.
2. Mtu akipata urais wa Tanzania hawezi kuwa mzalendo aliyetukuka.

Nitafafanua.

Uzalendo uliotukuka unataka mtu awe na maadili fulani. Maadili kama kukataa kusema uongo, kujiheshimu, kukataa rushwa nk.

Ukiwa na maadili haya, huwezi kufika hata kwenye ngazi ya ubunge, achilia mbali urais.

Kwa sababu.

1. Kampeni za ubunge zinahitaji uongo mwingi, kuwadanganya wananchi
2.Kampeni hizi zinahitaji hela nyingi za ufisadi na rushwa
3. Kampeni hizi zinahitaji siasa za majitaka nyingi ambazo mtu anayejiheshimu hawezi kufanya.

Kwa hivyo, wanaoweza kupanda ngazi katika siasa zetu, ni watu wasio na maadili, walio na maadili hawawezi kufanikiwa katika mfumo huu.

Hata kwenye vyama vya upinzani, hali si tofauti sana.

Kwa mfumo huu, watu wanaopanda ngazi kufikia uongozi wa kitaifa karibu wote wana "skeletons in the closet". Hakuna mwenye "uzalendo uliotukuka".
 
Wana JF,

Bila kuingilia mambo ya kurudia ayasemayo Rais Mstaafu A. H. Mwinyi ni kweli kwamba mheshiwa Rais amepita kwenye kipindi kigumu sana ambacho mpaka yeye anathubutu kusema Urais ni mgumu sana. Kwanza kitendo cha kupambana na wezi wa kimataifa kupitia madini ambao wanatumia mianya ya uelewa ndogo wa watu wetu kurubuni na kuchota dhahabu na madini mengine ya thamani ambayo mikataba ya kilaghai imefanywa na wanaojifanya ni weledi wa sheria kumbe ndio wanaofanikisha kuibiwa kwetu.

Kitendo cha kushawishi Marais wa East Africa kumwona lulu na kufanya mazungumzo naye mara kwa mara ni zairi kuwa anakubalika sana. Zamani kenya na Rwanda zilitudhalau sana kuona tunakufa njaa wakati nchi ina mali kibao, pia imefikia kuwa sisi hatuna alama ya nchi kama vile madini yetu yanapopatikana nchi za jirani na nchi za nje wakati sisi hatuna faida nayo.

Katika chama chake kitendo cha kuchagua team ya kuchunguza wapi zilipo mali za CCM na kuwaweka wazi watafunaji na kuwataka wazirudishe sio kitendo cha mchezo kwani hawa nchwa wanaweza kukudhuru, hata hivyo tunawasikia kupitia viashiria fulani wakijaribu kuvuruga chama. Haya mambo uwezi kuyahoji kwenye vyama vya upinzani kwani utaambiwa msaliti na mdhandiki.

Kuwafanya waqfanyakazi wapende nchi yao kwanza badala ya kila mwaka kudai kuoongezwa mshahara wakati hakuna kilichozalishwa zaidi. Kipato cha mtanzania kinategemea shughuli mbali mbali za uzalishajim yeye Rais anajidhatiti kuboresha shughuli za kiuchumi ili pesa ikipatikana afanye maboresho. Ukipandisha mshahara wakati wafuta yanaendelea kupanda bei, kila kitu kitapanda tu. Mfano kama akiimarisha Gas nchini na ikatumika ipasavyo, uagizaji wa mafuta ya petroli, na mafuta ya taa utapungua hivyo pesa kubaki nchini.

Rais wetu kila kukicha wazungu wanamtungia takwimu feki kioonyesha uchumi wetu unadorola hata wakati mwingine wananyima msaada au mkopo wakisema tanzania hakuna democrasia. Democrasia ya kupiga kelele tu aileti maendeleo kwani kwenye vyama kwenyewe hakuna democrasia.

Kupambana na Rushwa na ujambazi, ilifikia hatua mtu uwezi kunywa kwenye baa ambayo imefunikwa kwani kagari kako ka mkopo kanaweza kuchukuliw wakati wowote, sasa majambazi hawajulikani wameenda wapi. Vijana matapeli ndio waliokuwa wanasifiwa na ndio wanaipangia serikali nani awe mkuu wa wiraya. kuna kakijana fulani ambako kapo karibu na aliyekuwa rais miaka fulani eti ndiko kanapanga waqkuu waq mikoa na wilaya kufuatana na ushwahiba uliopo. Rushwa ya ngono kupata kazi ilikuwa kiwango cha juu. kupata udereva serikalini ilikuwa na kwa memo sio weledi hadi vijana walikuwa wanaangusha magari ovyo serikali inapata hasara.

Marais na mawaziri ili la kuua njia zote za reli waliliona na kuliachia tuu, hadi barabara zetu tumepotezaq kudi nyingi kwa uharibifu unaofanywa na maroli yenye tairi moja moja ambayo nchi nyingine zilishapigwa marufuku. Mizigo mizito ilipitishwa kwenye barabara zenye viwango duni kutokana na mapatano ya mkandarasim angalau sasa hivi mzigo mzito uwezi kuupitsha kirahisi kama zamani, Mzalendo huyu aliwahi kuzuia mzigo mkubwa kupishwa kwenye barabara zetu akatokea marumbana kati ya waziri na waziri, pia madreva waliwahi kugoma kupinga kupunguzwa uzito.
Magufuli hayupo hapo kwa bahati mbaya
 
Kwa siasa za sasa:-

1. Mzalendo aliyetukuka hawezi kuwa rais wa Tanzania.
2. Mtu akipata urais wa Tanzania hawezi kuwa mzalendo aliyetukuka.

Nitafafanua.

Uzalendo uliotukuka unataka mtu awe na maadili fulani. Maadili kama kukataa kusema uongo, kujiheshimu, kukataa rushwa nk.

Ukiwa na maadili haya, huwezi kufika hata kwenye ngazi ya ubunge, achilia mbali urais.

Kwa sababu.

1. Kampeni za ubunge zinahitaji uongo mwingi, kuwadanganya wananchi
2.Kampeni hizi zinahitaji hela nyingi za ufisadi na rushwa
3. Kampeni hizi zinahitaji siasa za majitaka nyingi ambazo mtu anayejiheshimu hawezi kufanya.

Kwa hivyo, wanaoweza kupanda ngazi katika siasa zetu, ni watu wasio na maadili, walio na maadili hawawezi kufanikiwa katika mfumo huu.

Hata kwenye vyama vya upinzani, hali si tofauti sana.

Kwa mfumo huu, watu wanaopanda ngazi kufikia uongozi wa kitaifa karibu wote wana "skeletons in the closet". Hakuna mwenye "uzalendo uliotukuka".
hata Nyerere alipokuwa anaachia ngazi aliomba samahani alipokosea kwa kutoweka kwenye ujamaa ulioleta umasikini wa kutupwa lakini huyu kwa matendo yake ni kama vile ameomba samahani kwa aliyoyafanya kupitia serikali iliyopita kwa kuanza kurudisha chama kwa wananchi, pia kurudisha mali za chama na serikali , kutondoa uozo wote aliohukuta sasa kwa maana alisi mzalendo aliyetubu na kusameheka sasa anafanya yaliyobora
 
hata Nyerere alipokuwa anaachia ngazi aliomba samahani alipokosea kwa kutoweka kwenye ujamaa ulioleta umasikini wa kutupwa lakini huyu kwa matendo yake ni kama vile ameomba samahani kwa aliyoyafanya kupitia serikali iliyopita kwa kuanza kurudisha chama kwa wananchi, pia kurudisha mali za chama na serikali , kutondoa uozo wote aliohukuta sasa kwa maana alisi mzalendo aliyetubu na kusameheka sasa anafanya yaliyobora
Nyerere hajawahi kuomba msamaha kwa ajili ya ujamaa.

Tena kuna muandishi mmoja aliuliza swali kwa kufikiri Nyerere anajutia Ujamaa, anauonea aibu, amegundua makosa katika Ujamaa, Nyerere alimjibu vikali kwamba hajawahi kujutia Ujamaa, kwamba inawezekana kuna mambo kama utaifishaji wa mashamba makubwa ya mkonge serikali ilikosea utekelezaji, lakini kiujumla misingi ya ujamaa anaikubali bado, na kuna vitabu viwili anatembea navyo pote, Biblia na Azimio la Arusha.

Kwa hivyo, jaribu kufuatilia historia vizuri kwanza kabla ya kuandika.
 
Wana JF,

Bila kuingilia mambo ya kurudia ayasemayo Rais Mstaafu A. H. Mwinyi ni kweli kwamba mheshiwa Rais amepita kwenye kipindi kigumu sana ambacho mpaka yeye anathubutu kusema Urais ni mgumu sana. Kwanza kitendo cha kupambana na wezi wa kimataifa kupitia madini ambao wanatumia mianya ya uelewa ndogo wa watu wetu kurubuni na kuchota dhahabu na madini mengine ya thamani ambayo mikataba ya kilaghai imefanywa na wanaojifanya ni weledi wa sheria kumbe ndio wanaofanikisha kuibiwa kwetu.

Kitendo cha kushawishi Marais wa East Africa kumwona lulu na kufanya mazungumzo naye mara kwa mara ni zairi kuwa anakubalika sana. Zamani kenya na Rwanda zilitudhalau sana kuona tunakufa njaa wakati nchi ina mali kibao, pia imefikia kuwa sisi hatuna alama ya nchi kama vile madini yetu yanapopatikana nchi za jirani na nchi za nje wakati sisi hatuna faida nayo.

Katika chama chake kitendo cha kuchagua team ya kuchunguza wapi zilipo mali za CCM na kuwaweka wazi watafunaji na kuwataka wazirudishe sio kitendo cha mchezo kwani hawa nchwa wanaweza kukudhuru, hata hivyo tunawasikia kupitia viashiria fulani wakijaribu kuvuruga chama. Haya mambo uwezi kuyahoji kwenye vyama vya upinzani kwani utaambiwa msaliti na mdhandiki.

Kuwafanya waqfanyakazi wapende nchi yao kwanza badala ya kila mwaka kudai kuoongezwa mshahara wakati hakuna kilichozalishwa zaidi. Kipato cha mtanzania kinategemea shughuli mbali mbali za uzalishajim yeye Rais anajidhatiti kuboresha shughuli za kiuchumi ili pesa ikipatikana afanye maboresho. Ukipandisha mshahara wakati wafuta yanaendelea kupanda bei, kila kitu kitapanda tu. Mfano kama akiimarisha Gas nchini na ikatumika ipasavyo, uagizaji wa mafuta ya petroli, na mafuta ya taa utapungua hivyo pesa kubaki nchini.

Rais wetu kila kukicha wazungu wanamtungia takwimu feki kioonyesha uchumi wetu unadorola hata wakati mwingine wananyima msaada au mkopo wakisema tanzania hakuna democrasia. Democrasia ya kupiga kelele tu aileti maendeleo kwani kwenye vyama kwenyewe hakuna democrasia.

Kupambana na Rushwa na ujambazi, ilifikia hatua mtu uwezi kunywa kwenye baa ambayo imefunikwa kwani kagari kako ka mkopo kanaweza kuchukuliw wakati wowote, sasa majambazi hawajulikani wameenda wapi. Vijana matapeli ndio waliokuwa wanasifiwa na ndio wanaipangia serikali nani awe mkuu wa wiraya. kuna kakijana fulani ambako kapo karibu na aliyekuwa rais miaka fulani eti ndiko kanapanga waqkuu waq mikoa na wilaya kufuatana na ushwahiba uliopo. Rushwa ya ngono kupata kazi ilikuwa kiwango cha juu. kupata udereva serikalini ilikuwa na kwa memo sio weledi hadi vijana walikuwa wanaangusha magari ovyo serikali inapata hasara.

Marais na mawaziri ili la kuua njia zote za reli waliliona na kuliachia tuu, hadi barabara zetu tumepotezaq kudi nyingi kwa uharibifu unaofanywa na maroli yenye tairi moja moja ambayo nchi nyingine zilishapigwa marufuku. Mizigo mizito ilipitishwa kwenye barabara zenye viwango duni kutokana na mapatano ya mkandarasim angalau sasa hivi mzigo mzito uwezi kuupitsha kirahisi kama zamani, Mzalendo huyu aliwahi kuzuia mzigo mkubwa kupishwa kwenye barabara zetu akatokea marumbana kati ya waziri na waziri, pia madreva waliwahi kugoma kupinga kupunguzwa uzito.
Mfungwa mtarajiwa siku zake zinahesabika
 
Wana JF,

Bila kuingilia mambo ya kurudia ayasemayo Rais Mstaafu A. H. Mwinyi ni kweli kwamba mheshiwa Rais amepita kwenye kipindi kigumu sana ambacho mpaka yeye anathubutu kusema Urais ni mgumu sana. Kwanza kitendo cha kupambana na wezi wa kimataifa kupitia madini ambao wanatumia mianya ya uelewa ndogo wa watu wetu kurubuni na kuchota dhahabu na madini mengine ya thamani ambayo mikataba ya kilaghai imefanywa na wanaojifanya ni weledi wa sheria kumbe ndio wanaofanikisha kuibiwa kwetu.

Kitendo cha kushawishi Marais wa East Africa kumwona lulu na kufanya mazungumzo naye mara kwa mara ni zairi kuwa anakubalika sana. Zamani kenya na Rwanda zilitudhalau sana kuona tunakufa njaa wakati nchi ina mali kibao, pia imefikia kuwa sisi hatuna alama ya nchi kama vile madini yetu yanapopatikana nchi za jirani na nchi za nje wakati sisi hatuna faida nayo.

Katika chama chake kitendo cha kuchagua team ya kuchunguza wapi zilipo mali za CCM na kuwaweka wazi watafunaji na kuwataka wazirudishe sio kitendo cha mchezo kwani hawa nchwa wanaweza kukudhuru, hata hivyo tunawasikia kupitia viashiria fulani wakijaribu kuvuruga chama. Haya mambo uwezi kuyahoji kwenye vyama vya upinzani kwani utaambiwa msaliti na mdhandiki.

Kuwafanya waqfanyakazi wapende nchi yao kwanza badala ya kila mwaka kudai kuoongezwa mshahara wakati hakuna kilichozalishwa zaidi. Kipato cha mtanzania kinategemea shughuli mbali mbali za uzalishajim yeye Rais anajidhatiti kuboresha shughuli za kiuchumi ili pesa ikipatikana afanye maboresho. Ukipandisha mshahara wakati wafuta yanaendelea kupanda bei, kila kitu kitapanda tu. Mfano kama akiimarisha Gas nchini na ikatumika ipasavyo, uagizaji wa mafuta ya petroli, na mafuta ya taa utapungua hivyo pesa kubaki nchini.

Rais wetu kila kukicha wazungu wanamtungia takwimu feki kioonyesha uchumi wetu unadorola hata wakati mwingine wananyima msaada au mkopo wakisema tanzania hakuna democrasia. Democrasia ya kupiga kelele tu aileti maendeleo kwani kwenye vyama kwenyewe hakuna democrasia.

Kupambana na Rushwa na ujambazi, ilifikia hatua mtu uwezi kunywa kwenye baa ambayo imefunikwa kwani kagari kako ka mkopo kanaweza kuchukuliw wakati wowote, sasa majambazi hawajulikani wameenda wapi. Vijana matapeli ndio waliokuwa wanasifiwa na ndio wanaipangia serikali nani awe mkuu wa wiraya. kuna kakijana fulani ambako kapo karibu na aliyekuwa rais miaka fulani eti ndiko kanapanga waqkuu waq mikoa na wilaya kufuatana na ushwahiba uliopo. Rushwa ya ngono kupata kazi ilikuwa kiwango cha juu. kupata udereva serikalini ilikuwa na kwa memo sio weledi hadi vijana walikuwa wanaangusha magari ovyo serikali inapata hasara.

Marais na mawaziri ili la kuua njia zote za reli waliliona na kuliachia tuu, hadi barabara zetu tumepotezaq kudi nyingi kwa uharibifu unaofanywa na maroli yenye tairi moja moja ambayo nchi nyingine zilishapigwa marufuku. Mizigo mizito ilipitishwa kwenye barabara zenye viwango duni kutokana na mapatano ya mkandarasim angalau sasa hivi mzigo mzito uwezi kuupitsha kirahisi kama zamani, Mzalendo huyu aliwahi kuzuia mzigo mkubwa kupishwa kwenye barabara zetu akatokea marumbana kati ya waziri na waziri, pia madreva waliwahi kugoma kupinga kupunguzwa uzito.
Binti hivi una mme???
 
hakuna mzalendo hapo ni mamlaka tu,mzalendo hawezi toa data za kumnufaisha yeye sio wananchi,mzalendo hawezi fanya maamuzi ya kuwapa shida wananchi na haombi radhi,mzalendo hawezi ruhusu watu kuhama vyama na kuleta uchaguzi ili hali anajua ni gharama na kodi za wananchi zinapotea,mzalendo hawezi funga midomo media kuandika mabaya ya utawala na kutaka yaandikwe yale wayapendayo wao,mzalendo hawezi acha wananchi wanalilia huduma yeye pesa akapeleka kwenye chaguzi za ovyo,mzalendo hawezi kaa kimya pale CAG anaposhambuliwa kwa kazi zake wakati ni kwa manufaa ya umma na nchi ,mzalendo hawezi ruhusu watu wake wagawanyike kwa vyama,mzalendo hawezi kataa uwazi na utawala bora ............."The Beauty Fully Once Are Not Yet Born"
 
Mzalendo kweli has a kwenye upigaji wa tilioni 1.5 ,kwenye kununua kivuko kibovu ,kwenye kuuza nyumba za serikali ,kwenye kulipa wakandarasi hewa bilioni 254 ,kwenye kuharibu uchumi ,biashara ,demokrasia, utawala bora ,uhusiano wa kimataifa ,uwekezaji ,kuua sekta binafsi ,kuharibu ukusanyaji wa kodi ,kwenye watu kupotea ,kuteka ,kuuwawa ,kukandamiza chama vya sasa , vyombo vya habari ,kweli ni mzalendo namba moja .
 
Back
Top Bottom