Rais Magufuli na Libya

Jiepushe usije kuitwa muongo. Barack Obama anasema katika mambo anayojutia ni suala zima la Libya na uhusika wa Marekani. Kabla hujaandika chunguza kwa undani uhakika wa chanzo chako.
 
Nina uhakika kama gaddafi angekuwa hai angeishamtembelea , maana kumbukumbu zangu zinaonyesha kwamba ametembelea uganda na Rwanda tu , sijui kwanini .
 
Mbona Kikwete alijenga barabara za kutosha kwani udicteta wake hata saa hii unanilisha
Mwambie aachie pesa watu tuludi baa
Aina yako ndio mnaofaa kuendelea kutumbuliwa kila kukicha. Kukaa kwako wewe na washkaji zako Bar ni muhimu sana kuliko fedha kuwafikia masikini wa vijijini. Poor Tanzanian friend of mine.
 
Alisema Raia zaid ya Million 30 wa Libya waliishi kwa furaha. Watu million 30!! Wakati libya inawatu wasio zidi million 7. Takwimu za mtukufu ni za mwendo kasi
 
Yes Gaddafi was a great African leader! Waafrika tuna tatizo moja kubwa sana, uelewa mdogo. Wazungu wanatuchezea na kutuaminisha kwamba sungura ni mbwa! Na tunaamini.
Gaddafi hakutolewa madarakani na walibya eti sababu ya kukosa demokrasia! No. Gaddafi alitolewa na wazungu, kwa sababu zao na malengo yao, hasa ya kiuchumi.
Kwenye nchi au society yeyote lazima kuna kundi japo dogo litakalo pinga utawala uliopo, that's natural because societies are not homogenious. Walichofanya NATO na mshirika wao US ni ku amplify upinzani wa kundi dogo na kuendesha propaganda kwamba walibya wanapigana na Gaddafi, na la kusikitisha kuna waafrika wengi tu, wanaamini huu uongo.
Gaddafi na jeshi lake (lenye nguvu) walipigwa na NATO kwa kutumia silaha za kisasa na mbinu za kisasa. Ndo mana makombora ya kurushwa yalishambulia central commanding and military bases strategically. Mashambulizi ha ya hatukuonyeshwa kwenye TV, ila tulikuwa tukionyeshwa mfululizo "wahuni" waliovaa vilemba wakizurula kwenye magari ya wazi na kurusha risasi ovyo ovyo angani. Na bado propaganda zao zilifanikiwa kuwaghiribu waafrika wengi eti ndio waliomwondoa Gaddafi! Inasikitisha sana.
 

😉🙂🙁😉
 

How Europe Underdevelped Africa daah kitabu cha Walter Rodney kinafundisha mengi hata Eli cohen
 
Alisema Raia zaid ya Million 30 wa Libya waliishi kwa furaha. Watu million 30!! Wakati libya inawatu wasio zidi million 7. Takwimu za mtukufu ni za mwendo kasi
Hakuna chochote anachojua
 
Gaddafi's Last Speech!!! .najua wengi hatujaisoma lets Read

In the name of Allah, the ...beneficent, the merciful...
For 40 years, or was it longer, I can't remember, I did all I could to give people houses, hospitals, schools, and when they were hungry, I gave them food. I even made Benghazi into farmland from the desert, I stood up to attacks from that cowboy Ronald Reagan, when he killed my adopted orphaned daughter, he was trying to kill me, instead he killed that poor innocent child. Then I helped my brothers and sisters from Africa with money for the African Union.
I did all I could to help people Understand the concept of real democracy, where people's committees ran our country. But that was never enough, as some told me, even people who had 10 room homes, new suits and furniture, were never satisfied, as selfish as they were they wanted more. They told Americans and other visitors, that they needed "democracy" and "freedom" never realizing it was a cut throat system, where the biggest dog eats the rest, but they were enchanted with those words, never realizing that in America, there was no free medicine, no free hospitals, no free housing, no free education and no free food, except when people had to beg or go to long lines to get soup.
No, no matter what I did, it was never enough for some, but for others, they knew I was the son of Gamal Abdel Nasser, the only true Arab and Muslim leader we've had since Salah-al-Deen, when he claimed the Suez Canal for his people, as I claimed Libya, for my people, it was his footsteps I tried to follow, to keep my people free from colonial domination - from thieves who would steal from us.
Now, I am under attack by the biggest force in military history, my little African son, Obama wants to kill me, to take away the freedom of our country, to take away our free housing, our free medicine, our free education, our free food, and replace it with American style thievery, called "capitalism" ,but all of us in the Third World know what that means, it means corporations run the countries, run the world, and the people suffer.
So, there is no alternative for me, I must make my stand, and if Allah wishes, I shall die by following His path, the path that has made our country rich with farmland, with food and health, and even allowed us to help our African and Arab brothers and sisters.
I do not wish to die, but if it comes to that, to save this land, my people, all the thousands who are all my children, then so be it.
Let this testament be my voice to the world, that I stood up to crusader attacks of NATO, stood up to cruelty, stoop up to betrayal, stood up to the West and its colonialist ambitions, and that I stood with my African brothers, my true Arab and Muslim brothers, as a beacon of light.
When others were building castles, I lived in a modest house, and in a tent. I never forgot my youth in Sirte, I did not spend our national treasury foolishly, and like Salah-al-Deen, our great Muslim leader, who rescued Jerusalem for Islam, I took little for myself...
In the West, some have called me "mad", "crazy", but they know the truth yet continue to lie, they know that our land is independent and free, not in the colonial grip, that my vision, my path, is, and has been clear and for my people and that I will fight to my last breath to keep us free, may Allah almighty help us to remain faithful and free..
 
Wacheni iwe Africa for Africans na Tanzania for Tanzanians ile nchi ya Libya ilikua mfano katika slogan ya Africa for Africans na ilikua Libya for Libyans na ndi msimamo wetu na rasilimali zetu wote kwa manufaa yetu Watanzania chini ya Kiongozi aliesubiriwa kwa Miaka yote kwa wakati wake yaani JPM ukimuangalia utajua uchungu alionao kuhusu nchi yake, so yaliotokea libya juzi kati tumeyaona kwa ubinafsi wao wale wa kule na unafiki wao wenyewe wanajuta kuwa Walibya.Mungu ibariki Tz
 
Nadhani mtoa mada hajui kabisa siri kamili ya kilichomuondoa Gadaf, kilichomponza ni kule kutaka kuanzishwe Africa moja na ndiye aliyependekeza hata jina la AFRICA UNION (AU), hilo wazungu hawalitaki kabisa kulisikia. Kumbuka alianzisha satellite ya Africa, ki ukweli alikuwa na vision nzuri kwa lengo la kukabiiliana na utumwa mamboleo unaoendelea dhidi ya mataifa masikini hasa bara la Africa. Ukitaka kujua ni hatari wakati wote unapokuwa Rais jaribu kusema na kutetea kwamba Nchi ni lazime ijikwamue kwamba isitegemee misaada toka kwa mataifa yaliyoendelea. Kiongozi wa namna hiyo ajielewe kuwa amekalia kaa la moto. Na huenda taarifa za inteligensia za rais zimemfikia mpaka akatamka kuwa vyama vya upinzani vinafadhiliwa ili kuleta vurugu hapa nchini. Moja sababu inaweza kuwa msimamo wa kuitaka TZ iachane kutegemea misaada kutoka kwa wahisani. Rais yeyote ukiabudu misaada utapendwa sana na mataifa haya kwasabuabu kunakitu watafaidika kutoka kwako kwa namna moja au nyingine.
Kikundi cha watu wachache wa Libya waliopandikizwa na kuimba wimbo wa demokrasia ndio waliompindua Gadafi na hatimaye wakamuua.Silaha zilizomuua zilitolewa na hawa hawa mataifa makubwa hasa Marekani hakuna ubishi. Siria kwa mfano vita inayoendelea sasa ni baina ya Marekani na Murusi. Marekani imekiri kutoa silaha na askari waelekezi kuvisaidia vikundi vya kiasi. Murusi yupo na madege yake makubwa anaongoza mapigano kumsaidia Rais wa Siria.Wanatafuta nini hawa watu kwenye Nchi ya watu.
Sasa kama unadhani nchi hizi zinademokrasia kama ya Tundu Lisu, wewe kamtukane Obama hadharani kama anavyofanya Tundu Lissu uone kitakachotokea. Tundu Lisu amefikia hata kuzidharau hata mahakama zetu sijui anajiamini nini.
Ninavyojua mimi uhuru wa kusema sio matusi ni hoja ndizo zinazozingatiwa na wananchi kutoka mataifa haya ya wenzetu wanalijua hilo.
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni
 
Sisi tunaangalia alivyotumia rasilimali za nchi yake na ubunifu kuwasaidia watu wake hayo mengine unajua wewe
Kinachozungumziwa hapa siyo matumizi ya rasilimalI. Wewe ndiyo unachemsha. Anyway, Labda ungemshauri Rais aige hayo matumizi ya Rasilimali na siyo namna ya kulinda amani yetu!! La sivyo tutaishia huko huko ilikoishia Libya!
 
Nakushukuru, hasa baada ya kugusia sababu ya kweli ya wazungu kumwondoa Gaddafi!
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni
Na kwa mfano huo wa Libya ya Gadafi kuwanyima watu wake uhuru mpaka wakayaona maendeleo hayo aliyoyajenga kama machukizo na hatimaye kuanza mapambano dhidi yake.

Ccm na Magufuli wanayo nafasi ya kujenga uchumi imara na maendeleo ya kuonekana pamoja na uhuru wa watu wao kujieleza kuanzia bungeni mpaka uraiani bila vitisho na funga funga hii inayoendelea ktk nchi yangu.

Naomba wanaomshauri wafanye kazi ya ziada kutokuirejesha nchi hii nyuma bali tusonge mbele wote kwa kuipenda nchi yetu wote. Na mwisho mkuu ajue hata siku moja watu hawawezi kuwaza na kuamua pamoja.
 
Hatuwezi kufanana na Libya, ungemuelewa Magu anasema nini kuhusu Libya usingeniuliza haya maswali. Jamaa anazungumzia amani, amani ambayo waliaminishwa na mataifa ya nje kuwa wanatakiwa kuwa huru. Hivyo wamtoe Gaddafi ndo watakua huru, lakini imegeuka fedheha
 
Ni vizuri ukajijibu mwenyewe ni kwanini nchi za ki Africa especially Tz tuko hivi karibu miaka 60 baada ya uhuru.

Viongozi wetu hawakutaka mawazo mbadala. Wako radhi hata kuua (kupoteza) mradi wananchi wasisikilize upande wa pili. Hata tukifanya hatua bila uhuru watayachukia hayo yanayoitwa maendeleo.
 
Nini maana ya dikteta? Vigezo gani vinavyotumika kumwit gadafi dikteta? Je kukaa madarakani muda mrefu ni udikteta?
 
Achana na hawa jamaa ni waongo balaa wamesahau hapa mwisho libya ndio ilikuwa inaifadhili AU kipesa na kimuongozo
Kuna watu wanaandika vitu ambavyo havijui hata kidogo na hawataki kujifunza kabisa,kwa hyo wanaandika ilmradi siku zinakwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…