Rais Magufuli na Libya

Nani aliomba upuuzi uo labda waulize Mimi cha kwanza kwangu ni Uhuru,
Wa kusema
Kutembea
Kutotharirishwa
Mwambie uchara ajipange tunataka democracy

Demokrasia kama waliyoipata Walibya? Kabla ya uchaguzi mlikuwa mnadai nini na sasa mnadai nini?
 
Wote tulikuwa wapinzani lkn uchaguzi ulisha isha hadi 2020 siasa.sasa hivi ni kazi tu.kama hujaamini sasa hivi sio mda wa jalibu kuandamana( kudai) democracy uone kitacho kukuta
 


Nikisikia mtu anamsifia Gaddafi nakumbuka hiki kitabu, inabidi Magufuli asome.


The terrible truth about Gaddafi's harem: How Libyan dictator kidnapped and raped dozens of women to fulfil his perverted desires
  • Harrowing story of schoolgirl abducted by Gaddafi at the age of 15
  • She endured almost seven years of rapes, beatings and abuse
  • Tyrant claimed to be the great emancipator of women in the Arab world
  • In reality he abused women on a massive scale since seizing power
  • Even known to take women from their own wedding ceremonies
  • New book Gaddafi's Harem lifts lid on dictator's brutal treatment of women
By Guy Walters

Published: 22:35 GMT, 23 October 2013 | Updated: 00:57 GMT, 25 October 2013

The horror started with the lightest of touches. As the 15-year-old schoolgirl held out the bouquet to the 62-year-old man, he took her free hand and kissed it gently.

The man was Muammar Gaddafi, the dictator of Libya who had seized power 35 years before. His people were forced to call him the Guide, but the rest of the world knew him simply as Colonel Gaddafi.

That morning in April 2004, Gaddafi was visiting a school in his home town of Sirte, on the Mediterranean coast 350 miles east of Tripoli.



Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-2474533/The-terrible-truth-Gaddafis-harem.html#ixzz4JEZt3TqY
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook



Read more: http://www.dailymail.co.uk/news/article-2474533/The-terrible-truth-Gaddafis-harem.html#ixzz4JEZWLUco
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook


 
Kwani hadi Gaddafi anakufa, hizo moroko na Algeria zilikuwa ni tajiri kuliko Libya? Acheni hayo maneno kabisa, maana hata moroko ilikuwa ni nchi ya kifalme na Algeria iliongozwa na rais boutfikra kwa kipindi kirefu...someni historia muelewe
Kuwa nchi ya kifalme haina maana kuwa ni nchi ya kidekta.Swaziland inaongozwa na Mfalme Mswati III na haipo katika orodha ya nchi za kidikteta.Udikteta ni utawala wa vitisho na kunyamazisha raia kwa kutumia mabavu.
Kwa kigezo cha GNP nchi tajiri kabisa katika ukanda huu wakati wa enzi za Gadaffi ilikuwa ni Algeria ikifuatiwa na Morocco ikifuatiwa na Tunisia huku Libya ikishika mkia.Kwa upande wa demokrasia iliyokuwa ikiongoza kwa demokrasia ni Tunisia na ya mwishoni Libya.
 
Walibya walikuwa wakiishi maisha ya hofu.Taifa la libya lilikuwa likiendeshwa na polisi enzi za Gadafffi.It was a police state.

Tanzania tunaelekea huko na baadhi ya watu kama wewe mnafurahia.
 
Walibya walikuwa wakiishi maisha ya hofu.Taifa la libya lilikuwa likiendeshwa na polisi enzi za Gadafffi.It was a police state.

Tanzania tunaelekea huko na baadhi ya watu kama wewe mnafurahia.
Unamahanisha Magufuli ni kama Gadaffi he will stay in power for over thirty years.
 
Ndo mambo ya ndege wafananao hayo au..?

Waswahili wanasema jogoo la shamba aliwiki mjini......ni ushamba unamsumbua sio kitu kingine. Wewe mtu anaogopa kusafiri hata linapo kuwa jambo la national interest or national pride....yeye hataki, sherehe za uhuru alifuta kinyemela tu bila kujua kwamba this is national pride to our children,.......Ngabu hauoni tu kwamba kuna shida kubwa sana mahali.

Alafu haya mambo yakujitanabaisha na gadafi sijui sadam hussein sijui katoa wapi.....nikiherehere tu kutaka kuwachefua the western countries .......anawajaribu...na ninauhakika atapata anachokitaka.....anadhani wachina watamsaidia pale nchi itakapoingia kwenye mgogoro wa kidiplomasia na hz nchi. Na anafanya hivyo makusudi kbs km njia ya kuwa dis kwamba hazifagilii sera zao za demokrasia nk. It is very wrong way ukizingatia yy mwenyewe hapendi kukosolewa.
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni


Tatizo la gadaffi ni ujeuri na matusi kwa walewaliomfikisha pale.........usicheze na the gansters of the white house and pentagon....ndugu yangu.... tena wala sio hao maganster...kuna american corporations...hawa ndo wanarun the show....
 

.....mkulu hana nia yoyote ya nchi yetu kuwa km libya ya zamani ...labda chato. .......ni bora tuendeleee na mambo yetu km kawaida...tuna mipango mingi ya maendeleo.....watu watamwelewa. Hoja zijibiwe kwa hoja na data...na sheria na katiba zizingatiwe......hizi sio ngonjera , ni msingi tulioijengea nchi yetu na ndo inabidi avifuate. Km kubadili, kunataratibu zake. Vinginevyo anatupotosha anatuharibia nchi.......na chochote atakacho kijenga na kukiita maendeleo km ya gadafi kitakuja kufa.....simple as that.
 
Mleta uzi unataka Rais magufuli atolee mfano nchi gani zaidi ya Libya hapa afrika? Libya ni mfano mzuri wa nchi ya kiafrika iliyo tumia rasilimali zake bila misaada kunyanyua maisha ya wananchi wake

Kuna mfano bora kama huo hapa afrika? Mi siuoni
Sawa lakini democrasia ilipwaya ndo maana wlibya walimchoka, kwahiyo wewe ukoradhi kuingia jera ilimradi tu unapewa kila kitu bure? tena familia yako nayo inatunzwa bure, kwa maana nyingine unaweza kufanya mazuri kwa wananchi wako lakini bila democrasia siku ukiondoka kinahalibika kila kitu, hiyo ndo Libya.
 
Angalau kapatia kitu kimoja safari hii...kwamba kiongozi wa Libya hakuwa Sadam wa Kuwait...!


Ipo siku atapatia kwamba mwisho wa Gadafi wa Libya, kama ilivyo kwa madikteta, haukuwa mzuri.​
 
Sasa Libya kuna mabadilikooooo Lowassaaaaaaa wanazama melini na kuliwa na masamakibh
 
Kwahyo unataka kusema kwamba Libya ya sasa ndio Libya bora kuliko ya Gaddafi?
Au ndio Libya yenye democracy ambayo walibya walikuwa wanaitaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…