maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,502
- 6,415
Halafu deposit container zeni ni usd 2000 mna akili maersk?Maersk ni Avatar tu..Tafuta maana yake COpenhagen Dn
Halafu deposit container zeni ni usd 2000 mna akili maersk?Maersk ni Avatar tu..Tafuta maana yake COpenhagen Dn



Ni vyema tukajua Rais hafanyi jambo lolote pasipo kuwa na muongozo au watu nyuma yake kumuongozo.
Kitabu cha siri ambacho wanao kiona ni wale tu wenye cheo cha Rais wa jamuhuri wa muungano tu ndio muongozo wa kazi zake za urais.
Wajinga wachache wasiojua kuwa Rais ana muongozo ndio wanao tupotosha.
Zipo siri nzito ambazo mimi na wewe hatuzijui na ni bora tukae kimya maana Rais hajaribu kazi ila anafanya kazi kwa mujibu wa muongozo huo.
Ipo kazi lazima ifanyike chini ya Mh Magufuli. Wengi watalia na kupiga kelele ila kaz lazima ifanyike.
Huo ndio ukweli na ndio maana hawezi kwenda kinyume na cccmm,kwani miongozo imeandaliwa na cccm, walichofanya wenzake ndicho atakachokifanya na yeye hawezi kwenda nje ya muongozo. kama ni mtu makini mwenye akili timamu utagundua mpaka sasa hatatui matatizo ya wananchi bali kutumia mbinu za kuwadanganya wananchi wakipende chama chake kiendelee kutawala, unasababisha tatizo,unalitatua unawaambia tumewasaidia, matatizo yote yamesababishwa na ccmmm na yeye ni mmoja wapo wa waliosababisha. na hawezi kuyaondoa kwani ndio njia ya wao kutawala na watoto wao, wakiyaondoa ndio mwisho wa wao na vizazi vyao kutawala na kuchukua mali za nchiNafikiri ni miongozo na taratibu za kuwa rais..hiki si kitabu cha siri bali ni mkataba ambao wanaopaswa kuufahamu ni wachache kwa kimombo inaitwa classified
Unajua gharama ya Container?.... Hiyo hela inarudi kwako hairudi?..Halafu deposit container zeni ni usd 2000 mna akili maersk?
hicho kitabu ndo kinatumika kusaka sukari iliyofichwa kwenye maghalaMleta uzi amefananisha na kitabu cha siri cha marekani ambacho rais pekee anakuwa nacho au anakijua mwanzo mwisho hakuna mwingine! Hicho nadhani hata hapa kipo au kitakuwepo ambapo kina siri zote za nchi kama kambi za majeshi tiss mikataba mikubwa ya siri ya usalama maazimio ya siri ya usalama (muungano wa zbar)..etc...hicho nadhani asichanganye na operation za kila siku za rais hizo info na files zinatoka kwa taasisi zake usalama takukuru na hata media....nimejaribu kuona Mleta uzi alichokuwa anamaanisha!
kwa hiyo Kuapa hadharani kulinda katiba ni geresha kuna viapo vya siri kulinda kitabu cha siriKumbe tusilaumu rais yoyote wala kumsifu kumbe ni kitabu cha siri kimemuongoza afanye hayo! Kelli dunia ina mambo!
Alikuwa na vituko kama mtoa postNa labda unadhani Abunuasi alikuwa mwandishi wa hadithi.