Rais Magufuli na CCM si walitaka siasa za "ndani kwa ndani"? Watulie sasa dawa iwaingie vizuri

Mackanackyyy

JF-Expert Member
Mar 26, 2019
2,338
5,263
Rais Magufuli alipiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa nchini akiamini hatua hiyo itampunguzia upinzani kutoka Chadema, na kwa kiasi flan kutoka kwa watu wanaojitambua ndani ya ccm..

Akakipa nafasi chama chake kifanye siasa, kitukane watu, kidhalilishe watu, kiwapige akina Lissu risasi, kiwapoteze akina Azory Gwanda, akina Ben Saanane...

Sasa wamewamaliza watu wa nje ya chama chao wameanza kutukanana wenyewe ndani kwa ndani, wanabaguana, wamegundua kumbe na wao siyo wamoja...sasa kuna kila dalili wataanza wenyewe kupinduana, kupigana risasi, kupotezana na wao!

Pengine wakimalizana ndani ya chama chao watahamishia siasa zao jeshini...(Mungu aepushe).

Lakini hoja yangu ni kwamba Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM atulie sasa, asipaniki...ni YEYE ALIYETAKA SIASA ZA NDANI, ZA NJE HAPANA. Awaache sasa watu wamfundishe siasa "za ndani" huko.kwenye chama chake!

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ukishaitenda haiwezi kukuacha salama, itakuandama tu...mtawabagua watu lakini hatimaye mtagundua kuwa na nyinyi si wamoja, mtaanza kuhujumiana, kutekana, kupinduana, kuuana!
 
Malipo ni hapa hapa duniani!

Wakati wale mamluki wa kisiasa wakihamia CCM kwa ahadi ya kupewa vyeo,hoja maarufu ilikuwa ni upinzani unakufa ile leo hii kibao kimegeuka na hoja ni CCM kupasuka/kudhoofika.

Hakika Mungu si mwanadamu na aendelee tu kuwatandika bakora na kuwanyima maarifa mpaka waharibikiwe.
 
Wakiweza wang'oane na mbupu kabisa....very good. I dont care!! Kwa mjibu wa Membe huuni mwanzo tu, kuna disaster inakuja
Mimi nataka wapigane hata risasi. Let them kill each other, after all they are animals.
IMG-20190716-WA0008.jpeg
tapatalk_1563331793620.jpeg
tapatalk_1563590863674.jpeg
 
Malipo ni hapa hapa duniani!

Wakati wale mamluki wa kisiasa wakihamia CCM kwa ahadi ya kupewa vyeo,hoja maarufu ilikuwa ni upinzani unakufa ile leo hii kibao kimegeuka na hoja ni CCM kupasuka/kudhoofika.

Hakika Mungu si mwanadamu na aendelee tu kuwatandika bakora na kuwanyima maarifa mpaka waharibikiwe.
Kweli kabisa Mkuu.
 
Wanzuki sio mtu mzuri when it comes to the point of coping with stress/challenge.

Ni kama nguruwe, anatenda kwanza halafu anafikiri baada ya kutenda.
 
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ukishaitenda haiwezi kukuacha salama, itakuandama tu...mtawabagua watu lakini hatimaye mtagundua kuwa na nyinyi si wamoja, mtaanza kuhujumiana, kutekana, kuuana!
Nilipoona kichwa cha mada hii "Rais Magufuli na CCM si walitaka "siasa za ndani kwa ndani"? Watulie sasa dawa iwaingie vizuri"
Nilitarajia kusoma maendeleo na matukio ya siasa hizo zinazofanywa na vyama vya upinzani vilivyopigwa marufuku kufanya siasa.
Pamoja na kuwepo kwa mparurano ndani ya CCM, nashangaa kuona vigelegele vingi toka huko kwenye vyama vya upinzani tulikotegemea kwamba kazi waliyopewa ya kufanya kazi hiyo ya "siasa za ndani kwa ndani" wameitekeleza ipasavyo, na kwamba haya ya huko CCM yatakuwa ni "icing on the cake" kumalizia kazi!

Kutokana na vigelegele vingi hivi kutoka huko kwenye vyama vya upinzani, inatia shaka sana sasa kuwa kazi hiyo wameifanya. Inaonyesha kwamba wao sasa wanamategemeo makubwa kutokana na huu mparurano ili na wao wapate sehemu ya kudandia bila ya kuvuja jasho!

Linalosikitisha ni kwamba wapinzani hawataki kuelewa CCM ya Magufuli inavyofanya kazi; wangeelewa wasingekuwa wanapiga vigelegele kwa matumaini wakati huu.
Wamewaona wale wabunge wao mamluki walivyokuja kwao, na hatimae kurejea CCM na ubunge wao, hawakujifunza kitu hapo.
Lowassa 'akarudi nyumbani' kwa heshima kubwa na kupokelewa kama 'shujaa', wao hawapati cha kujifunza hapo.

Sasa wanategemeai eti, hawa 'wanaovurugwa' ndio watakuwa wamefanikisha "siasa za ndani kwa ndani" kwa manufaa ya kuleta mabadiliko?

Kama sio uenda wazimu huu tuuite kitu gani!
 
Rais Magufuli alipiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa nchini akiamini hatua hiyo itampunguzia upinzani kutoka Chadema, na kwa kiasi flan kutoka kwa watu wanaojitambua ndani ya ccm..

Akakipa nafasi chama chake kifanye siasa, kitukane watu, kidhalilishe watu, kiwapige akina Lissu risasi, kiwapoteze akina Azory Gwanda, akina Ben Saanane...

Sasa wamewamaliza watu wa nje ya chama chao wameanza kutukanana wenyewe ndani kwa ndani, wanabaguana, wamegundua kumbe na wao siyo wamoja...sasa kuna kila dalili wataanza wenyewe kupinduana, kupigana risasi, kupotezana na wao!

Pengine wakimalizana ndani ya chama chao watahamishia siasa zao jeshini...(Mungu aepushe).

Lakini hoja yangu ni kwamba Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM atulie sasa, asipaniki...ni YEYE ALIYETAKA SIASA ZA NDANI, ZA NJE HAPANA. Awaache sasa watu wamfundishe siasa "za ndani" huko.kwenye chama chake!

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ukishaitenda haiwezi kukuacha salama, itakuandama tu...mtawabagua watu lakini hatimaye mtagundua kuwa na nyinyi si wamoja, mtaanza kuhujumiana, kutekana, kuuana!
Ukihoji aliyemtuma Msiba unaambiwa unamhujum rais, au unamkwamisha rais kuongoza nchi, unaambiwa una lengo la.kumfanya Rais asigombee awamu ya pili. Hii ni insanity haijawahi kutokea hata katika jamii ya wanyama wa mwituni.

wajibu hoja za wazee watwambie nani anamtuma Msiba. au wanamjua??? Hahaaaa
 
Dah kweli wavumilie
Rais Magufuli alipiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa nchini akiamini hatua hiyo itampunguzia upinzani kutoka Chadema, na kwa kiasi flan kutoka kwa watu wanaojitambua ndani ya ccm..

Akakipa nafasi chama chake kifanye siasa, kitukane watu, kidhalilishe watu, kiwapige akina Lissu risasi, kiwapoteze akina Azory Gwanda, akina Ben Saanane...

Sasa wamewamaliza watu wa nje ya chama chao wameanza kutukanana wenyewe ndani kwa ndani, wanabaguana, wamegundua kumbe na wao siyo wamoja...sasa kuna kila dalili wataanza wenyewe kupinduana, kupigana risasi, kupotezana na wao!

Pengine wakimalizana ndani ya chama chao watahamishia siasa zao jeshini...(Mungu aepushe).

Lakini hoja yangu ni kwamba Mheshimiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM atulie sasa, asipaniki...ni YEYE ALIYETAKA SIASA ZA NDANI, ZA NJE HAPANA. Awaache sasa watu wamfundishe siasa "za ndani" huko.kwenye chama chake!

Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ukishaitenda haiwezi kukuacha salama, itakuandama tu...mtawabagua watu lakini hatimaye mtagundua kuwa na nyinyi si wamoja, mtaanza kuhujumiana, kutekana, kuuana!
 
Nilipoona kichwa cha mada hii "Rais Magufuli na CCM si walitaka "siasa za ndani kwa ndani"? Watulie sasa dawa iwaingie vizuri"
Nilitarajia kusoma maendeleo na matukio ya siasa hizo zinazofanywa na vyama vya upinzani vilivyopigwa marufuku kufanya siasa.
Pamoja na kuwepo kwa mparurano ndani ya CCM, nashangaa kuona vigelegele vingi toka huko kwenye vyama vya upinzani tulikotegemea kwamba kazi waliyopewa ya kufanya kazi hiyo ya "siasa za ndani kwa ndani" wameitekeleza ipasavyo, na kwamba haya ya huko CCM yatakuwa ni "icing on the cake" kumalizia kazi!

Kutokana na vigelegele vingi hivi kutoka huko kwenye vyama vya upinzani, inatia shaka sana sasa kuwa kazi hiyo wameifanya. Inaonyesha kwamba wao sasa wanamategemeo makubwa kutokana na huu mparurano ili na wao wapate sehemu ya kudandia bila ya kuvuja jasho!

Linalosikitisha ni kwamba wapinzani hawataki kuelewa CCM ya Magufuli inavyofanya kazi; wangeelewa wasingekuwa wanapiga vigelegele kwa matumaini wakati huu.
Wamewaona wale wabunge wao mamluki walivyokuja kwao, na hatimae kurejea CCM na ubunge wao, hawakujifunza kitu hapo.
Lowassa 'akarudi nyumbani' kwa heshima kubwa na kupokelewa kama 'shujaa', wao hawapati cha kujifunza hapo.

Sasa wanategemeai eti, hawa 'wanaovurugwa' ndio watakuwa wamefanikisha "siasa za ndani kwa ndani" kwa manufaa ya kuleta mabadiliko?

Kama sio uenda wazimu huu tuuite kitu gani!
Sijakuelewa rudia tena.
 
Kwa maneno yakiyotamkwa leo na ndugu Bashir Ally kwa kuwaita watu wapumbavu wakati kuna watu wanatakiwa washtakiwe kwenye Chama kutokana na taratibu za chama. Endapo itajulikana kua shutuma au zile clips ni za uongo basi kutokuaminiana itazidi ndani ya CHAMA.

Mwanazuoni tena aliyetoka kuishi na wanazuoni karibuni ata mwaka hana ndo anatoa matusi ya namna ile sijui kama wasomi na Wanafunzi wake aliowaacha chuoni wanaweza ata kumpigia simu na kumwomba ata ushauri. Nimekudharau sana Mwalimu Bashir K.A ; kama Mh Rais anawatukana mawaziri wake kua ni wapumbavu ndo na wewe uige ?

Watu hawajakaa kwenye Chama kujadili Mambo wewe umeanza kuwatusi na kuita watu wapumbavu...
 
Dhambi ya chuki na kiburi cha madaraka,inaendelea kumtafuna bwana yule ,tukanyage kwa adabu ardhi ya Muumba.
 
Back
Top Bottom