JK alishindwa kusimamia bandari miaka kumi na bado mnamuita Raisi bora sasa hivi, alipoingia bungeni 2016 mkashangilia. Ndo maana huwa tunawakumbusha Mkapa alivyowaita WAPUMBAVU na MALOFA. Kama JPM kashindwa kusimamia bandari peleka madili uliyozoea bandarini sasa hivi ukamuliwe kamasi.