Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,599
- 4,665
π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·TISS ingekuwa ni taasisi imara huyu jamaa asingemaliza hata mwaka ikulu ni sumu Kali dhidi ya umoja wa kitaifa hili dubwana.
π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·π·TISS ingekuwa ni taasisi imara huyu jamaa asingemaliza hata mwaka ikulu ni sumu Kali dhidi ya umoja wa kitaifa hili dubwana.
huu msemo uliumaanisha, na tumejionea.Magufuli is a country bumpkin.
ππππππππππππππNi mtu wa hovyo, mpenda sifa, mlevi wa madaraka, roho mbaya, mnafki, mpenda visasi, mchoyo, mzinzi, mpenda kuabudiwa.......mlevi mmoja anasikika hapa kimboka akitoa maoni yake kuhusu kocha wa timu ya green fc
au siyo? ππhongera sana jpm mm nakukubali sana ccm chini ya uongoz wako imefany mambo makubwa sana so ni haki sana kwayot yule anaemnyanyasa mwanachama wa ccm ashughulikiwe
kweli mlikuwa vitukoWewe hutoki kanda ya ziwa wadanganye ny..u..mb wenzio!
Upuuzi Tu Ulitawala Kwenye MaamuziTANAPA wameambiwa wachimbe bwawa na wasombe maji ili viboko waendelee kuishi.........
Watu wa ekolojia sijui wanasemaje kuhusu hili.
AMEN AMENMumesahau itikad za kenya...Sasa hv unatengenezwa mfumo wa kikabila kama kenya...kisiasa itajenga kundi fulani la kuongoza nchi...kulingana na uwingi wa population ya kabila Hilo au kundi Hilo...mzizi ukikomaa huo watu fulani ndy watakua kete ya ushindi kw uchaguz wwt...
Mbegu hii inatengenezwa strategically ila mfumo wa ubaguz wa kivyama ndy mlango wa kuingilia...tunzeni comment hii...angalieni siasa za kenya....Kalenjini and kikuyu...ndy waliobeba keta ya ushindi huku Mwalimu alipambana na hili...ila sasa itaibuka kwa Kasi strategically!!! Mungu ibarki Nchi hii roho za mgawanyiko zishindwe!!