Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.
Kauli ya Mhe. Rais isitafsiriwe vibaya. Kwa uelewa wangu maana yake Ni haki ya Kikatiba ya kujiunga Na chama au kufuata itikadi uipendayo iheshimiwe.Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.
Raisi sio mbaguzi,hakuna siku yeyote mtu mwenye akili timamu kumshambulia kichaa au mwenda wazimu.Mara nyingi watu hulindwa kutokana na madhara ya kiile kisicho na akili.Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.
Rais Magufuli anasema kama mtu anataka kukiona cha moto ajaribu kumshambulia Mwana-CCM yeyote aliyevaa kijani.
--
MAONI YANGU
Mimi najiuliza, je wananchi wanaovaa kaki hawana haki ya kulindwa?
Tuna Rais mbaguzi sijawai kuona yaani wakina mawazo mpaka waliuawa na watu kibao wanashambuliwa kisa wamevaa kaki hakuna hatua zinazochukuliwa.
Tuna Rais mbaguzi sana.
Yani unaona kuwagawa watu ni mapungufu madogo? Umoja na mshikamano unatoka wapi kama unawagawa watu kwa itikadi zao? Binadamu sio ng'ombe kwamba unaweza kuwagawa wanaonyonyesha na wasionyonyesha na wasione shidaMagufuli ni Rais mzuri sana ila vitu vinavyomshushia hadhi ni vidogo vidogo sana
Anakosa utashi sio kama tu kiongozi bali kama gentleman
Lakini namkubali kwa kuwa ana uthubutu kwa mambo makubwa mapungufu yake ni hayo ya kugawa watu.
Mapenzi ya pengo kuita mwanya,mtu anaropoka kiwango hiki unaita vitu vidogo vidogoMagufuli ni Rais mzuri sana ila vitu vinavyomshushia hadhi ni vidogo vidogo sana
Anakosa utashi sio kama tu kiongozi bali kama gentleman
Lakini namkubali kwa kuwa ana uthubutu kwa mambo makubwa mapungufu yake ni hayo ya kugawa watu.
Hauna tofauti na baba yako mbaguzi , hopeless anatakiwa kuishi Burundi?Watu hopeless kama wewe mnatakiwa kuishi Burundi tu
Hoja yako haionekani mjomba!Mbona unaniletea mihemko mzee huwezi sems hoja hadi unichimbe mkwara
Kwa hiyo kuzungumzia ccm hivo penyewe ndo sawa?Ukabila uingieje wakati yeye kazungumzia CCM. Nyie ndo kila jambo mnalichukulia kikanda something very wrong. Kama hukubaliani na maneno yake usihusishe kablia lake kila mtu na zake mkichwa
Magufuli ni Rais mzuri sana ila vitu vinavyomshushia hadhi ni vidogo vidogo sana
Anakosa utashi sio kama tu kiongozi bali kama gentleman
Lakini namkubali kwa kuwa ana uthubutu kwa mambo makubwa mapungufu yake ni hayo ya kugawa watu.
Magufuli ni Rais mzuri sana ila vitu vinavyomshushia hadhi ni vidogo vidogo sana
Anakosa utashi sio kama tu kiongozi bali kama gentleman
Lakini namkubali kwa kuwa ana uthubutu kwa mambo makubwa mapungufu yake ni hayo ya kugawa watu.
[/QUOTE
ooh
hadi leo 13, April 2021 kimya.na muda huo-huo Lissu alishambuliwa kwa risasi 38 kwenye nyumba za serikali na hadi leo serikali imeficha kichwa kwenye mchanga kama mbuni jike.
Mungu amesaidia "...huwa hachelewi wala hawai"Unajua ukweli ulio wazi kabisa huyu jamaa ana roho mbaya haijalishi natoka nae kanda moja. Mungu saidia tu atoke madarakani kabla hajatugawa na kuwa kama nchi jirani kwa tofauti zetu za kisiasa. Kinachonishangaza ni kwanini anaeneza chuki huku akifahamu hakuna upinzani na mpinzani wake mkuu yuko nje ya nchi baada ya kunusurika kifo