Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,421
Mheshimiwa Rais, naomba umkumbuke Pascal Mayalla u-DC wilaya ya Ikungi baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya kuteuliwa kuwa mbunge.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.
Pascal amesaidia sana kulivalia njuga suala la ACACIA vs BARICK kuelimisha wananchi hasa kupitia Jamii forums, hata akina Zitto wanapokuja na hoja zao, amekuwa wa kwanza kuwakosoa na kuwapa vifungu vya kisheria vinavyohusiana na suala hilo.
Pascal amekuwa miongoni mwa watu wachache wanaotetea juhudi zako za maendeleo ya Tanzania, zile fasihi siku hizi hana kabisa.