"Hatuwezi KULIPA MIL 500, Hili JIPU LIMEKOMAA, Mfukuzeni, Tukutane MAHAKAMANI" - Rais Dkt John Magufuli, leo Februari 11, amezindua wilaya mpya Kigamboni, Jengo la utawala na Hospitali ya Wilaya jijini Dar.
Mh. Rais ahoji kwanini mtu aingie mkataba wa ujenzi allipwe Tsh 500 million ili kujenga mortuary na kutoa tamko afukuzwe na serikali ili ikutane nae mahakamani.
Juzi siku ya Kuadhimusha Siku ya Sheria ilitamkwa kuwa ni kauli mbiu ni sheria na uwekezaji: Kaulimbiu Uwekezaji na Biashara: wajibu wa mahakama na wadau kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji.
Ikiwa na maana mambo yote yasifanyike kwa matamko bali hali halisi ikiwemo kama hili la leo ambapo kutokana na mkataba si ajabu mtu kudai kiasi hivyo kama 'bei ya soko' ilivyo.
Sasa serikali kulazimisha kumpeleka mwananchi mahakamani ili adai fidia kesi hiyo itasomwa na kufuatiliwa na wengi wananchi na wawekezaji kisha kutia hofu jamii kuwa serikali hutumia mabavu kupata inachotaka bila kujali haki ya mwenye mali/mkataba/kandarasi.
Source: Global TV online
Mh. Rais ahoji kwanini mtu aingie mkataba wa ujenzi allipwe Tsh 500 million ili kujenga mortuary na kutoa tamko afukuzwe na serikali ili ikutane nae mahakamani.
Juzi siku ya Kuadhimusha Siku ya Sheria ilitamkwa kuwa ni kauli mbiu ni sheria na uwekezaji: Kaulimbiu Uwekezaji na Biashara: wajibu wa mahakama na wadau kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji.
Ikiwa na maana mambo yote yasifanyike kwa matamko bali hali halisi ikiwemo kama hili la leo ambapo kutokana na mkataba si ajabu mtu kudai kiasi hivyo kama 'bei ya soko' ilivyo.
Sasa serikali kulazimisha kumpeleka mwananchi mahakamani ili adai fidia kesi hiyo itasomwa na kufuatiliwa na wengi wananchi na wawekezaji kisha kutia hofu jamii kuwa serikali hutumia mabavu kupata inachotaka bila kujali haki ya mwenye mali/mkataba/kandarasi.
Source: Global TV online