Rais Magufuli, taifisha mali za wote waliohusika na sakata la mchanga

Robinhomtoto

JF-Expert Member
May 17, 2017
238
244
Hongera sana Rais wangu Kwa hilo la Wizi wa Mchanga.Nakuomba sana Kwa Uzalendo uliouonyesha hebu Fanya kama alivyofanya Hayati Baba wa Taifa Kutaifisha majumba ya wezi Na kuyaita Msajili wa Majumba.Hawa Watanzania waliofanikisha Tanzania kuibiwa mchanga wa dhahabu wana Mali walizozipata Kwa wizi huo hivyo tunaomba Utaifishe Mali zao ziwe za Umma .
 
Sina uhakika kama ni ushauri mzuri huo. Utakuwa umekurupuka. Nina uhakika sana kilichokusukuma wewe ni chuki binafsi na karoho kako kadogo ka umaskini uliopitiliza.

Mfumo wa dunia ulivyo sasa hvyo akifanya hivyo atatumbukiza nchi kwenye shimo la giza. Hakuna mwekezaji atakayeingia Tanzania. Hakuna mtu atakayekubali kuja kurisk hela yake na kuwekeza Tanzania. Wengi watakuwa na hofu maana watu wenye chuki binafsi akiamua kumpiga zengwe ina maana mali zake zitataifishwa zote.

Wafanya biashara wanapendaga sehemu salama kwa mitaji yao.

Kwa ushauri wako wewe turudi miaka 50 nyuma tena. Kikubwa haki itendeke, watu walipe kodi, uchunguzi makini ufanyike kama kuna wanaotiliwa shaka wapelekwe mahakamani wadhibitishe walivyopata hizo mali.

Kwa Mugabe jifunzeni " hatutaki kuwa na mabilionea hewa kama wa Zimbabwe"
 
Sina uhakika kama ni ushauri mzuri huo. Utakuwa umekurupuka. Nina uhakika sana kilichokusukuma wewe ni chuki binafsi na karoho kako kadogo ka umaskini uliopitiliza.

Mfumo wa dunia ulivyo sasa hvyo akifanya hivyo atatumbukiza nchi kwenye shimo la giza. Hakuna mwekezaji atakayeingia Tanzania. Hakuna mtu atakayekubali kuja kurisk hela yake na kuwekeza Tanzania. Wengi watakuwa na hofu maana watu wenye chuki binafsi akiamua kumpiga zengwe ina maana mali zake zitataifishwa zote.

Wafanya biashara wanapendaga sehemu salama kwa mitaji yao.

Kwa ushauri wako wewe turudi miaka 50 nyuma tena. Kikubwa haki itendeke, watu walipe kodi, uchunguzi makini ufanyike kama kuna wanaotiliwa shaka wapelekwe mahakamani wadhibitishe walivyopata hizo mali.

Kwa Mugabe jifunzeni " hatutaki kuwa na mabilionea hewa kama wa Zimbabwe"
Well said
 
Hii ndiyo mihemeko na mawazo ya wengi kwa sasa.

Wengine wanaenda mbali na kusema aongozewe muda wa kuongoza.

Mnaongozwa na hisia na kusikiliza hoja mnazopenda. Nyerere was an economic disaster and so is JPM.

Muda utaongea (lakini mtasingizia "mabepari" wanawafanyia sabotage).
 
Hii ndiyo mihemeko na mawazo ya wengi kwa sasa.

Wengine wanaenda mbali na kusema aongozewe muda wa kuongoza.

Mnaongozwa na hisia na kusikiliza hoja mnazopenda. Nyerere was an economic disaster and so is JPM.

Muda utaongea (lakini mtasingizia "mabepari" wanawafanyia sabotage).
kumbe kuna taratibu nufaishi
 
Mwanawao nadhani huna kumbukumbu Hayati Baba wa Taifa alipotaifisha majumba ya wahindi walimwibia nani mbona hukumwambia baba wa taifa ana chuki binafsi?
 
Hongera sana Rais wangu Kwa hilo la Wizi wa Mchanga.Nakuomba sana Kwa Uzalendo uliouonyesha hebu Fanya kama alivyofanya Hayati Baba wa Taifa Kutaifisha majumba ya wezi Na kuyaita Msajili wa Majumba.Hawa Watanzania waliofanikisha Tanzania kuibiwa mchanga wa dhahabu wana Mali walizozipata Kwa wizi huo hivyo tunaomba Utaifishe Mali zao ziwe za Umma .
Kule Zimbabwe wakati Mugabe anataifisha Mashamba alipata wafuasi wengi mno. Ila baada ya mambo kuwa mabaya wale walio kuwa wanamshangilia wakamgeuka. Kwa sasa Hata wananchi wa Zimbabae wakihojiwa wanaamini yalikuwa ni makosa makubwa sana kutaifisha mashamba
 
Ukitaifisha maana yake Wawekezaji hutajaa uwaone, Je sisi tuna mitaji ya kuwekeza wenyewe?
Achana na Wazungu mkuu hapa tunaongea tu ila jamaa wakiamua yao hata miezi 6 haishi kabla hatujashindia uji wa chumvi
 
Hongera sana Rais wangu Kwa hilo la Wizi wa Mchanga.Nakuomba sana Kwa Uzalendo uliouonyesha hebu Fanya kama alivyofanya Hayati Baba wa Taifa Kutaifisha majumba ya wezi Na kuyaita Msajili wa Majumba.Hawa Watanzania waliofanikisha Tanzania kuibiwa mchanga wa dhahabu wana Mali walizozipata Kwa wizi huo hivyo tunaomba Utaifishe Mali zao ziwe za Umma .
Na Mkapa yumo
 
Hongera sana Rais wangu Kwa hilo la Wizi wa Mchanga.Nakuomba sana Kwa Uzalendo uliouonyesha hebu Fanya kama alivyofanya Hayati Baba wa Taifa Kutaifisha majumba ya wezi Na kuyaita Msajili wa Majumba.Hawa Watanzania waliofanikisha Tanzania kuibiwa mchanga wa dhahabu wana Mali walizozipata Kwa wizi huo hivyo tunaomba Utaifishe Mali zao ziwe za Umma .
Ukipenda kuwaza unacho penda
Hutopata unachotaka
 
Msajili wa nyumba kwenyewe pameoza, na wao ni wizi kuliko hata hawa wa wizara. Tanzania ni ngumu sana kupata mwenye roho ngumu. Ukitupiwa fungu la dola basi unaanguka signature tu.
 
Hongera sana Rais wangu Kwa hilo la Wizi wa Mchanga.Nakuomba sana Kwa Uzalendo uliouonyesha hebu Fanya kama alivyofanya Hayati Baba wa Taifa Kutaifisha majumba ya wezi Na kuyaita Msajili wa Majumba.Hawa Watanzania waliofanikisha Tanzania kuibiwa mchanga wa dhahabu wana Mali walizozipata Kwa wizi huo hivyo tunaomba Utaifishe Mali zao ziwe za Umma .

Kote unazunguka si ataifishe migodi tu yaishe? Wa Tanzania wenzako wametimiza wajibu wao kwani OPRAS haipo tena.
 
Sina uhakika kama ni ushauri mzuri huo. Utakuwa umekurupuka. Nina uhakika sana kilichokusukuma wewe ni chuki binafsi na karoho kako kadogo ka umaskini uliopitiliza.

Mfumo wa dunia ulivyo sasa hvyo akifanya hivyo atatumbukiza nchi kwenye shimo la giza. Hakuna mwekezaji atakayeingia Tanzania. Hakuna mtu atakayekubali kuja kurisk hela yake na kuwekeza Tanzania. Wengi watakuwa na hofu maana watu wenye chuki binafsi akiamua kumpiga zengwe ina maana mali zake zitataifishwa zote.

Wafanya biashara wanapendaga sehemu salama kwa mitaji yao.

Kwa ushauri wako wewe turudi miaka 50 nyuma tena. Kikubwa haki itendeke, watu walipe kodi, uchunguzi makini ufanyike kama kuna wanaotiliwa shaka wapelekwe mahakamani wadhibitishe walivyopata hizo mali.

Kwa Mugabe jifunzeni " hatutaki kuwa na mabilionea hewa kama wa Zimbabwe"

Marekani uki patikana Na Mali usiyoweza ielezea umeipataje .
Au cash usiyoweza ielezea . Wanahesabu Ni rushwa au wizi au ugaidi, hivyo inataifishwa.

Tanzania sheria ya kutaifisha ipo sema haitumiki sana. Ni wakati muafaka ianze kutumika

Sio roho mbaya wala chuki. Watanzania wote hawawezi kushiriki kila mikataba , hivyo km umepewa dhamana ukaamini ka , mwisho ukalarushwa ukapotosha.
Lazima tukufilisi siku moja.

Mali umezipata visivyo halali na sisi tunazichuku visivyo halali.
 
Kama nimekuelewa vizuri, unataka mali za watz wenzetu waliojinufaisha kidogo kwa kutuuza kwenye mikataba fake zitaifishwe. Kama ni hilo, sawa. Ila asiguse mali za wawekezaji bila a sound evidance
 
Ukitaifisha maana yake Wawekezaji hutajaa uwaone, Je sisi tuna mitaji ya kuwekeza wenyewe?
Achana na Wazungu mkuu hapa tunaongea tu ila jamaa wakiamua yao hata miezi 6 haishi kabla hatujashindia uji wa chumvi

Adui namba moja wa maendeleo WOGA Na kutojiamini.
 
Back
Top Bottom