Rais Magufuli kwa hakika alindwe sana tayari wabaya wake wako hadharani

Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.

Wapi keshawahi tangaza ana nia ya kugombea 2020!,Kama aliyepo aanafanya Kazi vizur i Na anakubalika hovu ya nn kuhofia kushindanishwa?
 
Kuomba kugombea,au kuonesha nia kwa ccm ni kosa!
Hebu jitafakarini upya,na kanuni mlizoweka kama zinanyima haki kwa wenye nia wengine,ni batili.
 
Ni lini Membe alikutangazia hadharani kuwa anagombea urais 2020?
Yaani hata kama anania kugombea kama ilivyo haki yake kikatiba, kwann unamuhusisha na kumdhuru Rais? Yaani kugombea imekuwa dhambi kiasi hiki? Ndani ya chama chenu mtu hawezi kugombea bila kumdhuru mtu?
Unataka ulinzi uongezwe pale, hivi umeuona ulinzi wa Rais sasa hivi? Unataka alindweje zaidi ya pale aisee
Labda anataka awe anatembea na mavifaru na magurunet
 
Kwanini ben sa naane aliuawa?
Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
 
Tatizo liko api dada m2020? Mbona ana ulinzi wa kutosha? punguza uoga

Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
 
Na wewe umemuamini Membe kwa hii kauli yake ya kijinga. Kukatwa mkia ni wale waliohama CCM wakarudi ndani ya chama baada ya uchaguzi kwisha.

Sasa, Membe alihama chama lini kma si ujinga tu wa kauli zake?
Aiseeee hili povu ukipeleka pale Lugalo yake mabakamabaka yanaweza kuwa meupe kama saruji.
 
Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
Ulichoandika Ni upuuzi na ramli isiyo na maana yoyote. Kipi kikubwa katika hiyo CCM, Katiba au taratibu. Pili hawa unaowataja kuwa ni hatari kwa Rais Magufuli, uhatari wao unatokana na nini, kutangaza nia au!!!? Urais Ni cheo cha kisiasa ambacho hushindaniwa.
Hata hivyo hakuna la maana alichokifanya Rais Magufuli kiasi Cha kuachiwa nafasi bila ushindani.
Tafadhali mleta mada, acha uchonganishi.
 
Kama ile convoy haitoshi basi waongeze na wamasai kwenye fuso wawe kwenye msafara kila wanapokwenda.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ni lini Membe alikutangazia hadharani kuwa anagombea urais 2020?

Yaani hata kama anania kugombea kama ilivyo haki yake kikatiba, kwann unamuhusisha na kumdhuru Rais? Yaani kugombea imekuwa dhambi kiasi hiki? Ndani ya chama chenu mtu hawezi kugombea bila kumdhuru mtu?

Unataka ulinzi uongezwe pale, hivi umeuona ulinzi wa Rais sasa hivi? Unataka alindweje zaidi ya pale aisee
Mbele kuwe na Kifaru, angani helikopta ya jeshi nyuma malori matano yaliyojaa askari jeshi wenye AK 47. Kilangila.
 
Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
Hata awe na ulinzi kiasi gani mtoa roho akitaka anafanya atakavyo
 
Magu Hana amani kabisa.halafu Kama Kuna yeyote humu anamtetea huyo dingi kinafiki humu huku umefunga bora uanze kula Kama ilivo ada ya wasiofunga.watanzania tuache unafiki huyu mzee anatuharibia maisha jamani.yani kila Leo tunarudi nyuma duh!
 
Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
Musibaaaa mpka uteuliwe mate yatakauka. Kazana Musiba huenda ukaukwaaa
 
2020 kama jiwe atang'olewa pale
Dah!
Sinywagi pombe ila ntakesha baa nikilewa siku hiyo
 
Naona tayari ana maadaui wengi ndani ya CCM na baadhi yao wameshajitokeza hadharani kusema watampinga mwaka 2020. Hawa wanaosema hivi si watu wema na wanambinu mbalimbali kuhakikisha Rais Magufuli hagombei mwakani.

Hawa ni watu hatari hata kama katiba inawaruhusu ila Chama chao hakiruhusu kwa kupitia taratibu na kanuni ilizojiwekea bado najiuliza, ni busara gani iliyotumika kwa Mhe Membe kwa mfano kujitokeza sasa kabla ya muda na kutangaza nia yake ya kuomba ridhaa CCM kabla ya wakati?

Naomba Rais wetu awekewe ulinzi wa ziada kwani watu hawa ni wengi waliojipanga kumuangamiza raisi wetu. Lakini sisi watanzania tuko imara na tunakutia moyo na shime Rais wetu uendelee kuchapa kazi kwani wabaya huwa hawakosekani dunia hii. Mwisho wao ni aibu.

Mtu ambaye alikataliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mwaka 2015 amepata wapi ujasiri na nguvu ya kufikiria kuwa bado anakubalika ndani ya chama? Lazima kuna genge ambalo linatumia mbinu chafu ya kumuondoa raisi wetu madarakani kabla ama karibu na uchaguzi 2020.

Wana CCM na Serikali lazima tujiulize na kumfuatilia kwa karibu Mhe Membe na kama itabainika anatumia mbinu zinazo hatarisha amani ya nchi yetu ikiwemo usalama wa raisi wetu akamatwe na afikishwe mahakamani haraka kwa uhaini.
Bora mkuu unisaidie! Natafuta maelezo ya Membe kutaka kugombea Urais 2020 sijayapata!
Hebu tuwekee hapa! Natanguliza Shukrani
 
Back
Top Bottom