Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,920
Aanze na Bashite kwanza
Kutumia unga kunahusiana vipi na mada husikia hapa?Je kutumia unga sio kosa la kisheria.
Unakumbuka gwajima alisema kwamba DAB akitumbuliwa watanzania watamgawana na bado hatoshi watanzania tuko more than 35millionsAanze na Bashite kwanza
Hii kaliUnakumbuka gwajima alisema kwamba DAB akitumbuliwa watanzania watamgawana na bado hatoshi watanzania tuko more than 35millions
Mwingine atadai uliniteka, ulifukuzisha uwaziri........Hii kali
Kwanza hakuna mtumishi anayeitwa Bashite. Je, Bashite ni nani na anafanya kazi katika ofisi ipi?Unakumbuka gwajima alisema kwamba DAB akitumbuliwa watanzania watamgawana na bado hatoshi watanzania tuko more than 35millions
Rc DarKwanza hakuna mtumishi anayeitwa Bashite. Je, Bashite ni nani na anafanya kazi katika ofisi ipi?
RC wa Dar es Salaam anaitwa PAUL MAKONDA na siyo BASHITE. Kama ungekuwa ni mtihani, basi jibu lako ungepewa XRc Dar
Acha tu aiseeMwingine atadai uliniteka, ulifukuzisha uwaziri........
Ngoja tusubiri kidogo na mimi niko miongoni Mwaneja waandishi wa habari iliniwajulishe yanayojiriAcha tu aisee
Hapa ndipo tutakapoona double standard! Bashite sidhani kama yupo kwenye orodha ya wasio na vyetiRaisi John Magufuli kesho Ijumaa atapokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma ambayo itawasilishwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki katika ukumbi wa Chimwaga, Dodoma.
View attachment 501849
Naomba Moderator JamiiForums Muwekee Uzi Huu LIVE au NEWS ALERT
Kazi njema kiongoziNgoja tusubiri kidogo na mimi niko miongoni Mwaneja waandishi wa habari iliniwajulishe yanayojiri
Kalipa Faini laki5 hupo huruKuna nesi Mkoani Mara keshahukumiwa. Yuko kifungo jela 3yrs. Labda utapita msamaha
Huyo Ndalichako kawahi hivyo walimu watapona kweliiiiNaona Ndalichako na Kairuki wameshaingia ukumbini