technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hii haikubaliki hata kidogo walimu wamekatwa mishaara yao
Vijana hawajapewa pesa ya field study!!
Ajira za walala hoi bado !!
Alafu unalipa mafisadi uku ukitwambia unapambana na ufisadi?
Very sad