Reli si imemshinda buda unataka akafungue nini? 😝😝Rais anafungua soko??
Ruzuku ya CCM mlinunua madawati mangapi? kama una akili timamu huwezi kuacha kufanya maendeleo kisa CHADEMA hawajafanya maendeleo lazima utakuwa mjinga sn.mamilioni ya ruzuku mliyokuwa mkipata chadema mlinuunua madawati mangapi?
Pamoja mkuuHahaaaa nakubali mkuu
Mpaka washike adabuSamia kanyang'anywa mikasi?
Hata haonekani wala kusikika, kuna nini?
Unajua gharama za kumpeleka Rais mahali?Ulitakaje?yeye ndio ndie mkuu wa nchi,mbona pakiharibika kila kitu mnamlaumu yeye?
Hivi Waziri au Mkuu wa Mkoa hawezi kulifungua soko hili, yeye Rais kuja kulifungua ni gharama sana kuanzia ulinzi hadi usafiri hatuoni haya kuwa ni gharama sana kwa nchi?Tutawaletea matangazo ya moja kwa moja wakati wa uzinduzi huo utakaofanywa na Mhesh Rais Dkt John Pombe Magufuli
Tafadhali mtaarifu mwenzako & usikose kufuatilia shughili hii muhimu kitaifa
Source: DPC Gerson Msigwa
Oiiiiiii!! Umeshaliona hilo soko la kisasa la mfano EA? Sikihizi JF watu WENYE WIVU WA KIKE wanazidi kuongezeka.Soko anazindua Rais?
Tena na Elcopiter ipo juu inasindikiza,tumesimama Sana hapo Gairo.Yaani msafara wote huo kwenda kufungua soko tu! hizo fedha zingenunua madawati na kujenga madarasa mangapi?
Hivi mbona homa ya mapafu haipiti nao? Au walisha chanjwa wana sherehekea sisi wanyonge kufiwa?Yaani msafara wote huo kwenda kufungua soko tu! hizo fedha zingenunua madawati na kujenga madarasa mangapi?
Kununua mahindi ya kuchoma yeye, jogoo yeye, kuajiri yeye, kutumia vyombo vyote vya habari yeye, kusifiwa yeye......Yaani Tanzania haijawahi kupata Rais wa hivi aisee na sidhani kama kuna mahali yupo yaani hadi kuzindua soko yeye daraja yeye barabara yeye visima yeye mashamba yeye duuuu
Kimsingi huyu mzee amepoteza mvuto kwa kiwango cha ajabu! Hadi ifike hiyo 2025, kuna baadhi ya Wananchi watakuwa wanapata hata maumivu ya kichwa kwa kulisikia tu jina lake likitajwa mahali.Anajaribu kujiongezea mvuto mbele ya wananchi waliomkataa na kutafuta justfication ya kujiongezea muda madarakani
Kazi za Samia Suluhu hizo.Ulitakaje?yeye ndio ndie mkuu wa nchi,mbona pakiharibika kila kitu mnamlaumu yeye?
Hahahaha ,umeua Mkuu.Meko ni vile tu watu wanamgwaya ila huyu ukimualika kuzindua birthday ya kijana wako mbona anatimba tu, mradi umuhakikishie kutakuwa na live coverage Ti Bi Sii!!
Meko atakuwa anatembea na mkasi mfukoni wa kukatia utepe!!Hahahaha ,umeua Mkuu.