Mpenda sifa na kusifiwa ni yeye piaYaani Tanzania haijawahi kupata Rais wa hivi aisee na sidhani kama kuna mahali yupo yaani hadi kuzindua soko yeye daraja yeye barabara yeye visima yeye mashamba yeye duuuu
Wananchi wapi? Chadema?Anajaribu kujiongezea mvuto mbele ya wananchi waliomkataa na kutafuta justfication ya kujiongezea muda madarakani
Kama ilivyomchukua yule mdhamini wenuCorona inaniangusha,nichukulie mtu
Kwani chedema ipo tu?au ndio maana mnapeleka mzee meko mpaka kufanya shughuli za meya wa morogoro mcWananchi wapi? Chadema?
Huwa haudhuri misiba, kwake ni mwiko!Mwambieni apite na pale SUA kutoa mkono wa pole.
Mkasi wa mama samia aliokabidhiwa na mzee Bilali jamaa ameuhodhi.
Jiwe kama jiwe mzee wa kupenda fonti fedi
Meko ni vile tu watu wanamgwaya ila huyu ukimualika kuzindua birthday ya kijana wako mbona anatimba tu, mradi umuhakikishie kutakuwa na live coverage Ti Bi Sii!!
Meko atakuwa anatembea na mkasi mfukoni wa kukatia utepe!!
mvpMeko ni vile tu watu wanamgwaya ila huyu ukimualika kuzindua birthday ya kijana wako mbona anatimba tu, mradi umuhakikishie kutakuwa na live coverage Ti Bi Sii!!