Rais Magufuli kama kweli unatujali walalahoi tufungulie hili geti!

Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.

Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?

Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
Mnazi Mmoja na Kisutu ndio zilikuwa STAND KUU za Mabasi ya Kwenda MKOANI.
 
Na watufungulie Barack Obama avenue tupite mbele ya Ikulu, wafunge usiku.
Wafungue sio tukiwa tunatoka Spider Basket Ball Ground Kucheza Basket Kwenda Tanganyika Swimming Pool iwe rahisi sio mpaka kuzunguka Ocean Road IFM.
 
Wafungue sio tukiwa tunatoka Spider Basket Ball Ground Kucheza Basket Kwenda Tanganyika Swimming Pool iwe rahisi sio mpaka kuzunguka Ocean Road IFM.
Kupunguza foleni pale kivukoni pia. Mtu unaenda Upanga/Mwenge unazunguka then uje uingie Barack Obama via OR hospital
 
Hii nchi ina matatizo makubwa sana, wakati JPM akisisitiza watu kuchapa kazi wengine wanaomba lango la mnazi moja liwe wazi ili wakalishe makalio yao 24/7.

Mtoa mada unachuki na Nyerere hadi unakera huku ukijifanya unampenda Magufuli na Mlumumba kindakindaki kumbe mnafiki mkubwa.


Pole, kama nimeumiza hisia zako!
 
Safari ya sisi watanzania bado ndefu sana,siku ambayo sisi working class tutakapoanza kufikiri kwa level yetu,tukaacha ubinafsi,ukweli ukatawala na tukarudi kwenye basic ndio siku ambayo tutaanza kutembea ,mtoa hoja anaelewa kuwa why lile geti limefungwa sasa instead ya kulielezea unakuja na mada ya kumfanya our no 1 awe ndio kila kitu,why taasisi hii tunaikuza mno na kuibebesha majukumu yasiyo ya kwake?kweli our president atoe tamko la kufunguliwa kwa geti la bustani?,hii ni issue ya Halmashauri ya JIJI(NDIO WAMILIKI),kwa hiyo hii mada ingeelekezwa kwao,ni wajibu wao kuitunza ile bustani ikiwa ni pamoja na kuwa na public toilets zinazofanya kazi na kutunzwa,kuwekwa kwa mapipa ya taka na kuhakikisha watumiaji wanayatumia haya;angalia jiji letu wapi kuna public toilets zinazofanya kazi?au nalo tumwambie our no 1 alitolee tamko?
 
Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.

Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?

Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
nyie wanyonge huwa ni wachafu-wachafu tu automatically mtaharishia mazingira.
 
Kupunguza foleni pale kivukoni pia. Mtu unaenda Upanga/Mwenge unazunguka then uje uingie Barack Obama via OR hospital
Sijui wanazuia kitu gani,miaka ya 70 na 80 tulikuwa tunenda kuangalia wanyama tena kulikuwa hakuna ukuta kulikuwa na mesh wire tu ilikuwa kama Zoo vile....Nashangaa Mfungwa hataki hata watu kupita njiani wanakamatwa na MAKIRIKIRI.
 
Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.

Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?

Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
Acha uvivu, mjini ni kuchapa kazi.

Kama vipi urudi kijijini kwenu huko kuna misitu ya kutosha,utapumzika.
 
Inawezekana hata hajui kwamba mabasi ya Tanga/Iringa/Mbeya yalikuwa yanaanzia hapo na palikuwa wazi.
Palikuja fungwa baada ya ombaomba kujipatia makazi.
Stand ya Mabasi ya Tanga,Moshi na Arusha ilikuwa Kisutu
 
Kila siku nakwambia wewe ni lipopoma kahaba jeusi lisilo na ubongo! Kule juu umemlaumu Nyerere wakati hapo hapakufungwa enzi ya Nyerere!! Ona unavyoaibika we yezebel!
Hilo sijui, ila najua stendi ya Kisutu.
 
Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.

Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?

Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
Taratibu akili zinawarudia , mlifikiri Chadema peke yao ndio wana tumia hiyo bustani
 
Kila siku nakwambia wewe ni lipopoma kahaba jeusi lisilo na ubongo! Kule juu umemlaumu Nyerere wakati hapo hapakufungwa enzi ya Nyerere!! Ona unavyoaibika we yezebel!


Mimi nina haki ya kumlaumu Nyerere na hata kumchukia kama ningependa kwenda mbali hivyo, na hata yeye mwenyewe Nyerere kama angekuwepo angenielewa, wewe hauwezi kuona chochote kwa maana haujadhurika na chochote, hivyo ni sawa kwako kumuona Nyerere asiye na doa!
 
Hatuongelei madoa ya Nyerere tunaongelea kufungwa kwa bustani ya mnazi mmoja!! We shwaini utakuwa mswahili tu maana ndo itikadi zenu dhidi ya Nyerere.
Mimi nina haki ya kumlaumu Nyerere na hata kumchukia kama ningependa kwenda mbali hivyo, na hata yeye mwenyewe Nyerere kama angekuwepo angenielewa, wewe hauwezi kuona chochote kwa maana haujadhurika na chochote, hivyo ni sawa kwako kumuona Nyerere asiye na doa!
 
Kama kweli anatujali wanyonge walio Karibu na jiwe wsmshauli aondoe vitambulisho vya wauza mchicha. Inje ya maada
 
Mimi nina haki ya kumlaumu Nyerere na hata kumchukia kama ningependa kwenda mbali hivyo, na hata yeye mwenyewe Nyerere kama angekuwepo angenielewa, wewe hauwezi kuona chochote kwa maana haujadhurika na chochote, hivyo ni sawa kwako kumuona Nyerere asiye na doa!
Ila kwa sasa sidhani kama unaweza kulaumu au kumchukia mtu zaidi ya kumpamba na kumsifia kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
Mnataka muwe mnaenda kunya na kukojoa kwenye bustani? Labda muwe mmebadilika tabia. Inafahamika toka zamani mlibadilisha bustani hii kuwa sehemu ya kwenda kunyea na kukojoa na hili lilimkwaza sana nyerere.

Sasa unarudi baada ya kuona muda umepita vyoo ni vya kulipia basi mfunguliwe hii bustani mwende kunya kule.mbona mwinyi hakufungua?mbona kikwete hakufungua?

Bustani za Mnazi mmoja ziwe wazi kwa wote kwa maana zilijengwa kwa lengo hilo na siyo kwa ajili ya matamasha.

Na hoja mfilisi kwamba sisi ni wachafu na tutakunya humo siyo ya kweli, hiyo ni enzi ya Nyerere na chuki yake dhidi yetu ndiye aliyefunga hiyo Bustani eti sisi ni wachafu, mbona Mwendokasi mlisema tutang’oa viti lkn hatujang’oa?

Tufungulie Bustani yetu, ulitutetea kuzuia Coco beach yetu isiuzwe, sasa zamu ya Bustani yetu Mnazi mmoja, Piga Vita Chuki tuliolelewa nayo dhidi yetu, ...
 
Pole fuatilia historia yake, wengine tumecheza sana pale, miaka ya 80/90 kwa pembeni kilikuwepo na kituo cha mabasi ya kwenda nyada za juu kusini, Mbeya, Iringa, Sumbawanga, Njombe nk
Umeikumbusha mbali,miaka ya 90 mwanzoni kulikuwa na kituo cha mabasi,nimepanda Comfort,Mwafrika na Scandavia hapo miaka hiyo kwenda Iringa
 
Kufunga ukumbi kwa vile watu wanakunya ndani ni uzembe wa watendaji waliopewa jukumu la kusimamia, polisi wapo, mgambo wapo, polisi jamii ipo, wanashindwa hata kuajiri kampuni ya ulinzi wakaacha watu wapumzike. Vituo vya mabasi vipo wazi hatuoni watu wakinya hovyo, kinachotakiwa ni kuwa na huduma nyingi za vyoo pale na watu waelekezwe huku kukiwa na ulinzi imara.

Mbona watu hawanyi hovyo uwanja wa Taifa au uwanja wa ndege.
Kwa hiyo serikali iweke police kwa ajili ya kulinda watu wanaokunya hovyo. Yaan ww uache kuwa mstaarab, utegemee kuchungwa na police hata kwa kunya tu. Kama watu wameshindwa kuwa wastaarabu si bora kupafunga tu kila mmoja akapumzike kwake. Au aende bar.
 
Back
Top Bottom