maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Inawezekana hata hajui kwamba mabasi ya Tanga/Iringa/Mbeya yalikuwa yanaanzia hapo na palikuwa wazi.Barbarosa, ungewezaje wakati umri wako Dar es Salaam ni mfupi kuliko U RC wa Makonda
Palikuja fungwa baada ya ombaomba kujipatia makazi.