Wakati Rais Magufuli anatoa kauli hii, wapo waliobeza wakidhani kuwa haitekelezeki. Hata hivyo, hadi sasa ukweli ni kwamba Rais Magufuli kafanikiwa kudhibiti maandamano na migomo nchi nzima. Ukiona maandamano basi ujue ni ya kuunga mkono juhudi zake anazofanya kuwaletea maendeleo wananchi. Hakuna mtutu wa bunduki wala virungu vilivyotumika kuzima migomo na maandamano. Ni mikwara yake tu pamoja na kushungulikia chanzo cha migomo na maandamano hayo.
Hongera Rais Magufuli. Kwa hili umeinyoosha nchi.
Uzi wa kichochezi per se...Wakati Rais Magufuli anatoa kauli hii, wapo waliobeza wakidhani kuwa haitekelezeki. Hata hivyo, hadi sasa ukweli ni kwamba Rais Magufuli kafanikiwa kudhibiti maandamano na migomo nchi nzima. Ukiona maandamano basi ujue ni ya kuunga mkono juhudi zake anazofanya kuwaletea maendeleo wananchi. Hakuna mtutu wa bunduki wala virungu vilivyotumika kuzima migomo na maandamano. Ni mikwara yake tu pamoja na kushungulikia chanzo cha migomo na maandamano hayo.
Hongera Rais Magufuli. Kwa hili umeinyoosha nchi.
Nimependa avartar yako! Looks very nice!wa kichochezi per se
Nimesoma lakini nimeamua nitafute dhima na Maudhui ya Uzi huuWakati Rais Magufuli anatoa kauli hii, wapo waliobeza wakidhani kuwa haitekelezeki. Hata hivyo, hadi sasa ukweli ni kwamba Rais Magufuli kafanikiwa kudhibiti maandamano na migomo nchi nzima. Ukiona maandamano basi ujue ni ya kuunga mkono juhudi zake anazofanya kuwaletea maendeleo wananchi. Hakuna mtutu wa bunduki wala virungu vilivyotumika kuzima migomo na maandamano. Ni mikwara yake tu pamoja na kushungulikia chanzo cha migomo na maandamano hayo.
Hongera Rais Magufuli. Kwa hili umeinyoosha nchi.
Thanx. Ni kwa neema ya Mungu...Nimependa avartar yako! Looks very nice!
Kwamba nenda kaandamane.Unatufundisha nini kwenye huu upuuzi ulioandika??
Acha propoganda za kijinga, hazikusaidii chochote. Pambana na hali yako kiuhalisia, acha mambo ya kupika.HIVIII .. hata mie hapa mmenikamua kodi ya mjengo huu 15,000/=
muogopeni MOLA MAULANA!!
Hamuwezi kufanikiwa kwa kukusanya kodi za namna hii kama mmeshindwa kukusanya za MAKINIKIA