juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
Kuongea kizungu unadhani ni mchezo?
Mkuu soma post nlioiquote, sio yako mbona.Unalazisha nikujibu yale utakayo,punguza jazba!
Nimekusoma!Mkuu soma post nlioiquote, sio yako mbona.
Atoke tu kiukweli bajeti haitoshelezi na wala haitekelezeki kwa miradi ya maendeleo na hakuna mpango mpya wa vyanzo vya mapato!Atoke tu hata kama hakuna sababu ya kutoka?akitoka mtaanza tena kusema anatoka sana.....ubinadamu kazi sana.
Amani kwenu wadau
Tangu rais wetu ma JMT alipokabidhiwa madaraka hajatoka kwenda safari ya umbali mrefu zaidi ya nchi jirani za ukanda wetu huu.
Ninalo muomba rais atoke aende nchi za nje kama mwenyewe alivyo jipambanua si muoga wala hana aibu ifikapo muda wa kuomba
Mara ya kwanza nilitegemea ile pin yako ya safari za nje na wewe mwenyewe inakubana lakini si hivyo na kama ilikuwa unataka kuijua milango yote ya ikulu tayari ushaifahamu ni miaka miwili na nusu fanya utoke,
Nenda kawaeleze wazungu uchumi wa tanzania umekuwa kwa 7%,nenda kawaeleze demokrasia inazidi kustawi,uhuru wa habari,uhuru wa kujieleza,vita ya ugaidi na madawa ya kulevya vyote umefanya vizuri waambie elimu bure,afya,maji,umeme,na kama ilivyo ada na miundo mbinu na umedhibiti vyema suala la rushwa na ufisadi na serikali yako ni ya kidemokrasia umeteua mpaka wapinzani na unasimamia vyema rasilimali za nchi kama ulivyo onyesha uzalendo kwenye mchanga wa madini
Na uwaombe waje wawekeze katika miradi mikubwa ya viwanda kama dhumuni la serikali yako lilivyo imetosha rais kuona wale viongozi wote wanaokuja hapa kwetu uwezo wa ni kama wetu hivyo hawaleti tija na hawana ushawishi
Ni hayo ndugu rais labda nichukue nafasi kukupongeza kumteua mama mghwira kuwa Rc mpya
Najua wewe ni msikivu na sio mbishi kufuata ushauri kama ulivofuata ushauri wa tume ya mashobo!
Akhsante!
Kwani wote wajao hapa na kwengineko hawana mabalozi!
So wanaosafiri wote hawana mabalozi?
Nimecheka sana aiseee kwa komenti yako hiiNa pongezi kwa viwanda ambapo cherehani 4 ni kiwanda katika Tanzania ya viwanda
Wana ndotooooEti raisi wetu wewe na nani?sema kwa manufaa yako.mimi huyo sio rais wangu.namtambua lowassa.
Swissme
dunia ni kijiji,wanazo habari zote hizoNenda kawaeleze wazungu uchumi wa tanzania umekuwa kwa 7%,nenda kawaeleze demokrasia inazidi kustawi,uhuru wa habari,uhuru wa kujieleza,vita ya ugaidi na madawa ya kulevya vyote umefanya vizuri waambie elimu bure,afya,maji,umeme,na kama ilivyo ada na miundo mbinu na umedhibiti vyema suala la rushwa na ufisadi na serikali yako ni ya kidemokrasia umeteua mpaka wapinzani na unasimamia vyema rasilimali za nchi kama ulivyo onyesha uzalendo kwenye mchanga wa madini
mkuu umenena vyema kabisa mambo haya aliyoyafanya rais wako magufuli LAKINI hii ni REPORT kwa watanzania ifikapo 2020 na sio report kwa wazungu kwa kuwa Watanzania ndio waliomchagua awatumikie na sio wazungu.Amani kwenu wadau
Tangu rais wetu ma JMT alipokabidhiwa madaraka hajatoka kwenda safari ya umbali mrefu zaidi ya nchi jirani za ukanda wetu huu.
Ninalo muomba rais atoke aende nchi za nje kama mwenyewe alivyo jipambanua si muoga wala hana aibu ifikapo muda wa kuomba
Mara ya kwanza nilitegemea ile pin yako ya safari za nje na wewe mwenyewe inakubana lakini si hivyo na kama ilikuwa unataka kuijua milango yote ya ikulu tayari ushaifahamu ni miaka miwili na nusu fanya utoke,
Nenda kawaeleze wazungu uchumi wa tanzania umekuwa kwa 7%,nenda kawaeleze demokrasia inazidi kustawi,uhuru wa habari,uhuru wa kujieleza,vita ya ugaidi na madawa ya kulevya vyote umefanya vizuri waambie elimu bure,afya,maji,umeme,na kama ilivyo ada na miundo mbinu na umedhibiti vyema suala la rushwa na ufisadi na serikali yako ni ya kidemokrasia umeteua mpaka wapinzani na unasimamia vyema rasilimali za nchi kama ulivyo onyesha uzalendo kwenye mchanga wa madini
Na uwaombe waje wawekeze katika miradi mikubwa ya viwanda kama dhumuni la serikali yako lilivyo imetosha rais kuona wale viongozi wote wanaokuja hapa kwetu uwezo wa ni kama wetu hivyo hawaleti tija na hawana ushawishi
Ni hayo ndugu rais labda nichukue nafasi kukupongeza kumteua mama mghwira kuwa Rc mpya
Najua wewe ni msikivu na sio mbishi kufuata ushauri kama ulivofuata ushauri wa tume ya mashobo!
Akhsante!
Hata Miye naunga MKONYO..Naunga hoja mkono
Eti raisi wetu wewe na nani?sema kwa manufaa yako.mimi huyo sio rais wangu.namtambua lowassa.
Swissme
Proudly nasema he is not my president na afadhali sura yake haipo kwenye mkwanja sjui tungezishikaje abakie tu magogoni anamaliza mda wake less than three then tuishi jamani ....Eti raisi wetu wewe na nani?sema kwa manufaa yako.mimi huyo sio rais wangu.namtambua lowassa.
Swissme