Rais Magufuli iboreshe Taasisi ya Usalama wa Taifa

Status
Not open for further replies.

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Baada ya kuwekwa hadharani ripoti ya mchanga wa madini na kuonyesha namna Taifa lilivyokuwa linapoteza kiasi kikubwa cha mapato, ni wazi sasa kunahitajika umakini mkubwa kulinda rasilimali za nchi ziweze kuwafaidisha watanzania kwanza kabla ya mengineyo.

Inawezekana kulikuwa na ripoti za uvushaji huu kwa muda mrefu na hazikuwahi hata kuguswa na waliotangulia, lakini pia ninaona kuna unyonge kwenye taasisi yetu ya Usalama wa Taifa ambapo kisheria wanategemea vyombo vingine katika uchukuaji hatua kwenye mambo muhimu ya taifa. Kisheria Usalama wa Taifa wanaishia kukusanya taarifa na kuziwasilisha kwa waziri mwenye dhamana ambaye naye ana utashi wa kuamua ama kutoamua kuzipeleka kwenye maamuzi.

Hivyo inawezekana kabisa Wizara hiyo kushikwa na mtu ambaye hajui dhima na umuhimu wa Usalama wa Taifa hivyo kukawa na mwendelezo wa hovyo hovyo katika maamuzi.

Ni wakati sasa rais akaona umuhimu wa kuiboresha taasisi hii kwa kuipa nguvu hasa kuchukua hatua kwa maslahi ya Taifa pale inapobidi.

Viundwe vitengo vya kufanya tafiti kwa kila maamuzi ya kisera kwa Taifa.

Viundwe vitengo vya kushirikisha raia kusaidia taasisi kufanikisha oparesheni zake bila kuvunja sheria za nchi....

Kwa sasa naweka haya machache, kwani nimeona yana umuhimu sana kuzuia makosa kama haya ya kina Muhongo kushindwa kusimamia Wizara zao yasijirudie

Kwa hali ilivyo sasa, kuna umuhimu wa kuwa na taasisi zaidi ya moja na zenye majukumu tofauti kwenye eneo la ushushu na kila taasisi iruhusiwe kupepesa macho kwa mwenzake na kurupoti mahali husika pale inapo gundua kuna hujuma.

Pia vyombo hivi vipewe mamlaka ya kupepesa macho kwa MTU yoyote hata Rais wa Jamhuri ya muungano na kurippti hatari kwa vyombo husika pale kunapokuwa na jambo lisilo sahihi.

Leo tunalia na mikataba, rushwa, ubafhilifu tc kwa sababu chombo chetu kimetekwa au kimewekewa mipaka ya kutochungulia baadhi ya mambo au kuyapuuza hata kama ni hatarishi kwa taifa...

Pia ujasusi wa nje hasa kwenye eneo la uchumi uongezewe nguvu na nyenzo has a technologia ..
 
Kwa hali ilivyo sasa, kuna umuhimu wa kuwa na taasisi zaidi ya moja na zenye majukumu tofauti kwenye eneo la ushushu na kila taasisi iruhusiwe kupepesa macho kwa mwenzake na kurupoti mahali husika pale inapo gundua kuna hujuma.

Pia vyombo hivi vipewe mamlaka ya kupepesa macho kwa MTU yoyote hata Rais wa Jamhuri ya muungano na kurippti hatari kwa vyombo husika pale kunapokuwa na jambo lisilo sahihi.

Leo tunalia na mikataba, rushwa, ubafhilifu tc kwa sababu chombo chetu kimetekwa au kimewekewa mipaka ya kutochungulia baadhi ya mambo au kuyapuuza hata kama ni hatarishi kwa taifa...

Pia ujasusi wa nje hasa kwenye eneo la uchumi uongezewe nguvu na nyenzo has a technologia ..
 
Baada ya kuwekwa hadharani ripoti ya mchanga wa madini na kuonyesha namna Taifa lilivyokuwa linapoteza kiasi kikubwa cha mapato, ni wazi sasa kunahitajika umakini mkubwa kulinda rasilimali za nchi ziweze kuwafaidisha watanzania kwanza kabla ya mengineyo.

Inawezekana kulikuwa na ripoti za uvushaji huu kwa muda mrefu na hazikuwahi hata kuguswa na waliotangulia, lakini pia ninaona kuna unyonge kwenye taasisi yetu ya Usalama wa Taifa ambapo kisheria wanategemea vyombo vingine katika uchukuaji hatua kwenye mambo muhimu ya taifa. Kisheria Usalama wa Taifa wanaishia kukusanya taarifa na kuziwasilisha kwa waziri mwenye dhamana ambaye naye ana utashi wa kuamua ama kutoamua kuzipeleka kwenye maamuzi.

Hivyo inawezekana kabisa Wizara hiyo kushikwa na mtu ambaye hajui dhima na umuhimu wa Usalama wa Taifa hivyo kukawa na mwendelezo wa hovyo hovyo katika maamuzi.

Ni wakati sasa rais akaona umuhimu wa kuiboresha taasisi hii kwa kuipa nguvu hasa kuchukua hatua kwa maslahi ya Taifa pale inapobidi.

Viundwe vitengo vya kufanya tafiti kwa kila maamuzi ya kisera kwa Taifa.

Viundwe vitengo vya kushirikisha raia kusaidia taasisi kufanikisha oparesheni zake bila kuvunja sheria za nchi....

Kwa sasa naweka haya machache, kwani nimeona yana umuhimu sana kuzuia makosa kama haya ya kina Muhongo kushindwa kusimamia Wizara zao yasijirudie
Ajira za TISS zingewekwa wazi watu waombe kwa sifa zilizowekwa kama ilivyo kwa mashirika yaliyobobea kama MOSSAD, CIA. Wao wafanye vetting ya kutosha kwa wale watakaoona wanafaa, na iwe ni kwa field zote zinazomhusu binadamu. Huku nje hatujui huwa wanatumia vigezo gani kuajiri na kwa sifa zipi, ila niliwahi kudokezwa tu kwamba chama kubwa kikisema huyu sawa basi unaajiriwa, hebu kwa mfano wa bashite, kama kweli ni mtu wao, basi unaweza ona jinsi taasisi yetu hiyo ilivyo.
 
Umeongea jambo la maana sana. Kuna wakati raia anawekwa kati na hajui pa kukimbilia kwakua tu hakuna njia rahisi ya kuwafikia hawa jamaa, anabaki na yake moyoni huku akiomba Mungu asaidie taifa lake...
TAKUKURU......
 
Ajira za TISS zingewekwa wazi watu waombe kwa sifa zilizowekwa kama ilivyo kwa mashirika yaliyobobea kama MOSSAD, CIA. Wao wafanye vetting ya kutosha kwa wale watakaoona wanafaa, na iwe ni kwa field zote zinazomhusu binadamu. Huku nje hatujui huwa wanatumia vigezo gani kuajiri na kwa sifa zipi, ila niliwahi kudokezwa tu kwamba chama kubwa kikisema huyu sawa basi unaajiriwa, hebu kwa mfano wa bashite, kama kweli ni mtu wao, basi unaweza ona jinsi taasisi yetu hiyo ilivyo.
UNDUGU unatumika katika kuajiriwa kwenye TISS sio kigezo za uwezo au elimu ya mtu njia nyengine wanayotumia mtu aliemo kwenye TISS anaweza kumpendekeza mtu fulani aajiriwe....Na ndio maana utaona hii taasisi ipoipo tu
 
Tiss wamekuwa na kazi ya kuuwa upinzani na kuilinda CCM.Hivyo hadi CCM,itapo jitambua kuwa hawana hati miliki na Tanzania tutakuwa na taasisi bora za kitaifa.Lakini kwa sasa ni ngumu kuwa na idara bora kwani akiongea Pole pole wanasikiliza,akiongea Bashite wanasilikiza wamesahau kuwa wao ni taasisi kwa ajili ya mama TANZANIA.
 
Watu wakubwa wataacha kuwarushia mapande vijana wao sehemu hizo? Ajira zake ziko kama zinavyotakiwa kuwa?
 
Baada ya kuwekwa hadharani ripoti ya mchanga wa madini na kuonyesha namna Taifa lilivyokuwa linapoteza kiasi kikubwa cha mapato, ni wazi sasa kunahitajika umakini mkubwa kulinda rasilimali za nchi ziweze kuwafaidisha watanzania kwanza kabla ya mengineyo.

Inawezekana kulikuwa na ripoti za uvushaji huu kwa muda mrefu na hazikuwahi hata kuguswa na waliotangulia, lakini pia ninaona kuna unyonge kwenye taasisi yetu ya Usalama wa Taifa ambapo kisheria wanategemea vyombo vingine katika uchukuaji hatua kwenye mambo muhimu ya taifa. Kisheria Usalama wa Taifa wanaishia kukusanya taarifa na kuziwasilisha kwa waziri mwenye dhamana ambaye naye ana utashi wa kuamua ama kutoamua kuzipeleka kwenye maamuzi.

Hivyo inawezekana kabisa Wizara hiyo kushikwa na mtu ambaye hajui dhima na umuhimu wa Usalama wa Taifa hivyo kukawa na mwendelezo wa hovyo hovyo katika maamuzi.

Ni wakati sasa rais akaona umuhimu wa kuiboresha taasisi hii kwa kuipa nguvu hasa kuchukua hatua kwa maslahi ya Taifa pale inapobidi.

Viundwe vitengo vya kufanya tafiti kwa kila maamuzi ya kisera kwa Taifa.

Viundwe vitengo vya kushirikisha raia kusaidia taasisi kufanikisha oparesheni zake bila kuvunja sheria za nchi....

Kwa sasa naweka haya machache, kwani nimeona yana umuhimu sana kuzuia makosa kama haya ya kina Muhongo kushindwa kusimamia Wizara zao yasijirudie


Ni kweli hili suala mkuu inabidi alifanikishe mapema kwani hawa ndio watu wake atakao kuwa anawatumia zaidi kwa upande wa pili kuliko hizi tume..
Halafu unajua nchi inavijana wengi sana wenye uwezo sana wenye 6th senses au 3rd eyes ambao hawana sehemu za kuzi apply wanaishia kuzunguka na bahasha na kufanya kazi mkampuni binafsi.
 
TISS wanafanya kazi yao vizuri kuliko hata mnavyodhani. Tatizo tulilokuwa nalo ni dhamira ya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Tumuunge mkono Rais wetu na tuwe wamoja sisi kama Watanzania, Tanzania mpya inakuja!
 
Baada ya kuwekwa hadharani ripoti ya mchanga wa madini na kuonyesha namna Taifa lilivyokuwa linapoteza kiasi kikubwa cha mapato, ni wazi sasa kunahitajika umakini mkubwa kulinda rasilimali za nchi ziweze kuwafaidisha watanzania kwanza kabla ya mengineyo.

Inawezekana kulikuwa na ripoti za uvushaji huu kwa muda mrefu na hazikuwahi hata kuguswa na waliotangulia, lakini pia ninaona kuna unyonge kwenye taasisi yetu ya Usalama wa Taifa ambapo kisheria wanategemea vyombo vingine katika uchukuaji hatua kwenye mambo muhimu ya taifa. Kisheria Usalama wa Taifa wanaishia kukusanya taarifa na kuziwasilisha kwa waziri mwenye dhamana ambaye naye ana utashi wa kuamua ama kutoamua kuzipeleka kwenye maamuzi.

Hivyo inawezekana kabisa Wizara hiyo kushikwa na mtu ambaye hajui dhima na umuhimu wa Usalama wa Taifa hivyo kukawa na mwendelezo wa hovyo hovyo katika maamuzi.

Ni wakati sasa rais akaona umuhimu wa kuiboresha taasisi hii kwa kuipa nguvu hasa kuchukua hatua kwa maslahi ya Taifa pale inapobidi.

Viundwe vitengo vya kufanya tafiti kwa kila maamuzi ya kisera kwa Taifa.

Viundwe vitengo vya kushirikisha raia kusaidia taasisi kufanikisha oparesheni zake bila kuvunja sheria za nchi....

Kwa sasa naweka haya machache, kwani nimeona yana umuhimu sana kuzuia makosa kama haya ya kina Muhongo kushindwa kusimamia Wizara zao yasijirudie

aiboreshe vip ndio chombo chake cha kukamata watu wanaompinga kwa haki ya kikatiba
 
\\noo1
TISS wanafanya kazi yao vizuri kuliko hata mnavyodhani. Tatizo tulilokuwa nalo ni dhamira ya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Tumuunge mkono Rais wetu na tuwe wamoja sisi kama Watanzania, Tanzania mpya inakuja![/QUOT
NO! TISS hawafanyi vzr kazi yao..makosa makosa mengi sana, kwny teuzi,uwekezaji, ukusanyaji taarifa nk..ukikuta DSO anayeweza kuandaa hata page 1 ya ripoti bs tungekuwa mbali sana kiuchumi na kijamii..tusingekuwa na maloloso haya!
 
TISS wanafanya kazi yao vizuri kuliko hata mnavyodhani. Tatizo tulilokuwa nalo ni dhamira ya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Tumuunge mkono Rais wetu na tuwe wamoja sisi kama Watanzania, Tanzania mpya inakuja!
NO! TISS hawafanyi vzr kazi yao..makosa makosa mengi sana, kwny teuzi,uwekezaji, ukusanyaji taarifa nk..ukikuta DSO anayeweza kuandaa hata page 1 ya ripoti bs tungekuwa mbali sana kiuchumi na kijamii..tusingekuwa na maloloso haya!
 
kwa taarifa yako, hawa hawa unaowasema ndio walio amua kufukua makaburi wakampa
mchongo mkulu wa kaya, kwani wao walikuwa wanjua kila kitu. Asanteni sana kwa kazi yenu ya
kiweledi wa kiwango cha hali ya juu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom