Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Katika hotuba yake wakati wa kuapisha walioteuliwa,JPM alisema huwa anafuatilia mijadala ya wabunge hasa wa CCM!
Nijuavyo kipindi cha maswali na majibu ndio huwa kinakuwa live, baada ya hapo matangazo yanazimwa! Najiuliza kama ni kweli kauli yake kuwa huwa anafuatilia mijadala ya Bunge, huwa anatune channel gani?
Pia nikawaza, iweje atunyime wananchi kuangalia Bunge huku yeye akilitizama???
Nijuavyo kipindi cha maswali na majibu ndio huwa kinakuwa live, baada ya hapo matangazo yanazimwa! Najiuliza kama ni kweli kauli yake kuwa huwa anafuatilia mijadala ya Bunge, huwa anatune channel gani?
Pia nikawaza, iweje atunyime wananchi kuangalia Bunge huku yeye akilitizama???