Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Hivi ni saidie kwanza tajili ni yupi?,Na madikini ni yupi?....harafu ndipo nitachangie zzaidi.
Ni rahisi tu, tajiri ni yule mwenye uwezo wa kuchagua, na masikini hana huo uwezo yeye atachukuwa kinachopatikana kwa wakati huo na kikikosena basi hawezi kwenda mbele, hivyo basi ni lazima Serikali imsaidie ili aweze kwenda mbele, huyu anayeweza kcuhagua ana njia nyingi na hahitaji msaada wa serikali ukiwepo sawa usipokuwepo pia sawa na anweza kuendelea na masomo!
Hivyo kwenye kusomeshwa na Serikali Chuo Kikuu logic iliyopo ni kwamba kama huyu aliweza kusoma kuanzia shule ya msingi mpaka A-level bila msaada wa Serikali kwa nini washindanishwe kwenye mizani sawa na mtoto aliyesomeshwa na Serikali kwa sababu ya kukosa uwezo?