Ricochet
Senior Member
- Mar 14, 2020
- 120
- 415
Million 1 kwa watu million 8 ni sawa na trillion 8 mkuu, hapo hesabu imekupiga chenga kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Corona hii, tutarajie hasara kubwa maradufuHebu kuwa serious tuongelee Ile biashara yako ya bundi kwanza. Enh, inaendeleaje?
Hivi ile technology ya tv asilia siku hizi haipo?China walikua wanatumia GPS ku monitor watu walio contact na mgonjwa and succeeded
Ni nchi gani hiyo ya Ulaya watu walikufa kwa njaa?Mkuu Unajua ulaya watu walikua na hela Lakini walikufa kwa njaa, cha msingi Ni stoku Ya chakula chakutosha ikiwezekana maghala yaongezwe ,Kila familiar, Kila kijiji na Kila mkoa uwe na ghala za chakula chakutosha hapa tutapiga hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha mwalimu wangu wa uchumi, John Mageta, Mbeya hukooooo
Mtakufa kwa kunjunji, mapumziko ya pasaka gesti zote zilijaaaTanzania ikiwa lockdown tutakufa kwa njaa sio corona tena.
Mh Rais, pole na kazi.
Hapa pana ushauri mdogo tu wa namna ya kuwasaidia raia wako kupunguza movements na kuwapunguzia ukali wa maisha kipindi hiki kigumu kiuchumi na kiusalama wa kiafya pia.
Fanya filtering kwenye database ya biomedical TCRA, Kisha tupate namba ya watu waliojisajili. (Alama zako za usajili zitumike kukutambua).
Ukijulikana idadi, basi Kila mtu apewe sh. Million moja, najua waliojisajili hawazidi million nane, hivyo serikali itenge billion nane kutoka mfuko wa maafa wa waziri mkuu wapewe wananchi waliosajili line zao (tunaamini ni watu wazima wenye majukumu), Kisha funga bar zote, pubs, groceries, vilabu, mikusanyiko yote na starehe zote
Hii itapunguza mihangaiko, wale wenye biashara ndogo watakaa na kutulia majumbani na kuepuka hatari ya maambukizi ya virusi vya Corona a.k.a kolona Kama tunavyoita uswazi