kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 534
- 323
Wengi tunatambua kuwa kwa sasa Dunia inapitia kipindi kigumu sana kutokana na hili janga la Corona virus. Hii kitu imegusa sehemu nyingi sana.
Naomba niweke wazo langu huenda likasaidia wachache nataka niguse sekta ya elimu kuanzia shule za awali mpaka sekondari.
Nimetafakari kwa kipindi hiki shule zote zimefungwa na hazijulikani zitafunguliwa lini wakati watoto wakisalia majumbani bila kupata msaada wa kimasomo kutoka kwa walimu. Ewe mwalimu unaonaje ukaandaa vipindi vyako kama kawaida na ukatafuta Tv station yoyote mtakayokubaliana kisha uanze kufundisha kupitia tv ukiweza unaweza fundisha hata kupitia na YouTube.
Nina imani ukiandaa kipindi cha nusu saa kinatosha kabisa na utatoa elimu kwa upana sana. Najua uandishi wangu ni mbovu lakini naimani nimeeleweka kwa mwenye mawazo zaidi anaweza kujazia.
Nawasilisha.
Naomba niweke wazo langu huenda likasaidia wachache nataka niguse sekta ya elimu kuanzia shule za awali mpaka sekondari.
Nimetafakari kwa kipindi hiki shule zote zimefungwa na hazijulikani zitafunguliwa lini wakati watoto wakisalia majumbani bila kupata msaada wa kimasomo kutoka kwa walimu. Ewe mwalimu unaonaje ukaandaa vipindi vyako kama kawaida na ukatafuta Tv station yoyote mtakayokubaliana kisha uanze kufundisha kupitia tv ukiweza unaweza fundisha hata kupitia na YouTube.
Nina imani ukiandaa kipindi cha nusu saa kinatosha kabisa na utatoa elimu kwa upana sana. Najua uandishi wangu ni mbovu lakini naimani nimeeleweka kwa mwenye mawazo zaidi anaweza kujazia.
Nawasilisha.