Rais Magufuli chukua tahadhari hii haraka!

Rais Magufuli chukua tahadhari hii haraka!

Ninachofurahi tu ni kwamba mtazamo wangu huu umeenda sambamba na walichokichambua watu wenye akili zao akina Mama Kijobi Simba, Mzee Wasira, Mzee Sumaye na Wanataaluma mbalimbali wa masuala ya Uongozi na Siasa nchini Tanzania. Pia UZI huu umenifanya niweze kujua uwezo wa kuchambua issues kwa Watanzania na kugundua kuwa kumbe bado tuna safari ndefu ya kujikomboa KIFIKRA. Watu wanataka kwakuwa wewe ni Mwana CCM basi kila jambo alifanyalo Rais wewe uliunge tu mkono. Nashukuru Mwenyezi Mungu kuwa mimi ni CCM Makini na siyo CCM JUHA na nasimamia kile ninachokiamini. Mnaosema nimekurupuka au nimwache Rais afanye kazi mbona hamsemi kauli aliyoisema Rais mwenyewe jana kuwa hata katika Ofisi yake IKULU kuwa Wafanyakazi hewa? Je ameshawatangaza? Mbona hajitumbui na kawahi kumtumbua Mama wa Watu tena aliyedumu Madarakani kwa siku 22 tu huku yeye sasa akiwa hapo IKULU kwa miezi 4 kama siyo 5 ambapo wanasema ana uhakika kuwa kuna Wafanyakazi hewa? Ngoja niendelee kuzidi kuzisoma AKILI za Watanzania kupitia huu UZI.
 
Mleta mada unajitambua au ni wewe Anne Kilango unakuja kujitetea kiaina? Kwa taarifa yako, huu uozo ulienea sana serikalini na bado kuna wafanyakazi wengi mno serikalini ambao ni ghost workers na si hapa bongo tu, hili ni tatizo la Afrika nzima.
 
pumba tu who are you kumpa Raisi ushauri wako wa kijiweni huna hata Elimu ya juu.

swissme

Mkuu, baadhi ya Watanzania wana mbinu za kitoto za kutaka kumfunga gavana Dk.Magufuli asiwashugulikie vilivyo, si ajabu mleta mada yuko kwenye kundi la wajiriwa ambao wanaogapa kasi ya JPJM, we mtu atakujaje kwenye jamvi na kuanza kumtishia Rais eti apunguze kasi ya kufatilia nyenendo za wafanyakazi Serikali na Mashirika ya UMMA: eti kanongonezwa na ma RC watatu jinsi wanavyo chezea takwimu ili wamchote akili JPM, mleta mada kitu alicho sahau ni kwamba Rais amefanya kazi Serikalini kwa zaidi ya miaka ishirini, anajua vizuri sana ujanja unaotumiwa na wezi kufuja fedha za walipa kodi - hafanyi kazi ya kubahatisha yule, likumbuke sana hilo.

Hivi hukumsikia akisema kwamba ana kawaida ya kuhakiki taarifa anazo letewa, ana njia nyingi za kuhakiki taarifa - JPM ni mtu aliyejipanga vizuri ku deal na umangimeza uliyo kuwa umeota mizizi nchini. Bravo JPJM.
 
Mkuu, baadhi ya Watanzania wana mbinu za kitoto za kutaka kumfunga gavana Dk.Magufuli asiwashugulikie vilivyo, si ajabu mleta mada yuko kwenye kundi la wajiriwa ambao wanaogapa kasi ya JPJM, we mtu atakujaje kwenye jamvi na kuanza kumtishia Rais eti apunguze kasi ya kufatilia nyenendo za wafanyakazi Serikali na Mashirika ya UMMA: eti kanongonezwa na ma RC watatu jinsi wanavyo chezea takwimu ili wamchote akili JPM, mleta mada kitu alicho sahau ni kwamba Rais amefanya kazi Serikalini kwa zaidi ya miaka ishirini, anajua vizuri sana ujanja unaotumiwa na wezi kufuja fedha za walipa kodi - hafanyi kazi ya kubahatisha yule, likumbuke sana hilo.

Hivi hukumsikia akisema kwamba ana kawaida ya kuhakiki taarifa anazo letewa, ana njia nyingi za kuhakiki taarifa - JPM ni mtu aliyejipanga vizuri ku deal na umangimeza uliyo kuwa umeota mizizi nchini. Bravo JPJM.
huyo jamaa ni poyoyo.

swissme
 
Back
Top Bottom