nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Kama sodoma na gomola hilo gharika lingeanzia pwani...uliambiwa wahaya mashoga???!!!!Rejea maandiko matakatifu yaliyoko kwenye Bibilia ndipo utagundua mantiki ya rais in a holistic way. Miji ya Sodoma na Gomola baada ya kukithiri tabia mbaya isiyompendeza Mungu alituma ghalika la mafuriko kama lile la sumani alilolilolituma Marekani. Mungu badala ya ghalika angeweza kuwatumia tetemeko au ukimwi hao watu wa Gomola na Sodoma.
Hivyo inapupasa kuachana na tabia isiyompendeza Mungu kama tunataka kuepukana na majanga haya toka kwa Mwenyezi Mungu. Ona sasa nchi za Ulaya na Marekani watu wake wanavyoangamizwa (wao wanasingizia ugaidi) kila kukicha kwa sababu wameamua kuishi maisha ya sodoma na gomola, wao wameibatiza tabia hiyo kwa jina la homosex. Wategemee majanga zaidi kama hawataacha hiyo kitu isiyompendeza Mungu. Mbaya zaidi wanatulazimisha na sisi tuwe na tabia hiyo. Kamwe tusikubali maana lazima tutaangamia hata kwa Zika.