Ndio maana kila darasa hakosekani kilaza wake, nimeuliza maana ya jina wewe unaniambia ni jina la kijiji,... angalia jibu la mwenzako...Si moja ya vijiji huko Kagera....au?
Ni Mtindo wa kujishughulisha kwny kusugua Uke kwa kutumia Nyenzo za Kazi za asili!
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko.
Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono.
Msikilize:
Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Hivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Na sisi Kikwetu ujitani hilo neno ni baya. Linamaanisha PAPUCHIAsitaje neno MANA kwa Kagera lina maana mbaya ingawa vitabu vitakatifu vinamaanisha chakula kilichoshuka kutoka Mbinguni.
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko.
Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono.
Msikilize:
Maybe anatumia, nobody knows, unless waliokaribu nayeHivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Sababu ni papuchi za huko kunyesha mvua wakati wa matembeziNakumbuka kipindi nipo huko kikazi Bukoba.... I was so so surprised na hayo magodoro hotelini yenye nailoni kabla ya shuka.... Pia yanafanya kitanda kinakuwa cha baridi.... !!!
wweHivi angekuwa anatumia kilevi sijui ingekuwaje.
Hii maana yake nini?Lusengoma
utani ni msibani na sio kwenye podium iliyoandikwa RAIS WA JAMUHURI NA SEAL AU NEMBO YA JAMUHURI ....ukiwa hapo hakuna utani ...ni kama sheikh au padri kuleta utani akiwa madhabahuni .....[akiwa madhabahuni hata kama unajua madhaifu yake ya kibinadamu unamtii]-->>ALIKUWA ANAWATANIA WATANI ZAKE ISICHUKULIWE NONGWA....
Anaijuà kwani naye ni sehemu yàke. Kabla Chato kuwa Mkoa wa Geita ilikuwa Mkoa wa Kagera. Yeye ni sehemu ya hiyo Katerero, kwani Mkoa wa Kagera, na hata Kanda ya Ziwa kwa jumla wanafahamu katerero. Kama Uganda inavyotumika ndivyo na hapa Tz ilivyo, wala watu wasione kama ni jambo la ajabu sana.Teh teh Magufuli anaijua katerero.kweli rais tumempata safari hii
Lakini mkuu Katerero si jina la eneo, Njia panda pale Kyetema kuna bango linaloelekeza njia ya Katerero.Unajua maana ya katerero?, kwahiyo baba yako akisema katerero mbele ya watu utacheka sanaaaa! Dah!
Hahaha mkuu jina la mto ni Ngono, Hiyo Katerero ni Kijiji au KataSi ni jina la mto mkuu?
rais kumbe anaijua katerero?hahaha, aisee wakivaa makoti huwezi amini kama wanaijua hiyo katerero.dah
Magufuli amesema Kagera haipaswi kuwa ya matatizo bali ya mfano na kutolea mfano majanga yaliyotokea Kagera ya Ukimwi na tetemeko.
Pia akawaambia anajua wana kijiji kinaitwa Katerero na mto unaitwa Ngono.
Msikilize: