Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
Ttcl walishalipwa na Airtel au hilo gawio ni kupunguza ule ufisadi wao?
Na unga mkono juu udi!!!
Na unga mkono juu udi!!!
Kwa wagogo wala hushangaiMzee wa watu naona kama anajidhalilisha, anajinyenyekeza mpaka inaleta karaha, mara mimi masikini, mara nimetolewa jalalani, kwenye umasikini sifai kitu, nk
Kwa kariba ya nafasi aliyokuwa nayo kabudi Chuo kikuu mpaka hapo alipo anaongea kauli kama hizo, kweli...?
Umesahau na Phd ya jiwe kuwa nayo ni ya dukaniUnamkumbuka Kabudi kwenye saga la kumuzia mkenya korosho tani 100,000.
Unakumbuka kauli ya Mwakyembe kuhusu ndoa za wasio na vyeti.
Unakumbuka kauli ya Abasi wakati unafungia magazeti.
PhD ya kabudi, PhD ya Mwakyembe na PhD ya abasi msemaji wa serikali ni zakuangalia upya. Sio bure.
Mwanaume mwenye uwezo wa kumuambia mkeo njoo huku nina hamu unajidhalilisha kama vile huwezi kunanihii
Umesahau na Phd ya jiwe kuwa nayo ni ya dukaniUnamkumbuka Kabudi kwenye saga la kumuzia mkenya korosho tani 100,000.
Unakumbuka kauli ya Mwakyembe kuhusu ndoa za wasio na vyeti.
Unakumbuka kauli ya Abasi wakati unafungia magazeti.
PhD ya kabudi, PhD ya Mwakyembe na PhD ya abasi msemaji wa serikali ni zakuangalia upya. Sio bure.
Mwanaume mwenye uwezo wa kumuambia mkeo njoo huku nina hamu unajidhalilisha kama vile huwezi kunanihii
Victoire mimi nilidhani wewe ni yule mpinzani wa Kagame. Kumbe uko hapa hapa CBE tunapishana kwenye ma corridor. DuhAnatudhalilisha walimu wa chuo.
Pole. Kwani wewe ungepewa ka uwaziri usingejikomba komba kama prof ili uendelee kuvuta siku?Anatudhalilisha walimu wa chuo.
Sipo CBE mimi,ila nipo hapa hapa Dar.Wallah kumbe Kabudi na Mpango huwa wanatukanwa Pumba Vu na mheshimiwa Rais?Aisee mimi ningerudi chuo kufundisha na kuandika research proposal zangu.Victoire mimi nilidhani wewe ni yule mpinzani wa Kagame. Kumbe uko hapa hapa CBE tunapishana kwenye ma corridor. Duh
MATOKEO..! nadhani wengine wataelewa sasa!Uzuri wa Magufuli hapendi unafiki. Amepasua jipu sababu za kubadilisha mawaziri.
Yeye anapenda matokeo.