Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Aende kwenye mkataba tena wakati tunataka kujua mchanga unaondoka na madini kiasi gani! Mikataba ni baada ya uchunguzi huo, wataangalia pia mikataba.Mkataba ambao watangulizi wake waliingia na hayo makampuni unasemaje? Hata kama ni mkataba wa kutuibia madini yetu, lakini unasemaje?
Ukishajiuliza hayo maswali utagundua kwamba approach anayotumia mkuu siyo sahihi. Angeenda kwenye mkataba kisha akakaa nao mezani na kuona namna ya kubadili mkataba