Rais Magufuli atweet asubuhi hii kuhusu Mradi mkubwa

Kwa mantiki hiyo Prof muhongo asingeondolewa kwa sababu za matokeo Tume.
Kwa vile Rais anayo mamlaka ya kuteua na kutengua basi angefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na kumtengua Prof kwa heshima tu na si kwa kumhusisha na hii kashfa.
Kwa nini Naibu Waziri naye asitenguliwe maana wale walikuwa ni team moja. Mbaya zaidi Naibu Waziri ndiye aliyekuwa Mwanasheria wa Wizara kwa Kipindi ambacho mikataba ilikuwa inafanyika? Ukiitaka kusafisha nyuma unafagia vyumba vyote.


Binafsi, ningeongea na rais, ile wizara yote ingeodolewa hadi wafanyakazi wa kawaida.

Wizara ile imeoza, majibu yao wote ni "stupid answers"
 
Huu mradi ungejengwa kwa gharama nafuu zaidi kama ungepita Kenya hadi Lamu. Basi ndio hivyo tumezidi kete Uhuru
 
Baada ya kupiga kona pale Chato kwanini isinyoke kwenda Shinyanga moja kwa moja Tanga badala ya kushuka chini then ikarudi juu tena
Nenda usome feasibility study report ujue kwa nini walichagua route hiyo. Hicho kijiba cha roho kitakumaliza kama hautakitoa!
 
Kwa mantiki hiyo Prof muhongo asingeondolewa kwa sababu za matokeo Tume.
Kwa vile Rais anayo mamlaka ya kuteua na kutengua basi angefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na kumtengua Prof kwa heshima tu na si kwa kumhusisha na hii kashfa.
Kwa nini Naibu Waziri naye asitenguliwe maana wale walikuwa ni team moja. Mbaya zaidi Naibu Waziri ndiye aliyekuwa Mwanasheria wa Wizara kwa Kipindi ambacho mikataba ilikuwa inafanyika? Ukiitaka kusafisha nyuma unafagia vyumba vyote.
Unajua nani aliamrisha mita za mafuta za bandarini ziwashwe wakati zilikuwa zimezimwa. ?? Ni kipindi hicho waziri mkuu alitembelea pale. Kuna watu walitimuliwa. Ni siku ile alitakiwa atimuliwe. Ni kipindi hicho ngebe zake zilipungua makali.
 
Huyo aliemchorea ramani rais anatakiwa kuwajibika. Ramani inayoenda duniani wanakosea neno la kawaida kabisa. Uzembe wa hali ya juu.

Je kwenye mikataba waliona kila kitu hasa vile vigumu ikiwa haya ya kawaida hawaoni wanatuanika taifa zima tunaonekana wababaishaji? Lini wataalamu wetu watakua MAKINI kwenye kufanya walau ya kawaida tu?

Swali dogo. Hivi huwa kuna uhariri wa taarifa wanazotoa kwa umma? Maana kuna wakati hadi jina la nchi au nembo vinakosewa.

Hapa Arusha kwenye mzunguko wa Mwenge wa Uhuru bendera ya taifa imechorwa juu chini. Mshazari umelala toka kushoto badala ya kuinuka.

Na ni njia ambayo wakuu wote wa Arusha lazima waipite. Na ndo pana makumbusho ya Azimio la Arusha. Watalii kibao hupita hapo na ndio tunachowaonyesha. Huu ni mwaka wa pili au zaidi. Hadi lini uzembe kama huu?

Ifike mahali tumakinikie mambo. Weledi unazaliwa na kutenda ya kawaida kwa umakini.

Neno gani limekosewa mkuu??

Ila katika swala la bendera ni watu wengi huwa wanakosea kuna siku niliona mpaka kwenye ofisi ya uhamiaji wamegeuza bendera kwenye mlingoti yani nchi hii sumtyms ni pasua kichwa ndo maana tunaambiwa tuko kwenye roli
 
Huu mradi ungejengwa kwa gharama nafuu zaidi kama ungepita Kenya hadi Lamu. Basi ndio hivyo tumezidi kete Uhuru
Mkuu nadhani hoja kwa maelezo yao ni gharama nafuu ya kuyasafirisha hayo mafuta kutoka Uganda ukizingatia Tz boost stations zitakuwa chache kutokana na topographic reasons
 
Back
Top Bottom