aganza
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 1,450
- 3,153
Mradi u!esainiwa juzi tu kipindi chake vilevile kuna !mambo kafanya mfano kufufua atclhivi mradi huu ulianza kwa kikwete au kwake? lipi jipya la kwake amelifanya zaidi ya hostel za udsm 20 kwa bilioni 10 tunapotakiwa kuwapeleka watoto wetu wakalale hapo wakati watoto wao hawawapeleki pale bali ulaya? na imebaki only two years, ataonyesha nini? makontena ya mchanga?