McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,120
- 2,167
Hivi zimeshakuwa listed ili tukakamate fursaKwa Hizo wilaya 24 chato inakosekana apo? Kweli.
Hivi zimeshakuwa listed ili tukakamate fursaKwa Hizo wilaya 24 chato inakosekana apo? Kweli.
Nakubaliana na sahihisho lako. Nimenukuu vibaya. Hoja ambayo bado ni kuwa Muhongo ni mbuzi wa kafaramkuu mbona unajichanganya! Mkataba umeandikwa kwamba TMAA watapima kila mchanga unaosafirishwa na kutoa concentration ya madini yaliyomo ili mrabaha ulipwe. sasa hiyo habari ya 4kg unaitoa wapi mkuu?? ingekuwa hivo kusingekuwa na sababu ya TMAA kuchukua sampuli kwa kila batch ya mchanga.
nakubaliana na wewe kwamba CEO wa TMAA ni mteule wa raisi na anapaswa kuwajibika kwa makosa yake ya kutoa concentration za uongo (kama kweli majibu ya tume ni sahihi), hata bila kumhusisha prof muhongo.
Lakin usitulishe matango poli eti mkataba umesainiwa kwamba kuna 4kg za dhahabu kila contena, huo ni uongo wa kiwango cha lami.
kwa kweli isije kuwa faida yetu ni bomba tu kupita vingine wanafaidi wengine.Asome vizuri hiyo mikataba ya bomba na iwekwe hadharani tusome wote tujirizishe
Sio kuisaini kwa mbwembwe badaye tunaanza kulialia tunaibiwa
mimi naamini muhongo hauhusiki na upigaji huu.. lakin kumbuka vile ni vyeo vya kuteuliwa na raisi. hata kama huna kosa lolote, anaweza kukuondoa na kuweka amtakaye. kama alivyokuteua bila kulazimishwa na mtu, anaweza kukuondoa siku yoyote akiamua.Nakubaliana na sahihisho lako. Nimenukuu vibaya. Hoja ambayo bado ni kuwa Muhongo ni mbuzi wa kafara
tujipange kama tulivyojipanga bomba la gesi mtwara.Hongera Rais John Pombe Magufuli kwa kufanikiwa kuishawishi Uganda hadi ikakubali ujenzi wa mradi huu mzuri kufanyika nchini kwetu Tanzania.
Watanzania tuanze kujipanga ili kuitumia vyema fulsa hii ya kiuchumi.
Kazi kwetu.
swaga tu hizo.mbona anaandika kiswahili kibovu? ktk inamaanisha nini?
Akili yako sio nzuri maana naona hata jiografia ya Tanzania huijui na pia kusoma ramani hujui. Hamkosagi la kusema. Heri Mtu Yule Atakaye KupuuzaPiga ua lazima lipite Chato.
majungu bana tabia za wavivuPiga ua lazima lipite Chato.
Alishasema kama hujaelewa anakurudishia hela zako na hata ukazaliwa uingereza kwenyewe ana hakika hutaelewa.Inamaana Rasi simba hajawezesha mkulu kutumia lugha ile mpaka leo
Mtakufa kwa kihoro na wivu, na inda na khusdaKwahiyo?
Unataka lipite kwenu Songea?????Piga ua lazima lipite Chato.
Piga ua lazima lipite Chato.
Kwa mantiki hiyo Prof muhongo asingeondolewa kwa sababu za matokeo Tume.mimi naamini muhongo hauhusiki na upigaji huu.. lakin kumbuka vile ni vyeo vya kuteuliwa na raisi. hata kama huna kosa lolote, anaweza kukuondoa na kuweka amtakaye. kama alivyokuteua bila kulazimishwa na mtu, anaweza kukuondoa siku yoyote akiamua.
Muache prof apumzike tu, waje wengine waendeleze kazi. Ila muhongo is a good person. si mpiga madili.
Hachelew kuja kuundia time huo mrad na kumuwajibisha waziri