ThubutuuuuNafasi yake ni ya ukuu wa wilaya ya Kinondoni
Sasa siyo uanze safari za kwenda kusalimia kwa mjomba kila siku.Hongera mjomba angu kwa kuupata uku Wa mkoa......kila la kheri uncle katika kazi ngumu iliyoko mbele yako.....ninafuraha sana.
Kijana jitazame sana!!!,Mkuu twende tukajilipue Ikulu
Kutokwa povu kule kote alikuwa anatafuta ukuu wa mkoa... Kalipwa hapa hapa duniani
Mkulu aliyepita alikuwa anang ata huku anapuliza,ila huyu anang ata kabisa,hii miaka mitano hatuna chetuYaani wakuu wa mikoa 26 Waislam wapo 5?
Magufuli kwa style hii hatutafika mbali
Ni jambo la kutizama kwa karibu, limeanzia kwenye level ya uwaziri, imeshuka mkoa, bado wilaya,mabalozi, wakurugenzi?wagalatia/wakatoliki katika ubora wao wa kuchaguana acha wajazane
Mkuu kwani safu ya uongozi wa CCM imekaaje? Isitoshe hakuna maana ya kufananisha chama na muundo wa serikaliIlitakiwa wawe wangapi,safu kuu ya uongozi chadema ukiacha mwenyekiti wa bawacha wanawake wapo wangapi?...je unaamini katika kuwa mwanamke au uwezo?