Rais Magufuli ateua Wakurugenzi Wakuu wa NSSF, TBC na Shirika hodhi la reli (RAHCO)

Du mbayuwayi, hebu tuone kwanza kama mfumo huwa unabadilisha watu au watu wanabadili mfumo.
 
Rioba anaweza kabisa. Tumpe muda ataleta mabadiliko makubwa
Dkt Ayub namfahamu muda mlefu sana, ni mwanahalakati wa siku nyingi sana, alikuwa mwandishi kwenye gazeti la Rai baadaye lilivyouzwa na akina Jenelali Ulimwengu, akaja nae gazeti la Raia mwema, ni mchapa kazi, lakini atapata miongozo toka kwa MACCM, akiendeleza uanahalakati wata MTIDO MUHANDO.
 
Acha kubweka mkuu ulitaka akae nani
hivi ccm unaijua au unaisikia ? muulize Tido Mhando , enzi zake tbc ilikuwa bomba kinyama , sasa hivi imebaki kurusha harusi za wasela , na kuna tetesi hivi karibuni itaanza kuonyesha mazishi live .
 
Hii idea ya kuwapa Academician (hasa Proffesors) nafasi nyeti serikali sikubaliani nayo kabisa wengi wao huwa wanachemka sana.Kuna vijana wa kitanzania wamefanya vizuri sana kwenye private company (TBL,TCC,Vodacom,Airtel,Tigo,Coca Cola,Acacia )ni wakati sasa waaminiwe,Makonda ameonyesha mfano
Point
 
Hii idea ya kuwapa Academician (hasa Proffesors) nafasi nyeti serikali sikubaliani nayo kabisa wengi wao huwa wanachemka sana.Kuna vijana wa kitanzania wamefanya vizuri sana kwenye private company (TBL,TCC,Vodacom,Airtel,Tigo,Coca Cola,Acacia )ni wakati sasa waaminiwe,Makonda ameonyesha mfano
You're right!
Just good performance of Nehemiah Mchechu, let's Mr President consider this proposal.
 
ni kwel mkuu?? kwa hyo neema imeongezeka nyumbani?? kama ni kweli cjui kwenye zile kamati za bunge, wakienda kukagua wakakuta madudu halafu kwenye kiti akawepo dr,.. nawaza tu
Hamna ukweli katika hili, wacha hisia!
 
Wanaoponda Udini Eng Dr Mgwatu ni ustadhi, President nadhani anaangalia utendaji na uadilifu, Eng Dr Mgwatu ni mzalendo, mwadilifu na ana hofu ya mungu, na kwa kuwa ameoa Tabora basi shirika la reli limepata mwenyewe, all the best mwalimu wangu

Unajua Maana ya Ustaadhi?
 
Kwangu Mimi Kwa taifa letu kuona Elimu ya Dk Rioba ime saidia taifa Ni kuhakikisha ana Jenga hoja hadi waziri wa Habari aelewe umuhimu wa watanzania kuona bunge Live!kinyume na hapo atakuwa kaenda kuzika taaluma yake.
 
Huyu magufuli kwa nini anateua maprof na madk Wa UDSM TUU...
Hizoo nafasi zote wamepewaa maprof&Dr Wa Udsm ebu tujue nini mtazamoo akoo. ...
Jeee waamini katka mapro&drs..?
Jee wawalipa fadhila, upendeleo jamaa zako ambao ni lecture pale Udsm...?
Pia tunatambua kama kufanyaa hivii hufanyaa waache kazii zao kitalaam na kuzamia kwny siasa mifanoo IPO telee ....
Usiumize kichwa ktk hilo wewe pitia cv ya jpm tu utapata jibu la swali lako.
 
Hii idea ya kuwapa Academician (hasa Proffesors) nafasi nyeti serikali sikubaliani nayo kabisa wengi wao huwa wanachemka sana.Kuna vijana wa kitanzania wamefanya vizuri sana kwenye private company (TBL,TCC,Vodacom,Airtel,Tigo,Coca Cola,Acacia )ni wakati sasa waaminiwe,Makonda ameonyesha mfano

Pia wapo ma Dr. na Profs wamefanya kazi kubwa sana Mf. Dr Dau na Dr Kimei. Mafanikio ya utendaji ni matokeo ya Multiple factors sio PHD au Diploma ya DG wake
 
Naona kila mtu anamsifia Dr.Rioba kwa kuteuliwa kwake. Binafsi sioni jipya,alishakuwa mtu wa kulamba miguu tangu alipoteuliwa bunge la katiba. Me ningempongeza Magufuli km angemrudisha Tido mhado. Lilikuwa ni jambo la heshima sana kumrudisha tido kwa jinsi ambavyo aliondolewa kwa aibu...!! Kwa wanaosubiri matokeo chanya kwa Dr.Rioba wanaandika 8 kwenye maji. Narudia tena hakuna jipya hapo....Ccm ni ile ile!!
 
Ni katika kujaribu kuavoid kuteua mafisadi waliopo kwy lile dude,most of academicians are still clean hadi waingie kwy system, look at Dau!
Shikamoo JPM!

Huwezi kuchafuka kama haupo katika Mazingira ya uchafu. Hata Andrew Chenge angebaki chuoni angeitwa Mr. Clean.
 
Back
Top Bottom