Vitalis Konga
Senior Member
- Sep 22, 2018
- 127
- 231
Kumbe prof mwamila alikuwa ndo mwenyekiti wa hii bodi?? Duh kumbe watu huwa wanakula kimya kimya tuu!
ULITAKA WAWEKE MA NURSE??hivi hili shirika lipo duuu! sasa kuweka wanajeshi kwenye bodi ni kuliua kabisa! litageuka karakana! watajazwa wanajeshi raia wataondolewa! hapo ndipo litakapopotea mazima na kugeuzwa service bay! research center kujaza wanajeshi ni shida
Akajipumzikie.na.Mandela.yakeKumbe prof mwamila alikuwa ndo mwenyekiti wa hii bodi?? Duh kumbe watu huwa wanakula kimya kimya tuu!
Kwa sasa yuko kwa wahindi st. Joseph ndo VC paleAkajipumzikie.na.Mandela.yake