4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,784
Safi Sana Kiongozi anaedhulumu ardhi za wananchi, au anaepanga kudhulumu kwa visingizio flani ,hamfai kabisa, Sasa mh ,kaa Kama week moja ,Muondoe na Lukuvi, maana juzi alitangaza kuanza chukua ardhi za viwanja vya watu, maana lengo la watu wa aina hii nikuwatia umaskini watz