Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Hakuna maajabu
Niliogopa kukopi kila kitu mkuu ile ni brand 😂Umekosea Duh ya Pasco...
Ni Duh...!.
P
😅🤣 Pamoja mkuu.Niliogopa kukopi kila kitu mkuu ile ni brand 😂
Mada haihusu kunyanyasa wapinzani...inahusu kutwaa ardhi ya wananchi bila utaratibu, punguza hasiraMbuzi wa kafara huyo, hawa maDED waliwanyanyasa sana wapinzani kwa kumpendelea dikteta, acha wafukuzwe wakajifunze kulinda heshima za watu.
Kashachomolewa nasikiaBado Temeke
Nitapambana Na Rushwa Bila Kigugumizi Chochote Na Dawa Ya Jipu Ni KulitumbuaJamaa kanipita hapa yupo na magari mengi sana ya msafara, kumbe keshakula kichwa hapo Igunga.
😆😆😆😆😆Siku zinaenda kasi kuliko mzunguko wa dunia -Usiniulize kivipi.
Inahusu pia maana walisumbua sn wewe kada mtiifumada haihusu kunyanyasa wapinzani...inahusu kutwaa ardhi ya wananchi bila utaratibu, punguza hasira
Anaelekea Chuttle nini? Sijui ndio ataenda kututangazia kile alichoficha? Huyu mzee hana rafiki, jamaa walivyopigana vikumbo kuiba kura leo hii anamwachisha kazi mwizi mwenzake? Hivi jamaa naye akimwaga ugali inakuwaje? Halafu huu utaratibu wa Mkuu wa Mkoa kuteua kaimu DED sijui kautoa wapi? Haya si majukumu ya waziri wa TAMISEMI?Jamaa kanipita hapa yupo na magari mengi sana ya msafara, kumbe keshakula kichwa hapo Igunga.
CcUchaguzi mkuu umekwisha Bavicha chapeni kazi!
hahahahaha hatari sanaohh kumbe ni Baba yako?
Ukizowea kutoa kafara kwa mizimu,siku ukikosa chakula Cha kuwalisha,wanakutafuna wewe mwenyewe.Dikteta huwa hana rafiki wa kudumu