Rais Magufuli atengua uteuzi wa DCI, Diwani Athuman

Kuna habari kuwa DCI ametenguliwa uteuzi wake.


fcf419f0-f30a-4b6a-911e-e1cdbe179899-jpg.426145

Over!
 
Ukute ni kwa sababu wanaharakati na Wanasiasa wa Upinzani wameshinda kesi nyingi mahakamani na yeye kuona DCI na timu yake wameshundwa kupika ushahidi.
Yaani una mawazo mgando tu ndugu yangu...uliza kabla ya taarfa hii...Raisi alitembelea wapi na aliona nini na akaamua kuchukua maamuz hayo...!?
 
Ukute ni kwa sababu wanaharakati na Wanasiasa wa Upinzani wameshinda kesi nyingi mahakamani na yeye kuona DCI na timu yake wameshundwa kupika ushahidi.
Aneyepika Sanaa za ccm kisiasa ni nani?mbona sanaa zao ni za kishamba sana
 
Daaaah mkuu huyu atakuwa alidanganya.....

Kwenye vetting za baadhi ya wateule wa rais .......

Swala la kushindwa kesi nyingi kwa serikali nalo laweza kuwa tatizo....

Kwa Mara ya kwanza rais amefanya jambo la umakini .....

Siku zote tunatakiwa kupambana na chanzo cha tatizo sio tatizo.......
Leo Raisi alifanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi za makao makuu ya Wizara ya Maliasili na utalii...ambapo ameenda stoo...amekuta Meno 50 ya tembo kama evidences za TUHUMA ZA UJANGILI...Ambapo watuhumiw wake mpaka leo bado wapo rumande...ETI UPELELEZI BADO HAUJAKAMILIKA...NA MWINGINE KABADILISHIWA KESI...ETI YA UMILIKI WA SILAHA KINYUME NA SHERIA...NA YOTE HAYO CHANZO NI DCI..Kwaio huenda kuna ka'connection na hao majangili...pia...ht hyo ishu ya kushindwa kesi nyingi za jamhuri...nayo huenda ikawa factor...
 
Professor james maguha nasikia sikia ndo anakuwa DCI mpya,kama ni kweli lile ni jembe sana

Professor Maguha amefanyia wapi huo ujembe wa criminal investigation, Kitivo Cha Sheria, UD?

Anyhow, sielewi kwa nini hakuanza na Director of Public Prosecution, bosi wa Director of Criminal Investigations.
 
Sijui kwanini akili inanituma kwamba amebeshwa jumba bovu la Jumatano Maembe ili ionekane yule yaliyomdondokea Maembe kule mbugani ni kutokana na Bwana Maembe kupotoshwa na Mheshimiwa Diwani!
 
Uyo jamaa kuna tetesi Kua elimu yake ina Mashaka,, ii ni kutoka chanzo changu cha uhakika
 
Teuzi na tenguzi za rais hazishurutishwi kutoa sababu.

Kwa sababu nyingine zinaendana na sababu za "usalama wa taifa" na watu wasio na security clearance Alpha 5 (hadhi ya five star general jeshini na kwenye vyombo vya usalama) hawapaswi kusikia.

In fact hata hiyo level kujua kama ipo ni classified info.

Hivyo Mtukufu Sana Rais John Pombe Joseph Magufuli akiteua au kutengua hakuna maswali wala mjadala.

Sheria ya kuuliza maswali na kujadili itatungwa baada ya muhula wake wa mwisho.
Kwahiyo unataka akitumbua akuite mjadiliane kwa pamoja halafu ndio amtumbue mhusika?
 
Sentensi yako ya mwisho katika post yako niliyoquote!
A decription of reality does not say anything about the wishes of the person who is describing that reality.

Nikisema bendera ya taifa ina rangi ya kijani, manjano, nyeusi na bluu hilo halina maana kwamba nataka rangi nyekundu iwe moja ya rangi za bendera hiyo.
 
A decription of reality does not say anything about the wishes of the person who is describing that reality.

Nikisema bendera ya taifa ina rangi ya kijani, manjano, nyeusi na bluu hilo halina maana kwamba nataka rangi nyekundu iwe moja ya rangi za bendera hiyo.
Mfano ulioutoa hauendani na kinachoonekana katika post yako.

Sentensi yako ya mwisho inaonesha namna gani kunahitajika kuwepo majadiliano kabla ya utumbuaji!
 
Back
Top Bottom