Rais Magufuli atapokea ripoti ya mchanga wa madini leo Ikulu, Redio na TV kurusha LIVE!

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
18620065_10211493863415260_2789757105371520368_n.jpg
 
Wadau,
Muda huu Kama dakika tano zilizopita TBC wameleta habari mpasuko (breaking news) kuwa kesho rais Magufuli atapokea report ya tume aliyoiunda kuchunguza mchanga wa dhahabu. Hivi hii nayo ni habari mpasuko? Tukio ambalo bado halijatokea wanaliita habari mpasuko.
 
Je, atakayekabidhi atatoa kwa kifupi yaliyo kwenye ripoti hiyo?Au ni kukabidhi kimyakimya na kurudi kwa mbwembwe kukaa kwenye kiti?
 
Back
Top Bottom